King Evance programmer
Member
- Jul 5, 2024
- 20
- 58
Nimeona thread's nyingi sana hapa JamiiForums kuhusu programmer's wa Tz wakikosolewa na kila mara jibu wanalolitoa ni kwamba wanalipwa pesa kidogo ndiyo maana wanafanya kazi mbovu.
Kwangu mimi naona hilo ni jibu la kipuuzi kuliko lote kwa maana mbona fani nyingine wanalipwa pesa ndogo lakini project zao zimeenyooka mfano QS.
Programmers wa Tz 99.9% hamna kitu kichwani ni copy & paste.kama ww unajiita programmer JITATHMINI
APPS & WEBSITE karibia zote zilizofanywa na programmers wa Tz ni copy&paste na kidogo zilizofanywa bila kucopy quality zake ni mbovu vibaya mno
NB: Mention project iliyofanywa na Tz programmer yenye standard ya international.
Kwangu mimi naona hilo ni jibu la kipuuzi kuliko lote kwa maana mbona fani nyingine wanalipwa pesa ndogo lakini project zao zimeenyooka mfano QS.
Programmers wa Tz 99.9% hamna kitu kichwani ni copy & paste.kama ww unajiita programmer JITATHMINI
APPS & WEBSITE karibia zote zilizofanywa na programmers wa Tz ni copy&paste na kidogo zilizofanywa bila kucopy quality zake ni mbovu vibaya mno
NB: Mention project iliyofanywa na Tz programmer yenye standard ya international.