Mimi hata kwa bunduki sidungwi! Mtadungwa nyieCha umuhumu tudungwe Chanjo,Mama anastahili Pongezi kwa kutujali Watanzania
Mimi na familia yangu hakuna atakaechanjwa iwe jua iwe mvuaKwenye suala la Corona lazima tukubali Magufuli alichemka big time.
Hakuna mtu mwenye akili timamu angekubaliana na Magufuli kwa jinsi alivyoishughulikia korona.
Huwezi kuwa dogma ukajifanya Tanzania haina korona wakati Dunia nzima ina korona eti mungu ametusaidia, huyo mungu alishindwa nini kumsaidia korona isimuue?
Nakubaliana na mama, shughulika na korona kitaalam.
Polisi watatumia tena tutawasaka kwa udi na uvumbaMimi hata kwa bunduki sidungwi! Mtadungwa nyie
Wewe tulia Rais ashauriwe vyema kitaalamu
Mabavicha nao wamekuwa wapiga vigelegele wa ccmMataga na wapiga vigelegele wa Sukuma gang mnapita katika kipindi kigumu sana.
Ghafla mmegeuka kuwa wapinzani. Hahahahaha
Aibu kubwa snMajitu ya lumumba hayawez kubali ushauri Mungu wao aliwazoesha vibaya, too bad mungu wao kafa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu, toa mchango na sio kutanua wigo wa ukabila na kudhalau kabila la mwingine, Okey, licha ya hivyo Kweli hao jamaa Wana makabila mengi ya kutanianaMataga na wapiga vigelegele wa Sukuma gang mnapita katika kipindi kigumu sana.
Ghafla mmegeuka kuwa wapinzani. Hahahahaha
Mkuu unajuaaje wanakufa wengi kukiko Tanzania wakati sisi hatuna data ya wagonjwa wala waliokufa kwa Covid?Unataka tuweke lock down, huo ndio utaalam unaotaka, hao wenye lock down wanakufa wengi zaidi ya Tz sasa nini faida ya lockdown ? SSH ana tatizo, tena ni KUBWA.
Chanjo ni hiyari zije tu!Lazima tuishi nao,nshangaa watu wanalaumu tu au walitaka serikali kila siku waje wao wawanawishe mikono na kuwapaka sanitizer
Sahv mamlaka yote anayo mama kama aliona kna mapungufu kwenye kpambana na covid ataweka sawa,mpaka na mambo ya chanjo nk
Ova
Japan hawana lockdown, South Korea hawana lockdown na nchi nyingi ila viongozi wao wanahimizana kuchukua tahadhari.Unalaumu bure,hiyo covid yenyewe mpk
Leo dawa haijapatikana ambayo ni sahihi
Au ulitaka mpigwe lockdown
Kama tahadhari kuchukua siyo mpaka uambiwe
Ova
Sasa hilo nalo linahitaji kuunda kamati ya corona ndio imshauri? kinachofanya hadi sasa asiseme tuvae barakoa kwa kuanza na yeye ni kwamba hadi apate ushauri kwenye hiyo kamati?Cha umuhumu tudungwe Chanjo,Mama anastahili Pongezi kwa kutujali Watanzania
Pengine unataka kumfuata Magufuli sawia na Watanzania wengine kibao waliotangulia mbele ya haki kutokana na janga la COVID 19?! Kuna Watanzania wengi sana wamefariki kwa COVID 19 tena unreported, ndugu. Muache Rais Samia Suluhu asafishe nchi dhidi ya COVID 19.Kenya wanaofuata COVID19 protocols wako wapi?
Je hamsikii hosptali na mfumo wa afya ulivyozidiwa?
Mbona bongo tunaishi na vizuri tu na maisha yanaendelea kama kawaida?
Tunataka maisha gani zaidi?
Labda ukachome kwao, ukiruhusu wakuletee huku, vile vijamaa vinaweza kutuletea juisi za matango tuchomane!Zipo za China!
Unasema wanakufa kwasababu wanazo takwimu nyie hata kama mnakufa kwa korona hamtojua.Unataka tuweke lock down, huo ndio utaalam unaotaka, hao wenye lock down wanakufa wengi zaidi ya Tz sasa nini faida ya lockdown ? SSH ana tatizo, tena ni KUBWA.
Mama hataki kuwa Dikteta anataka kila jambo ashauriweSasa hilo nalo linahitaji kuunda kamati ya corona ndio imshauri? kinachofanya hadi sasa asiseme tuvae barakoa kwa kuanza na yeye ni kwamba hadi apate ushauri kwenye hiyo kamati?