Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Mnaofahamu tusaidieni utaratibu wa kupata kitambulisho cha NIDA na Pasipoti incase hata wageni wanaruhusiwa kupata.
Kuna wageni wanafanya biashara na kuajiriwa hapa nchini awali walikuwa na Pasipoti za Kigeni lakini siku hizi Wana Pasipoti za Tanzania kwenye makampuni Yale Yale na TRA taarifa za awali zinasoma ni RAIA WA Somalia, Kenya, Uganda, Yemen , Msumbiji nk
Hawa watu wanapataje uraia mbona tukienda kwao Pasipoti hatupewi kirahisi? Viongozi waliopewa dhamana yakulinda ajira zetu wazawa wanafanya kazi yao inavyotakiwa?
Je, maafisa wa chini wanaweza kutoa NIDA au cheti cha kuzaliwa au Pasipoti Kwa mgeni Bila wakubwa kujua? Mgeni anawezaje kuwa na kuzaliwa nje ya nchi lakini kwenye Pasipoti anaandikwa amezaliwa Tanzania?
Kwa hali inavyotokea sasa ya makundi ya kigaidi upo uwezekano viongozi wanaotoa vyeti vya kuzaliwa, NIDA na pasipoti wakawa wanatumika kutengeneza documents za kugushi kuwapatia Pasipoti wageni wajiunge na maaramia kwenye vikundi vilivyopo mataifa jirani.
Mimi nadhani eneo hili liangaliwe upya kuna shida na kama mamlaka zinazohusika hazijajua basi watambue wageni wengi Sana wanashirikiana na viongozi kupata Pasipoti yetu.
Nimeandika Uzi huu baada ya kuona Tanzania tumeanza kuwasaidia Diaspora kupata Pasipoti kupitia balozi zetu. Huku nje ya nchi sina shida, napata shida na viongozi waliopo huko bongo hasa kurasini ambao tukienda Sisi wanataka Hadi vyeti vya kusoma PhD ila wakienda watu wenye rangi rangi na umate umate wanapita moja Kwa moja kwenda Kwa wakubwa hata foloni hakuna kupanga kudadeki.
Mwamba unamjua kabisa huyu tumesikia naye south akiwa raia WA Somali mkombizi ila akishajichanga anaenda Kwa wadosi bongo kurasini asubuhi jioni anakitabu.
Wengine wapo hapo Zambia wamekaa wakizaa tu wanaipeleka watoto bongo wakachukie Pasipoti, huu ni upumbavu mnatufanyia Sisi weusi wenzenu ila nawaapia mnatengeneza bomu msipokubali kubadilika.
Hizo pesa walizonazo hawa wageni za kuwa na Pasipoti na hata mkiwakamata wamedanganya mnawaomba waondoke taratibu zitawatokea puani one day.
Sisi huku nje tunavyoteseka kukaguliwa hatuna hamu kabisa, kisa kuna wanigeria na wasomali wachache Wana Pasipoti zetu kimagumashi wanatunyima Amani airport za watu tunaonekana wote kanjanja Tu.
NIDA weusi tuna namba wenye rangi mnawapa vitambulisho poa.
Watu wa vyeti vya kuzaliwa watoto wetu vyeti kupata shida ila vya wageni mnatoa tena kwakuwafanya wazaliwe Tanzania wakati siyo wazaliwa wa Tanzania poa.
Magresheni mnadanganywa mnatoa vitabu Kwa wageni poa.
Ila lindeni Tanzania, vipesa mnavyopewa vinaweza kuingamiza Tanzania. Hao wanaoghushi awaitakiii mema Tanzania watailipua tuilinde. Hasa ninyi viongozi mnaosimamia utoaji wa Pasipoti. South inateketea Kwa kuwa na Wana rushwa kama Tz. Chukieni hii piteni kariakoo, kagueni wafanyabiasha wa Kigeni mtagundua TRA Wana NI wageni Uhamiaji ni Watanzania.
Unganisheni system zenu mtagundua uozo uliopo.
Kuna wageni wanafanya biashara na kuajiriwa hapa nchini awali walikuwa na Pasipoti za Kigeni lakini siku hizi Wana Pasipoti za Tanzania kwenye makampuni Yale Yale na TRA taarifa za awali zinasoma ni RAIA WA Somalia, Kenya, Uganda, Yemen , Msumbiji nk
Hawa watu wanapataje uraia mbona tukienda kwao Pasipoti hatupewi kirahisi? Viongozi waliopewa dhamana yakulinda ajira zetu wazawa wanafanya kazi yao inavyotakiwa?
Je, maafisa wa chini wanaweza kutoa NIDA au cheti cha kuzaliwa au Pasipoti Kwa mgeni Bila wakubwa kujua? Mgeni anawezaje kuwa na kuzaliwa nje ya nchi lakini kwenye Pasipoti anaandikwa amezaliwa Tanzania?
Kwa hali inavyotokea sasa ya makundi ya kigaidi upo uwezekano viongozi wanaotoa vyeti vya kuzaliwa, NIDA na pasipoti wakawa wanatumika kutengeneza documents za kugushi kuwapatia Pasipoti wageni wajiunge na maaramia kwenye vikundi vilivyopo mataifa jirani.
Mimi nadhani eneo hili liangaliwe upya kuna shida na kama mamlaka zinazohusika hazijajua basi watambue wageni wengi Sana wanashirikiana na viongozi kupata Pasipoti yetu.
Nimeandika Uzi huu baada ya kuona Tanzania tumeanza kuwasaidia Diaspora kupata Pasipoti kupitia balozi zetu. Huku nje ya nchi sina shida, napata shida na viongozi waliopo huko bongo hasa kurasini ambao tukienda Sisi wanataka Hadi vyeti vya kusoma PhD ila wakienda watu wenye rangi rangi na umate umate wanapita moja Kwa moja kwenda Kwa wakubwa hata foloni hakuna kupanga kudadeki.
Mwamba unamjua kabisa huyu tumesikia naye south akiwa raia WA Somali mkombizi ila akishajichanga anaenda Kwa wadosi bongo kurasini asubuhi jioni anakitabu.
Wengine wapo hapo Zambia wamekaa wakizaa tu wanaipeleka watoto bongo wakachukie Pasipoti, huu ni upumbavu mnatufanyia Sisi weusi wenzenu ila nawaapia mnatengeneza bomu msipokubali kubadilika.
Hizo pesa walizonazo hawa wageni za kuwa na Pasipoti na hata mkiwakamata wamedanganya mnawaomba waondoke taratibu zitawatokea puani one day.
Sisi huku nje tunavyoteseka kukaguliwa hatuna hamu kabisa, kisa kuna wanigeria na wasomali wachache Wana Pasipoti zetu kimagumashi wanatunyima Amani airport za watu tunaonekana wote kanjanja Tu.
NIDA weusi tuna namba wenye rangi mnawapa vitambulisho poa.
Watu wa vyeti vya kuzaliwa watoto wetu vyeti kupata shida ila vya wageni mnatoa tena kwakuwafanya wazaliwe Tanzania wakati siyo wazaliwa wa Tanzania poa.
Magresheni mnadanganywa mnatoa vitabu Kwa wageni poa.
Ila lindeni Tanzania, vipesa mnavyopewa vinaweza kuingamiza Tanzania. Hao wanaoghushi awaitakiii mema Tanzania watailipua tuilinde. Hasa ninyi viongozi mnaosimamia utoaji wa Pasipoti. South inateketea Kwa kuwa na Wana rushwa kama Tz. Chukieni hii piteni kariakoo, kagueni wafanyabiasha wa Kigeni mtagundua TRA Wana NI wageni Uhamiaji ni Watanzania.
Unganisheni system zenu mtagundua uozo uliopo.