Kwanini Rais mteule au aliyechaguliwa na viongozi wengine wa taifa huwa wanaapishwa?

Kwanini Rais mteule au aliyechaguliwa na viongozi wengine wa taifa huwa wanaapishwa?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kuna mtu anayeweza kuelewa kwa nini viongozi wa kisiasa wa taifa hasa Rais huwa wanakula kiapo/ wanaapishwa baada ya kuteuliwa au kuchaguliwa?

Pia msingi wa kutumia vitabu vya dini katika kula kiapo/kuapishwa kwao kwa taifa ambalo ni secular(lisilo la kidini) huwa ni nini?
 
Back
Top Bottom