Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Hawa si walikuwa marafiki enzi za uhai wa hayati JPM, na kwenye msiba Rais Museveni hakuja, sasa mbona leo hajaenda kuzuru kaburi la mpendwa rafiki yake? Au ameenda kimyakimya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameenda privately!Hawa si walikuwa marafiki enzi za uhai wa hayati JPM, na kwenye msiba Rais Museveni hakuja, sasa mbona leo hajaenda kuzuru kaburi la mpendwa rafiki yake? Au ameenda kimyakimya?
Domo refu kama chupa kazi Umbeya tuuuuuu.Hawa si walikuwa marafiki enzi za uhai wa hayati JPM, na kwenye msiba Rais Museveni hakuja, sasa mbona leo hajaenda kuzuru kaburi la mpendwa rafiki yake? Au ameenda kimyakimya?
Hoja hujibiwa kwa Hoja brooDomo refu kama chupa kazi Umbeya tuuuuuu.
Imani yake hairuhusu ibada za mizimuHawa si walikuwa marafiki enzi za uhai wa hayati JPM, na kwenye msiba Rais Museveni hakuja, sasa mbona leo hajaenda kuzuru kaburi la mpendwa rafiki yake? Au ameenda kimyakimya?
Alikuwa ni rafiki wa taasisi siyo personalHawa si walikuwa marafiki enzi za uhai wa hayati JPM, na kwenye msiba Rais Museveni hakuja, sasa mbona leo hajaenda kuzuru kaburi la mpendwa rafiki yake? Au ameenda kimyakimya?
Sukuma Gang mnateseka Mkiwa Wapi!??President @KagutaMuseveni concluded his state visit to the United Republic of Tanzania with a visit to the ancestral home of the Late Tanzania President,John Pombe Joseph Maguful...
Huyo hapo sasa! Vipi mpo? Mmejaa unafiki mpaka na marehemu!