Kwanini Polisi walishindwa kuifichia aibu familia ya Mzee David Makerege? Yesu aliwaambia "asiye na dhambi miongoni mwenu awe wa kwanza kumtupia jiwe"

Kuna aibu zakujitakia iasee.
Mimi binafsi nimpenzi sana wakula tunda ila ntafika pahala nafanya maamuzi kama ni wake zangu wawili au mmoja basi natulia.
Unatulia sawa mkuu lakini kuna siku shetani anakupitia na kujikuta unakumbushia yale yale ya zamani...
 
Uchunguzi ufanyike lakini busara pia itumike. Taarifa kuwa alifia hotelini ibaki kuwa ni mali ya Polisi tu kwa matumizi yao na sio kutoa kwenye media.

Kwanini wataje jina lake?
Yaani wewe kama una umri huo na una mambo hayo bora uache, vinginevyo tutakusoma tu!
 
Hii statement yako ya mwisho imenikosha sana "Kila umri wako unaposegea basi hekma na busara ziwe maradufu"
 
Unasema nini sasa!? Umeshasema watoto, lakini mtu mzima baby Seya na watoto wake walitajwa. Acha tu hayo mambo!
Wale watoto si ni sehemu ya tukio (crime) kama alivyo huyu dada wa miaka 33 Neema Kibaya? Kwanini majina yalifichwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…