Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 988
Amani iwe nanyi Waungwana!
Mimi swali langu ni Short and clear, huu utaratibu wa Polisi kushikilia mtu kisha wanabeba na simu yake pamoja na Laptop yake, wanataka nini hasa? Ni sheria gani inayoruhusu wao kuingia na kufungua simu na computer zangu bila ridhaa yangu wakati mimi ni mshukiwa wala siyo mkosaji?
Tuseme sawa, baada ya kumuachia mtu kwa dhamana wanaendelea kukaa na vifaa vyangu vya nini? Usalama wa vifaa hivyo mwenye uhakika navyo ni nani?
Nijuavyo mimi ni kwamba ukimkamata mtu na properties zake muda huo anatakiwa kukabidhi kwa maandishi na zihesabiwe. Sasa hii ya kunyang'anywa kwa nguvu inatoka wapi?
Wanasheria mnaweza kusaidia kutoa lesson kwenye hili jambo kwetu sisi maamuma wa sheria. Sheria ya Cyber ya 2016 inasemaje?
Mimi swali langu ni Short and clear, huu utaratibu wa Polisi kushikilia mtu kisha wanabeba na simu yake pamoja na Laptop yake, wanataka nini hasa? Ni sheria gani inayoruhusu wao kuingia na kufungua simu na computer zangu bila ridhaa yangu wakati mimi ni mshukiwa wala siyo mkosaji?
Tuseme sawa, baada ya kumuachia mtu kwa dhamana wanaendelea kukaa na vifaa vyangu vya nini? Usalama wa vifaa hivyo mwenye uhakika navyo ni nani?
Nijuavyo mimi ni kwamba ukimkamata mtu na properties zake muda huo anatakiwa kukabidhi kwa maandishi na zihesabiwe. Sasa hii ya kunyang'anywa kwa nguvu inatoka wapi?
Wanasheria mnaweza kusaidia kutoa lesson kwenye hili jambo kwetu sisi maamuma wa sheria. Sheria ya Cyber ya 2016 inasemaje?