Kwanini Pugu ni mji wa zamani lakini haukui?

Kwanini Pugu ni mji wa zamani lakini haukui?

mfichuamambo

Senior Member
Joined
Jul 22, 2021
Posts
107
Reaction score
313
Pugu ni maarufu tokea uhuru na hata kipindi cha ukoloni ilikuwepo.

Lakini huu mji au hilo eneo halikui kabisa au kuendelea kama maeneo mengine ya Dar Es Sallam

Yaani Pugu ni ile ile ya siku zote hadi leo bado viwanja vipo Pugu nashindwa kuelewa ni kwanini Pugu haikui

Watu wako radhi waende Chanika huko lakini siyo Pugu?
 
Marazote miji mikongwe afrika haichanuagi Hadi kizazi fulani kipotee mfano Tanangozi iringa
 
Sehemu yenye wachawi na washirikina huwa haiendelei,

Mfano Bagamoyo, iko karibu na Dar hata kwa mguu unafika kwa muda mfupi lakini kumechoka mpaka basi!

Sasa sijajua hali ya huko ikoje?

Kwani kuna wachawi na washirikina?
 
Sehemu yenye wachawi na washirikina huwa haiendelei,

Mfano Bagamoyo, iko karibu na Dar hata kwa mguu unafika kwa muda mfupi lakini kumechoka mpaka basi!

Sasa sijajua hali ya huko ikoje?

Kwani kuna wachawi na washirikina?
Pugu wapo eeeh?
 
Sehemu yenye wachawi na washirikina huwa haiendelei,

Mfano Bagamoyo, iko karibu na Dar hata kwa mguu unafika kwa muda mfupi lakini kumechoka mpaka basi!

Sasa sijajua hali ya huko ikoje?

Kwani kuna wachawi na washirikina?
Ushasikia ni mji wa wazaramo unatarajia nini huko😅😅😅watakuwa na mavitu mengi wamefukia fukia chini. Eneo likishakuwa hivyo linakuwa duni hamna biashara inastawi wala maendeleo yoyote sababu ya gundu.

Pia uwepo wa jeshi, tazama eneo la Ubungo External mpaka maji Chumvi kwa sasa limechanua sababu wanajeshi wamekodisha maeneo kwa raia. Mapori yamefyekwa chap
 
Back
Top Bottom