Kwanini Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said asipoenda tu Uwanjani kutizama Mechi Yanga SC husumbuka mno Kimatokeo, ila akienda ni uhakika 100%?

Kwanini Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said asipoenda tu Uwanjani kutizama Mechi Yanga SC husumbuka mno Kimatokeo, ila akienda ni uhakika 100%?

Muulize huyo boda boda
JamiiForums-1481095019.jpg
 
Wamatopeni Mnaweweseka Sana Na Kuona Dar Young Africans Hawatumii Nguvu Kushinda.

Kumbe Ni Faida Ya Kusajili Wachezaji Bora Una Aziz Ki Best Midfielder Una Pacome Performance Ya Juu Kabisa Toka Ivory Coast.

Khalid Aucho Mchezaji Mwenye Utulivu Hana Papara Katika Ukabaji Na Kumiliki Mpira.

Amin Amin Na Kwambia Na Young Africans Hii Hadi Sasa Bado Tunajitafuta Tungepata Striker Bora Nafasi Zinazochezewa Na Max & Mzize Zingekuwa Converted Na Kuwa Magoli.


Young Africans Angekuwa Tishio Zaidi Si Kumpiga Mtu Goal 5 Tungekuwa Tunashinda Hata Goal 10 Kama Ambavyo Celtic Kwa Kipindi Chake Ilivyo-dominate Scotland Au Bayern Ya Kipindi Hicho Bundasliga Pale.

Dar Young Africans Ni Timu Bora Hakuna Uhusiano Wowote Wa Eng Hersi Kuwa Uwanjani Na Kushinda Kirahisi.

Wamatopeni Mnashindwa Kujenga Timu Mnahamia Kupiga Ramli Kwa Dar Young Africans.
 
Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu Replies ( Mirejesho ) yenu kutokana na Mada husika.
Jini kuu analo yeye, hilo jini ni hatari...hivi vijini vidogovidogo tunatembea navyo sisi,na vingine tunamrushia mayele...
 
Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu Replies ( Mirejesho ) yenu kutokana na Mada husika.
VYUO 20 BORA NCHINI TANZANIA

1. University Of Dar es Salaam (UDSM)
2. Sokoine University of Agriculture (SUA)
3.Muhimbili University of Health and Allied Science (MUHAS)
4. University of Dodoma (UDOM)
5. Catholic University of Health and Allied Science (BUGANDO)
6. Open University of Tanzania
7. Ardhi University
8. Mzumbe University
9. Tumaini University Makumira
10. State University of Zanzibar
11. Mkwawa University College of Education
12. Nelson Mandela African Institute of Science and Technology
13. Hurbert Kairuki Memorial University
14. Dar es Salaam Institute of Technology (DIT)
15. St Joseph University in Tanzania
16. College of Business Education (CBE)
17. Institute of Finance Management (IFM)
18. Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMC)
19. Moshi Co-operative University (MOCU)
20. Saint Augustine University of Tanzania (SAUT)

Source: IREG Observatory

CHUO ulichosoma Kipo Namba Ngapi Kwenye List??
 
Back
Top Bottom