Kwanini risiti hazisumbui kwenye vituo hivi vya mafuta?

Kwanini risiti hazisumbui kwenye vituo hivi vya mafuta?

RRONDO

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
55,727
Reaction score
123,094
Kwa uchunguzi wangu binafsi sijawahi kuweka mafuta Puma, Total, Engen nikaambiwa risiti hazitoki, mashine ya risiti mbovu.

Natumia sana hivi vituo na mara zote napata risiti. Lakini mara chache ninapotumia vituo fulani huwa nakumbana na hii shida kwamba risiti hazitoki mashine mbovu.

Shida ni nini? Shida ni nini kwa akina ngamia, ziwa, pbg ni wengineo?
 
Kwa uchunguzi wangu binafsi sijawahi kuweka mafuta Puma,Total,Engen nikaambiwa risiti hazitoki mashine ya risiti mbovu. Natumia sana hivi vituo na mara zote napata risiti. Lakini mara chache ninapotumia vituo fulani huwa nakumbana na hii shida kwamba risiti hazitoki mashine mbovu. Shida ni nini? Shida ni nini kwa akina ngamia,ziwa,pbg ni wengineo?
Mkuu, jibu ni obvious. Though hizi risiti zinatakiwa pump ikitoa mafuta zitoke hata bila human interventions.
Alternatively, hizo pump ziwe modified ili record ya mafuta yaliyouzwa yawe retained hata bila risiti
 
Serikali ina 49% ya Puma Energies

Total ni multinational french company

Engies nao si watz, hivyo wanahitaji hesabu zao zikae vizuri.

Oilcom, Lake oil, Camel, Oryx ni wenzetu wa hapa hapa.

Manager unakabidhiwa lita kadhaa lazima hesabu irudi kwa hizo hizo lita ila TRA zinaenda hesabu tofauti
 
Serikali ina 49% ya Puma Energies

Total ni multinational french company

Engies nao si watz, hivyo wanahitaji hesabu zao zikae vizuri.


Oilcom, Lake oil, Camel, Oryx ni wenzetu wa hapa hapa.

Manager unakabidhiwa lita kadhaa lazima hesabu irudi kwa hizo hizo lita ila TRA zinaenda hesabu tofauti
Aisee
 
Lake Oil majuzi na juzi risiti zinasumbua.
Nikamuuliza mhudumu jamani toka jana risiti hazitoki na TRA hawajafika?
Akasema wanashughulikia.
Halafu ni kituo ambacho nimezoea kujazia.
Inaelekea hili ni tatizo la kitaifa.
 
Kwa uchunguzi wangu binafsi sijawahi kuweka mafuta Puma, Total, Engen nikaambiwa risiti hazitoki, mashine ya risiti mbovu. Natumia sana hivi vituo na mara zote napata risiti. Lakini mara chache ninapotumia vituo fulani huwa nakumbana na hii shida kwamba risiti hazitoki mashine mbovu.

Shida ni nini? Shida ni nini kwa akina ngamia, ziwa, pbg ni wengineo?
Puma na total ndio vituo vyangu vya kujazia mafuta since day 1 namiliki ndinga...ngoja niupdate list niweke na hao engine sasa.
 
Lake Oil majuzi na juzi risiti zinasumbua.
Nikamuuliza mhudumu jamani toka jana risiti hazitoki na TRA hawajafika?
Akasema wanashughulikia.
Halafu ni kituo ambacho nimezoea kujazia.
Inaelekea hili ni tatizo la kitaifa.
Tatizo la kitaifa kwao tu?
 
Kwa uchunguzi wangu binafsi sijawahi kuweka mafuta Puma, Total, Engen nikaambiwa risiti hazitoki, mashine ya risiti mbovu. Natumia sana hivi vituo na mara zote napata risiti. Lakini mara chache ninapotumia vituo fulani huwa nakumbana na hii shida kwamba risiti hazitoki mashine mbovu.

Shida ni nini? Shida ni nini kwa akina ngamia, ziwa, pbg ni wengineo?
Connection

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom