Kwanini Rais Samia hayapi kipaumbele mambo ya msingi kama maji na umeme?

Kwanini Rais Samia hayapi kipaumbele mambo ya msingi kama maji na umeme?

Chikenpox

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
784
Reaction score
1,246
Angalia huduma za Msingi kama umeme, maji nk ni kero tofauti ni mtangulizi wake. Hivi mnajua kwa Nini Magufuli anapendwa sana mtaani licha ya wizi wa kura au mauaji aliyoyafanya? Ni kama alikuwa anafanya vyote ili jamii kubwa ineemeke. Kipindi chake hakukuwa na matatizo ya umeme na maji kabisa.

Fikiria umeme haupo Gongo lamboto na viunga vyake toka asubuhi mpaka jioni hii na haijulikani utarejea saa ngapi and one bothers hata tamko tu hamna.

Nchi imebakia kujiongoza yenyewe as if hakuna uongozi wa juu tena. Leo saloon wanapojipatia kipato vijana zimefungwa, samaki kwenye friji zinaoza nk. Hivi kwa mazingira haya mtaachaje kumpenda jpm?
 
Angalia huduma za Msingi kama umeme, maji nk ni kero tofauti ni mtangulizi wake. Hivi mnajua kwa Nini jpm anapendwa sana mtaani licha ya wizi wa kura au mauaji aliyoyafanya? Ni kama alikuwa anafanya vyote ili jamii kubwa ineemeke. Kipindi chake hakukuwa na matatizo ya umeme na maji kabisa.

Fikiria umeme haupo gongo lamboto na viunga vyake toka asubuhi mpaka jioni hii na haijulikani utarejea saa ngapi and one bothers hata tamko tu hamna.

Nchi imebakia kujiongoza yenyewe as if hakuna uongozi wa juu tena. Leo saloon wanapojipatia kipato vijana zimefungwa, samaki kwenye friji zinaoza nk. Hivi kwa mazingira haya mtaachaje kumpenda jpm?
Kuna mambo mengine Mhe. Rais mnamtwisha mzigo. Yapo mambo ya kumlaumu Rais. Sasa hili ni la Mhe. Rais? Why humpoint Meneja wa Tanesco mkoa huo? Kama ni hapa ungeleta kama taarifa kumsaidia Mhe. Rais si lawama🙏🙏🙏
 
Angalia huduma za Msingi kama umeme, maji nk ni kero tofauti ni mtangulizi wake. Hivi mnajua kwa Nini jpm anapendwa sana mtaani licha ya wizi wa kura au mauaji aliyoyafanya? Ni kama alikuwa anafanya vyote ili jamii kubwa ineemeke. Kipindi chake hakukuwa na matatizo ya umeme na maji kabisa.

Fikiria umeme haupo gongo lamboto na viunga vyake toka asubuhi mpaka jioni hii na haijulikani utarejea saa ngapi and one bothers hata tamko tu hamna.

Nchi imebakia kujiongoza yenyewe as if hakuna uongozi wa juu tena. Leo saloon wanapojipatia kipato vijana zimefungwa, samaki kwenye friji zinaoza nk. Hivi kwa mazingira haya mtaachaje kumpenda jpm?
Jpm hajawahi kuuwa,kusaini wafungwa wanyongwe,alikataa,
 
Angalia huduma za Msingi kama umeme, maji nk ni kero tofauti ni mtangulizi wake. Hivi mnajua kwa Nini jpm anapendwa sana mtaani licha ya wizi wa kura au mauaji aliyoyafanya? Ni kama alikuwa anafanya vyote ili jamii kubwa ineemeke. Kipindi chake hakukuwa na matatizo ya umeme na maji kabisa.

Fikiria umeme haupo gongo lamboto na viunga vyake toka asubuhi mpaka jioni hii na haijulikani utarejea saa ngapi and one bothers hata tamko tu hamna.

Nchi imebakia kujiongoza yenyewe as if hakuna uongozi wa juu tena. Leo saloon wanapojipatia kipato vijana zimefungwa, samaki kwenye friji zinaoza nk. Hivi kwa mazingira haya mtaachaje kumpenda jpm?
Ikulu na Zanzibar umeme haukati mkuu
 
Kuna mambo mengine Mhe. Rais mnamtwisha mzigo. Yapo mambo ya kumlaumu Rais. Sasa hili ni la Mhe. Rais? Why humpoint Meneja wa Tanesco mkoa huo? Kama ni hapa ungeleta kama taarifa kumsaidia Mhe. Rais si lawama🙏🙏🙏
Meneja yupo chini ya nani? mbona likijengwa darasa anasifiwa yeye badala ya mkuu wa shule?
 
Angalia huduma za Msingi kama umeme, maji nk ni kero tofauti ni mtangulizi wake. Hivi mnajua kwa Nini jpm anapendwa sana mtaani licha ya wizi wa kura au mauaji aliyoyafanya? Ni kama alikuwa anafanya vyote ili jamii kubwa ineemeke. Kipindi chake hakukuwa na matatizo ya umeme na maji kabisa.

Fikiria umeme haupo gongo lamboto na viunga vyake toka asubuhi mpaka jioni hii na haijulikani utarejea saa ngapi and one bothers hata tamko tu hamna.

Nchi imebakia kujiongoza yenyewe as if hakuna uongozi wa juu tena. Leo saloon wanapojipatia kipato vijana zimefungwa, samaki kwenye friji zinaoza nk. Hivi kwa mazingira haya mtaachaje kumpenda jpm?
Chato stand
 

Attachments

  • 5279563-69ff3939d6eaf48dfc8d26ca23ff6510.mp4
    506.7 KB
Kuna mambo mengine Mhe. Rais mnamtwisha mzigo. Yapo mambo ya kumlaumu Rais. Sasa hili ni la Mhe. Rais? Why humpoint Meneja wa Tanesco mkoa huo? Kama ni hapa ungeleta kama taarifa kumsaidia Mhe. Rais si lawama[emoji120][emoji120][emoji120]
Tutapoint ma-manager wa mikoa mingapi sasa? Maana sahizi umeme ndio unakatwa balaa, si tunalia na mheshimiwa tatizo la mtu aliyempa dhamana na wizara hiyo
 
Angalia huduma za Msingi kama umeme, maji nk ni kero tofauti ni mtangulizi wake. Hivi mnajua kwa Nini jpm anapendwa sana mtaani licha ya wizi wa kura au mauaji aliyoyafanya? Ni kama alikuwa anafanya vyote ili jamii kubwa ineemeke. Kipindi chake hakukuwa na matatizo ya umeme na maji kabisa.

Fikiria umeme haupo gongo lamboto na viunga vyake toka asubuhi mpaka jioni hii na haijulikani utarejea saa ngapi and one bothers hata tamko tu hamna.

Nchi imebakia kujiongoza yenyewe as if hakuna uongozi wa juu tena. Leo saloon wanapojipatia kipato vijana zimefungwa, samaki kwenye friji zinaoza nk. Hivi kwa mazingira haya mtaachaje kumpenda jpm?
yaani kukosekana umeme gongolamboto toka asubuhi ndiyo mambo ya msingi!?..acha ujinga bwana!!
 
Angalia huduma za Msingi kama umeme, maji nk ni kero tofauti ni mtangulizi wake. Hivi mnajua kwa Nini Magufuli anapendwa sana mtaani licha ya wizi wa kura au mauaji aliyoyafanya? Ni kama alikuwa anafanya vyote ili jamii kubwa ineemeke. Kipindi chake hakukuwa na matatizo ya umeme na maji kabisa.

Fikiria umeme haupo Gongo lamboto na viunga vyake toka asubuhi mpaka jioni hii na haijulikani utarejea saa ngapi and one bothers hata tamko tu hamna.

Nchi imebakia kujiongoza yenyewe as if hakuna uongozi wa juu tena. Leo saloon wanapojipatia kipato vijana zimefungwa, samaki kwenye friji zinaoza nk. Hivi kwa mazingira haya mtaachaje kumpenda jpm?
Wazanzibari sio watu wa kuumiza kichwa eti umeme umekatika sijui nini maji hakuna nchi ipo kwenye outopilot inajiendea tu mimi ndo nachoona
 
Angalia huduma za Msingi kama umeme, maji nk ni kero tofauti ni mtangulizi wake. Hivi mnajua kwa Nini Magufuli anapendwa sana mtaani licha ya wizi wa kura au mauaji aliyoyafanya? Ni kama alikuwa anafanya vyote ili jamii kubwa ineemeke. Kipindi chake hakukuwa na matatizo ya umeme na maji kabisa.

Fikiria umeme haupo Gongo lamboto na viunga vyake toka asubuhi mpaka jioni hii na haijulikani utarejea saa ngapi and one bothers hata tamko tu hamna.

Nchi imebakia kujiongoza yenyewe as if hakuna uongozi wa juu tena. Leo saloon wanapojipatia kipato vijana zimefungwa, samaki kwenye friji zinaoza nk. Hivi kwa mazingira haya mtaachaje kumpenda jpm?
Yuko sauzi afrika,mtajijua wenyewe,
 
Back
Top Bottom