witzone2
JF-Expert Member
- Jan 14, 2022
- 797
- 1,739
Kuna msemo polisi wanao Tii sheria bila shuruti. Lakini wao hawatii hizo sheria hata kidogo. Ndio wanaongoza kula rushwa
Kubambikizia watu kesi. Kufanya ukaguzi wa mtuhumiwa bila kua na warant toka mahakaman. Wanakubambkia dawa za kulevya humo.
Kunyanyasa wananchi imekua ni jadi yao.
Na hali hii imefanya wananchi walio wengi kulichukia sana jeshi la polisi.
Hebu polisi njoo mtueleze kwanini mnafanya haya.
NB: Kule kwetu Kanda maalum Tarime ndo sehemu pekee polisi wote wanaishi kota. Hawawezi ishi uraiani hatutaki ujinga huwezi onea watu halafu uishi uraiani na familia yako. Hatutaki huo ujinga wote wanaishi kota.
Kubambikizia watu kesi. Kufanya ukaguzi wa mtuhumiwa bila kua na warant toka mahakaman. Wanakubambkia dawa za kulevya humo.
Kunyanyasa wananchi imekua ni jadi yao.
Na hali hii imefanya wananchi walio wengi kulichukia sana jeshi la polisi.
Hebu polisi njoo mtueleze kwanini mnafanya haya.
NB: Kule kwetu Kanda maalum Tarime ndo sehemu pekee polisi wote wanaishi kota. Hawawezi ishi uraiani hatutaki ujinga huwezi onea watu halafu uishi uraiani na familia yako. Hatutaki huo ujinga wote wanaishi kota.