Kwanini Rais amepoteza mvuto kabla ya kutimiza siku 100?

Kwanini Rais amepoteza mvuto kabla ya kutimiza siku 100?

Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Unaweza kumuona hana mvuto kw sababu watu wanatoa maoni yao be it positive or negative. Jiwe kwa vile alikuwa na upande mmoja wa kusifia (wapingaji walikomeshwa) unaweza kuona kuwa Jiwe alikuwa na mvuto, lkn kumbe hakuwa na mvuto wowote maana upande wa kukosoa ulinyamazishwa
 
Mwacheni mama yetu samia afanya kazi zake vizuri
Mama samia ni mkarimu sana
Mama samia ni mpenda haki
 
Hamna Rais humu, uliona wapi Rais naye analalamika kama wananchi badala ya kutoa ufumbuzi!
kuna utofauti mkubwa kati ya raisi kiongozi na raisi mtawala ...... mara zote raisi kiongozi kama samia huwa anamsaada kwa wananchi nanafuu kwa wananchi wote ndio maana we unaweza kumkosoa na wala isiwe shida na kauli ni ya amri lakini linatumika neno 'naomba' kwa maana ileile ya amri lakini ombi la kiongozi kumbuka ni amri ili linakuwa lina beba ustaarabu
sio kama kauli za tofali samahani nimekosea nakusudia jiwe yeye hana ustaarabu matokeo yake ndio katusababishia mpaka deni la taifa limezidi mara milioni yaani sijui alikuwaje yule bwana
 
Nyie ambao mnataka hotuba za kufokea watu na matusi ndio mnaona Raishana mvuto. Rais kwangu ana mataumaini makubwa sana hasa kwenye kukuza sekta binafsi iliyokuwa inapumulia mashine, na kurekebisha uhusiano na majirani na biashara za watanzania kuruhusiwa kuendelea kati yake na nchi jirani. Samia kaenda Kenya siku mbili tu tayari malori yaliyokuwa yemekwama mpakani yanaruhusiwa kwenda kuuza mahindi Kenya

Sio kiki za kutembea na makamera muda wote na kufokafoka, matusi, rais sio celebrity kila siku kwenye camera na mitandaoni huku wananchi hali ngumu, biashara haziendi, ajira hakuna na majirani wametupiga pini

viongozi wanaingia na kuongoza mtaifa makubwa na kuyapaisha kiuchumi huwaoni wakifokea watu hovyo hadharani
Bila kufokewa hamuendi nyinyi
 
Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Wangapi watafukuzwa kwa kulaghai? tafakari.
 
Unaweza kumuona hana mvuto kw sababu watu wanatoa maoni yao be it positive or negative. Jiwe kwa vile alikuwa na upande mmoja wa kusifia (wapingaji walikomeshwa) unaweza kuona kuwa Jiwe alikuwa na mvuto, lkn kumbe hakuwa na mvuto wowote maana upande wa kukosoa ulinyamazishwa
Acha uongo, wakati wa JPM jamii forum, Facebook, Instagram na Twitter zimetumika kikamilifu kwa watu kutoa maoni yao positive na negative. Twitter na Jamii forum ni mitandao iliyoongoza kwa Uhuru wa watu kutoa maoni ambayo asilimia kubwa yalikuwa negative dhidi ya serikali. Lakini kiuhalisia JPM alikuwa na mvuto kwa kundi kubwa la watu wa tabaka la chini ambao siyo wadau wakubwa wa mitandao ya kijamii.
 
Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Ikiwa una msongo mkubwa wa mawazo kila kitu kwako kitakosa mvuto... waweza hata kutembea utupu maana kila utakayoivaa itakupwelepweta!!
Rais anarekebisha nchi kwa kutengeneza taasisi imara ambazo zitatimiza wajibu kwa nchi na si majizi imara yaporayo kwa jina la uzalendo!!
 
Kusema ukweli hana mvuto. Tena ni kwa wengi tu. Ila nawashauri Watanzania wamvumilie amalize muda wake kwani miaka minne si mingi. Hata taarifa za habari watu hawafuatilii tena. Watu wake wa karibu mshitueni msimdanganye kamwe.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Sukuma gang kazini
 
Yule alikuwa analalamika huku akifanya maamuzi, though pia alikuwa anatutengenezea mazingira ya kutupiga pia.

Tatizo ninaloliona sasa hivi, yeyote anayempinga mama anaonekana ni timu Magufuli.
Nimekuelewa hapo kwenye kutupiga
 
Acha uongo, wakati wa JPM jamii forum, Facebook, Instagram na Twitter zimetumika kikamilifu kwa watu kutoa maoni yao positive na negative. Twitter na Jamii forum ni mitandao iliyoongoza kwa Uhuru wa watu kutoa maoni ambayo asilimia kubwa yalikuwa negative dhidi ya serikali. Lakini kiuhalisia JPM alikuwa na mvuto kwa kundi kubwa la watu wa tabaka la chini ambao siyo wadau wakubwa wa mitandao ya kijamii.
Bwahahaha....... MTU mzima haambiwi muongo . mbona katika uchaguzi mitandao ilizima ikiwa unasema mambo yalikuwa guru unatoa mawazo yako utakavyojiskia
 
Ripot yacag mbona watu hawafikishwi mahakamani? Chonde wananchi katiba mpya tutoe maoni atakae kula mali ya umma anyongwe au kupunguziwa adhabu kifungo cha maisha
 
Back
Top Bottom