Kwanini rich people wanapenda kucheza golf

Kwanini rich people wanapenda kucheza golf

How Profit Venture Limited is stealing from Kenyan forex traders

We are raising the forex scam alert levels in Kenya to code red.


Even after being duped in ponzi schemes like Bullish Trade, and even while the jury on VIP Portal is still out there, Kenyans are still entrusting their forex trading capital to local online forex trading organizations.

Forex Investigator has come across documents showing that a Nairobi based forex Introducing

Broker along Tom Mboya Street, Profit Ventures Limited, owes millions of shillings to clients who invested with them in the hope of obtaining high returns after a few months. Forget VIP Portal Incorporated, this one is the mother of all forex scams.


We have seen bank receipts from investors who deposited with this introducing broker months ago. The smallest amount of deposit made to this IB being Kshs. 132,000. This IB has one agent, a lady, who has been asking people to deposit money through an account at standard chartered bank.
HEBU NA WEWE TUONDOLEE UPUUZI WAKO HAPA,LIONE NYAMBAAAFU WEWE.
 
ad5db780891d0d9f79a833f8b19c29ad.jpg
your post is irrelevant to our thread!
 
Mm nafikiri aliyeleta thread chini yake ameweka logic yake
Kwa maoni yangu nafikiri golf ndo mchezo ambao unatumia akili kuliko nguvu ( mentality than physicality) na kwa kawaida matajiri ndo wanafikiria kuliko masikini
Kwa maana kwamba sisi masikini niwaoga sana wa kufikiria ndo maana tunatumia nguvu nyingi kupata riziki zetu contrary to rich men
Ndo maana tunachagua physical exercise than mental exercise
 
Mm nafikiri aliyeleta thread chini yake ameweka logic yake
Kwa maoni yangu nafikiri golf ndo mchezo ambao unatumia akili kuliko nguvu ( mentality than physicality) na kwa kawaida matajiri ndo wanafikiria kuliko masikini
Kwa maana kwamba sisi masikini niwaoga sana wa kufikiria ndo maana tunatumia nguvu nyingi kupata riziki zetu contrary to rich men
Ndo maana tunachagua physical exercise than mental exercise
Matajiri ndio wanafikiria kuliko masikini?

Wote wanafikiri tena unaweza kukuta masikini ndo anaumiza kichwa kuzidi tajiri lakini utofauti wao unakuja kwamba wanafikiri kuhusu nini?

Hisia za masikini zimetawaliwa na woga, aibu na hofu ya kushindwa lakini hisia na mawazo ya tajiri yapo katika kuyamini kwamba anaweza!

Kwa mfano masikini atasema, "hili jambo siliwezi" lakini tajiri anajiuliza "nifanye nini kupata hili jambo"
 
1.Ni sehemu ambapo matajiri wanakutana kubadilishana mawazo,kutengeneza connections na mengineyo (brunching)

2.Vifaa navyo ni gharama,golfkit bei yake imesimama,na golf clubs nyingi fees zao ni kubwa.

3.Mchezo wa strategy zaidi.
 
Golf ni mchezo unaohitaji umakini,makidirio,mahesabu ,nguvu na akili nyingi kuucheza kwa hiyo kwa wenye pesa inasaidia kuamsha akili japo yuko mchezoni lakini anatumia akili nyingi lakini hata chess pia.
I agree
 
Mm nafikiri aliyeleta thread chini yake ameweka logic yake
Kwa maoni yangu nafikiri golf ndo mchezo ambao unatumia akili kuliko nguvu ( mentality than physicality) na kwa kawaida matajiri ndo wanafikiria kuliko masikini
Kwa maana kwamba sisi masikini niwaoga sana wa kufikiria ndo maana tunatumia nguvu nyingi kupata riziki zetu contrary to rich men
Ndo maana tunachagua physical exercise than mental exercise
You hit the point,poor people wengi hawapendi kufikiri that way wanatumia nguvu nyingi sana badala ya akili
 
Mm nafikiri aliyeleta thread chini yake ameweka logic yake
Kwa maoni yangu nafikiri golf ndo mchezo ambao unatumia akili kuliko nguvu ( mentality than physicality) na kwa kawaida matajiri ndo wanafikiria kuliko masikini
Kwa maana kwamba sisi masikini niwaoga sana wa kufikiria ndo maana tunatumia nguvu nyingi kupata riziki zetu contrary to rich men
Ndo maana tunachagua physical exercise than mental exercise
You hit the point,poor people wengi hawapendi kufikiri that way wanatumia nguvu nyingi sana badala ya akili
 
You hit the point,poor people wengi hawapendi kufikiri that way wanatumia nguvu nyingi sana badala ya akili
Kwahiyo hao matajir wameanza kufikiri baada ya kutajirika sio
 
Back
Top Bottom