Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kama ulifuatilia mahojiano ya Leo ambao ni utaratibu wa kawaida Kwa makocha na ma captain wa mechi
Kilichonishangaza ni kuwa kocha wa Al ahly the giant [emoji208] alikuwa ana jiamini sana lakini kocha Mzee [emoji23][emoji23] robertinho alikuwa kinyonge sana . tofauti na mbwembwe zake tulizozizoea ......kaja captain boko nae kaongea kinyonge sana tofauti na walivyocheza na DAR CITY FC au horoya
Kwa tuliosoma physcology nadhani tunaelewa kuwa it's means fear, anxiety for upcoming unknown heavyweight.........[emoji23][emoji23]
NB: Je unadhani kuwa mnyonge Kwa super coacher la makocha Simba robertinho ....+ captain la macaptain boko ni ishara ya nini?
Kilichonishangaza ni kuwa kocha wa Al ahly the giant [emoji208] alikuwa ana jiamini sana lakini kocha Mzee [emoji23][emoji23] robertinho alikuwa kinyonge sana . tofauti na mbwembwe zake tulizozizoea ......kaja captain boko nae kaongea kinyonge sana tofauti na walivyocheza na DAR CITY FC au horoya
Kwa tuliosoma physcology nadhani tunaelewa kuwa it's means fear, anxiety for upcoming unknown heavyweight.........[emoji23][emoji23]
NB: Je unadhani kuwa mnyonge Kwa super coacher la makocha Simba robertinho ....+ captain la macaptain boko ni ishara ya nini?