Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Ukuona channel ten ikirudishwa?au ulitaka utekerezaji upi?Kulikuwa na kizungumkuti gani na kigugumizi gani kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Magufuli (deceased) kutotekeleza ripoti ya Tume ya chama ya Bashiru Ally? Je, kutotekeleza ripoti hiyo siyo kwamba inaashiria matumizi mabaya ya rasilimali za chama kwa Tume hiyo ambayo sasa ni kama "work done zero"
Channel 10 ilibadilishana na makontena ya meno ya tembo aliyokutwa nayo Mdogo wa Rostam AzizUkuona channel ten ikirudishwa?au ulitaka utekerezaji upi?
Sababu angewagusa wastaafu wengi, hivyo maisha yake kuwa magumu.Kulikuwa na kizungumkuti gani na kigugumizi gani kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Magufuli (deceased) kutotekeleza ripoti ya Tume ya chama ya Bashiru Ally? Je, kutotekeleza ripoti hiyo siyo kwamba inaashiria matumizi mabaya ya rasilimali za chama kwa Tume hiyo ambayo sasa ni kama "work done zero"
Kazi yako wivu. Bashiru hata asipopewa ubunge au kazi serkalini siyo kwamba atasota kama wewe mwenye wivuy ya kike. Bashiru alitokea chuo kikuu na alikuwa mwalimu huko na akitaka anaweza kurudi maana hakuondoka kwa ubaya. Wewe kila kitu maumivu na yartazidi pale CHADEMA itakapokufa kifo cha mende. Mbowe mwenyewe anaabudiwa kama Kabaka wa Bagana, akitembea na mke wako utawatangazia CHADEMA wote kuwa wewe ndiyo unapendwa na Mbowe maana kasuzia uchafu wote wa jela kwa mkeo. Grow up. Be yourself! It is as if you cannot live without Mbowe!huyo bashiru na kundi lake bora usiwataje kabisa. unakumbusha watu maumivu. sijui atafanya kazi gani 2025 na hajafungua tv ya yutube kama mwenzake polepole.
Magufuli alikuwa na makandokando mengiKulikuwa na kizungumkuti gani na kigugumizi gani kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Magufuli (deceased) kutotekeleza ripoti ya Tume ya chama ya Bashiru Ally? Je, kutotekeleza ripoti hiyo siyo kwamba inaashiria matumizi mabaya ya rasilimali za chama kwa Tume hiyo ambayo sasa ni kama "work done zero"
Wew mse***Magufuli alikuwa na makandokando mengi
Siyo tu wastaafu hata yenye mwenyewe JiweSababu angewagusa wastaafu wengi, hivyo maisha yake kuwa magumu.
Hata Kama hatasota lakini maumivu ya ndani kwa ndani ataish nayo sauna chezea wewe psychological torture. Acha liumie tuu hanna namnaKazi yako wivu. Bashiru hata asipopewa ubunge au kazi serkalini siyo kwamba atasota kama wewe mwenye wivuy ya kike. Bashiru alitokea chuo kikuu na alikuwa mwalimu huko na akitaka anaweza kurudi maana hakuondoka kwa ubaya. Wewe kila kitu maumivu na yartazidi pale CHADEMA itakapokufa kifo cha mende. Mbowe mwenyewe anaabudiwa kama Kabaka wa Bagana, akitembea na mke wako utawatangazia CHADEMA wote kuwa wewe ndiyo unapendwa na Mbowe maana kasuzia uchafu wote wa jela kwa mkeo. Grow up. Be yourself! It is as if you cannot live without Mbowe!
Ilikuwa ni Channel Ten tu?Ukuona channel ten ikirudishwa?au ulitaka utekerezaji upi?
Kama ni kweli basi ndivyo vitu ambavyo vilitakiwa kuwa dhahiri.Channel 10 ilibadilishana na makontena ya meno ya tembo aliyokutwa nayo Mdogo wa Rostam Aziz
Somehow you have tried to sound intellectual! Keep it up.Ripoti 80% ilikuwa imejaa majungu na fitina. Ilielezea watu zaidi kuliko mali.
Mzee akaona huyu jamaa anataka cheo tu akampa uKM wa chama.