Kwanini Polisi Tanzania wanaipigania CCM kufa na kupona?

Kwanini Polisi Tanzania wanaipigania CCM kufa na kupona?

Kada za upolisi na ualimu ni kada za watoto wa masikini hivyo hawana njia nyingine ya kusurvive lazima watimize kila wanaloambiwa na watawala. Umeona wanataka kuajiri polisi wenye Division IV ya 28-31 ndo kundi ambalo haliwezi kufit popote ili watawala walitimikishe vizuri. Ni watu wasio na mbele Wala nyuma walishavurugwa hivyo kwa kutesa watu,kubambikia kesi ni matokeo ya mioyo yao iliyopondekapondeka kwa stress.
 
Ni kulinda maslahi binafsi ya viongozi wao; Sirro anamiliki na kuendesha migodi ya dhahabu huko Shinyanga. Na wengine wamo!
 
Ni wazi kabisa sasa polis wamechukua nafasi ya CCM kushindana na vyama vya upinzani. Huku CCM ikiwa mtazamaji napengine kuwapo kama haipo.

Tofauti ndogo nikwamba polis wanamiliki siraha na mahabusu hivyo washindani wao wanakiona cha mtema kuni.

Ukiangalia kwa makini hawa polis na pengine hata iyo TISS wamewekeza nguvu kukipigania chama badala ya taifa. Mfano, walikua wapi Tiss na polisi wakati inchi inapigwa kwenye michongo ya kifisadi? Walikuwa wapi hizo idara zenye intelligence kali dhidi ya mikutano ya vyama vya upinzani? Kwenye wizi wa EPA kwenye uchotaji hela za Escrow kwenye sakata la Richmond Ufisadi kwenye UDA nk

Hapa ndipo pangekuwa kipimo cha uzalendo wao.

Utawaona sasa, wako bize kuteka, kukamata, kutesa, kupoteza, kubambikia kesi wafuasi wa vyma vya upinzani. Wanafanya hivi kulinda interest zao?

Interest za mabosi wao, interest za familia zao? Kwanini wanapigania sana interest za CCM na si interest za taifa?
Plc wao wanalinda maslai binafsi ya wanaccm lkn wao wakiishi maisha ya kawaida sana siku wakilijua hilo wataitaka katiba mpya
 
Kwanini wanapigania sana interest za CCM na si interest za taifa?
Kwa sababu CCM ndicho chama pekee Duniani kinachoajiri Polisi walio feli masomo yao ya Sekondari kwa kiwango cha DIV IV point 28 na kutaaa kuajiri wale waliopata Div. I-III
 
Ni wazi kabisa sasa polis wamechukua nafasi ya CCM kushindana na vyama vya upinzani. Huku CCM ikiwa mtazamaji napengine kuwapo kama haipo.

Tofauti ndogo nikwamba polis wanamiliki siraha na mahabusu hivyo washindani wao wanakiona cha mtema kuni.

Ukiangalia kwa makini hawa polis na pengine hata iyo TISS wamewekeza nguvu kukipigania chama badala ya taifa. Mfano, walikua wapi Tiss na polisi wakati inchi inapigwa kwenye michongo ya kifisadi? Walikuwa wapi hizo idara zenye intelligence kali dhidi ya mikutano ya vyama vya upinzani? Kwenye wizi wa EPA kwenye uchotaji hela za Escrow kwenye sakata la Richmond Ufisadi kwenye UDA nk

Hapa ndipo pangekuwa kipimo cha uzalendo wao.

Utawaona sasa, wako bize kuteka, kukamata, kutesa, kupoteza, kubambikia kesi wafuasi wa vyma vya upinzani. Wanafanya hivi kulinda interest zao?

Interest za mabosi wao, interest za familia zao? Kwanini wanapigania sana interest za CCM na si interest za taifa?
Hilo sio Tz tu, ni nchi zote za kiafrika tu, vyombo vyote vya ulinzi na usalama , viko pale kutetea vyama vilivyoko madarakani, kutokana na wakuu wa vyombo hivyo kuteuliwa na rais, na wanajua kabisa wako pale kutokana na huruma zao!!na chama kingine kikiingia asilimia kubwa IGP, anafahamu ndio mwisho wa ajira yake, sasa sio rahisi, kuacha kukitetea!!japo askari wa chini wanapata tabu sana ki maisha kutokana na hali ya uchumi inayokuwa inaikumba jamii lakini hawana jinsi!!
 
Vile MATAGA wakijaribu kujenga hoja kuwa Polisi hawana uhusiano wowote na CCM😁😁😁
e0f159e6.jpg
 
Ni wazi kabisa sasa polis wamechukua nafasi ya CCM kushindana na vyama vya upinzani. Huku CCM ikiwa mtazamaji napengine kuwapo kama haipo.

Tofauti ndogo nikwamba polis wanamiliki siraha na mahabusu hivyo washindani wao wanakiona cha mtema kuni.

Ukiangalia kwa makini hawa polis na pengine hata iyo TISS wamewekeza nguvu kukipigania chama badala ya taifa. Mfano, walikua wapi Tiss na polisi wakati inchi inapigwa kwenye michongo ya kifisadi? Walikuwa wapi hizo idara zenye intelligence kali dhidi ya mikutano ya vyama vya upinzani? Kwenye wizi wa EPA kwenye uchotaji hela za Escrow kwenye sakata la Richmond Ufisadi kwenye UDA nk

Hapa ndipo pangekuwa kipimo cha uzalendo wao.

Utawaona sasa, wako bize kuteka, kukamata, kutesa, kupoteza, kubambikia kesi wafuasi wa vyma vya upinzani. Wanafanya hivi kulinda interest zao?

Interest za mabosi wao, interest za familia zao? Kwanini wanapigania sana interest za CCM na si interest za taifa?
A=B if B= C then A= C
 
Hilo sio Tz tu, ni nchi zote za kiafrika tu, vyombo vyote vya ulinzi na usalama , viko pale kutetea vyama vilivyoko madarakani, kutokana na wakuu wa vyombo hivyo kuteuliwa na rais, na wanajua kabisa wako pale kutokana na huruma zao!!na chama kingine kikiingia asilimia kubwa IGP, anafahamu ndio mwisho wa ajira yake, sasa sio rahisi, kuacha kukitetea!!japo askari wa chini wanapata tabu sana ki maisha kutokana na hali ya uchumi inayokuwa inaikumba jamii lakini hawana jinsi!!
Ni ukweli huu.
 
Kwa sababu CCM ndicho chama pekee Duniani kinachoajiri Polisi walio feli masomo yao ya Sekondari kwa kiwango cha DIV IV point 28 na kutaaa kuajiri wale waliopata Div. I-III
😅😅😅
 
Back
Top Bottom