Kwanini Polisi wa Afrika huwa wanabeba bunduki kubwa/ mitutu/ rifles badala ya bastola?

Kwanini Polisi wa Afrika huwa wanabeba bunduki kubwa/ mitutu/ rifles badala ya bastola?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Karibu nchi zote za Africa polisi wanabeba mitutu/ rifles tofauti na nchi nyingi za Magharibi wakoloni wao ambao polisi wao wanatumia bastola zaidi.

Hii imesababishwa na gharama za bastola au ufanisi wa mitutu?
 
Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
 
Hahahahaha

Ushamba, ulimbukeni, uzuzu.

Mipirani SMG, mikutano ya vyama mitutu, viongozi kutembelea raia mitutu, ziara za rais hapo sasa ni kama wanaenda vitani!

Bure kabisa....
 
Hahahahaha...
Ushamba, ulimbukeni, uzuzu...
Mipirani SMG, mikutano ya vyama mitutu, viongozi kutembelea raia mitutu, ziara za rais hapo sasa ni kama wanaenda vitani!
Bure kabisa....
Shaming never worked🙌🏾
 
Sio kila kitu lazima tuwaige wazungu vingine wao waige kwetu.
 
1. Sanasana ni kutishana.

2. System zetu za Ulinzi bado ni primitive
3. Lakini pia maadui(majambazi wa ukweli) wengi wao wana mashine za maana kama SMG. Sasa Police wakiwa na bastola si itakuwa kasheshe kwenye ku- counter?
 
Swali hili niliwahi kujiuliza pia na bado najiuliza mpaka leo sijapataga majibu ya kuridhisha
 
Karibu nchi zote za Africa polisi wanabeba mitutu/rifles tofauti na nchi nyingi za Magharibi wakoloni wao ambao polisi wao wanatumia bastola zaidi.

Hii imesababishwa na gharama za bastola au ufanisi wa mitutu?
Ili kuwatisha wapinzani.
 
1. Sanasana ni kutishana.

2. System zetu za Ulinzi bado ni primitive
3. Lakini pia maadui(majambazi wa ukweli) wengi wao wana mashine za maana kama SMG. Sasa Police wakiwa na bastola si itakuwa kasheshe kwenye ku- counter?
Lakini wenzetu mbona wako simple unakuta ana desert ego, au Glock au Berera 92fs au Girsab Yavus huku unakuta askari ana QBZ191 ya kichina km tuko el salvador
 
Waige kwetu kwani nani kati ya sisi na wao waliogundua hizo silaha?
Fact: Silaha za Kale zilivumbuliwa hapa hapa kwetu Bongo. Zikiwemo mishale visu mikuki n.k.

Na wazungu wamashukuru Marco Polo kwa Udanganyifu na dhuluma zake. Aliiba gumpowder kutoka china.
 
Hahahahaha

Ushamba, ulimbukeni, uzuzu.

Mipirani SMG, mikutano ya vyama mitutu, viongozi kutembelea raia mitutu, ziara za rais hapo sasa ni kama wanaenda vitani!

Bure kabisa....
👍🤝👏🙏
 
Back
Top Bottom