KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,238
- 4,885
wakuu hbr poleni na mihangaiko ,wengine mnasubuliwa na hang over ,msaada wa hili kwa nini kwa sasa subaru legency bei imekuwa chini sana na bado watu hawazichangamkii shida haswaa ni nini ? Toka anguko la TOYOTA ALTEZA soko la bongo naona pia kama Subaru legency nayo ilipitiwa na upepo je shida ni mwarabu kwa kuwa ina Turbo??? Au wabongo bado wamekariri??
Gari hii imetengenezwa kwa maumbo mawili ambayo ni station wagon kwa ajili ya off road na saloon.
Nayozungumzia hapa ni yenye umbo la saloon
Upande wa kushindana katika soko inashindana na gari zifuatazo Audi A4, VW Passat, Toyota Mark X, Nissan Teana, Mercedes C Class, BMW 3 Series na Mazda 6.
Mwenye A,B,C hebu atupe nimeona km tatu zinauzwa bei ya kawaida sana na bado zipo kwenye hali nzuri mno ikiwemo hii niliyopost picha
Je hizi gari zina tatizo gani mpk zinafanya bei inapoa??
Gari hii imetengenezwa kwa maumbo mawili ambayo ni station wagon kwa ajili ya off road na saloon.
Nayozungumzia hapa ni yenye umbo la saloon
Upande wa kushindana katika soko inashindana na gari zifuatazo Audi A4, VW Passat, Toyota Mark X, Nissan Teana, Mercedes C Class, BMW 3 Series na Mazda 6.
Mwenye A,B,C hebu atupe nimeona km tatu zinauzwa bei ya kawaida sana na bado zipo kwenye hali nzuri mno ikiwemo hii niliyopost picha
Je hizi gari zina tatizo gani mpk zinafanya bei inapoa??