Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
Mwanzoni mwa mwezi February mwaka huu, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, aliunda Tume ya kuchunguza ya Mauaji ya mfanyibiashara wa madini, Mussa Hamisi, kwa maelekezo ya Rais Samia.
Tume hiyo iliyoundwa na Waziri Mkuu, ilipewa muda wa wiki 2 kukamilisha ripoti hiyo.
Tume hiyo ilikamilisha ripoti yake na kumkabidhi Waziri Mkuu ripoti hiyo na Waziri Mkuu alisema, wakati anakabidhiwa ripoti hiyo kuwa ataikabidhi ripoti hiyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ili aipitie ripoti hiyo na baadaye itolewe kwa Umma wa watanzania.
Hivi leo ni zaidi ya miezi 2 imepita, ripoti hiyo haijatolewa kwa Umma wa watanzania.
Swali ninalouliza, ni kwa nini utawala wa awamu ya 6, chini ya Rais Samia, unapata kigugumizi kuitoa ripoti hiyo kwa Umma wa watanzania?
Kuna nini kilichojificha, Hadi Tume hiyo ripoti yake isitolewe kwa Umma wa watanzania?
Ni hayo maswali yangu machache, ambayo naomba mamlaka husika, zinijibie maswali yangu hayo
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania...........
KAZI IENDELEE
Tume hiyo iliyoundwa na Waziri Mkuu, ilipewa muda wa wiki 2 kukamilisha ripoti hiyo.
Tume hiyo ilikamilisha ripoti yake na kumkabidhi Waziri Mkuu ripoti hiyo na Waziri Mkuu alisema, wakati anakabidhiwa ripoti hiyo kuwa ataikabidhi ripoti hiyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ili aipitie ripoti hiyo na baadaye itolewe kwa Umma wa watanzania.
Hivi leo ni zaidi ya miezi 2 imepita, ripoti hiyo haijatolewa kwa Umma wa watanzania.
Swali ninalouliza, ni kwa nini utawala wa awamu ya 6, chini ya Rais Samia, unapata kigugumizi kuitoa ripoti hiyo kwa Umma wa watanzania?
Kuna nini kilichojificha, Hadi Tume hiyo ripoti yake isitolewe kwa Umma wa watanzania?
Ni hayo maswali yangu machache, ambayo naomba mamlaka husika, zinijibie maswali yangu hayo
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania...........
KAZI IENDELEE