Kwanini Rostam hajifunzi?

Jeffrey Epstein was a fake billionaire set up by intelligence services. His private island functioned as a massive child sex trafficking ring that was used to collect blackmail on the global elite (billionaires, celebrities and politicians, etc
 
Nimeanza kuelewa sasa duuuh
 
Yeye kama mfanya biashara hana makosa, wenye makosa ni hao wanaofanya maamuzi, kwa sababu hajiamulii yeye kujipa zabuni; shida ni hao wanaompa zabuni (waajiriwa)
 
Yaani huyu binadamu naamini hata hiyo dini Hana ila ni evil spirit ndiyo imemjaa. Mimi ni mwisilamu original na nikabadili dini, sijawahi ona muislam mwenye kumpenda Mungu kuwa na sifa kama hizo za huyu selfish being...

This filthy guy is simply a horrible devil [emoji49] !! Period !
 
Duh aliwahi kuhusishwa na skendo Yemen na Irani sasa kaingia Kenya Mungu atunusuru.
 
Inasemakana jamaa ni CIA agent Kwa upande wa East Africa,kuna mada niliwahi kuisoma humu ilikua inamzungumzia ushirika wake na USA
 
Inasemakana jamaa ni CIA agent Kwa upande wa East Africa,kuna mada niliwahi kuisoma humu ilikua inamzungumzia ushirika wake na USA
Soma hiyo chini hapo, Rostam Aziz hana tofauti huyo jamaa
[emoji3596][emoji3596][emoji3596][emoji3596]

"Jeffrey Epstein was a fake billionaire set up by intelligence services. His private island functioned as a massive child sex trafficking ring that was used to collect blackmail on the global elite (billionaires, celebrities and politicians"
 
Mkataba uliokaa kiwizi wizi WaTz tumeukataa haijalishi ni wa mkristu au muislam. lakini ngoja niwaulize nyie waislam kwanini mnataka kuhalalisha haramu kuwa halali katika hili dubwasha la DPW. ndiyo maana nasisi tusiokuwa na dini tunaanza kupata wasiwasi kuwa mna ajenda zenu nyuma pazia zinazowapelekea kuwa vipofu wa kutokuona madhara ya mkataba huo. Na huyu bwana umejua kuutumia udhaifu wenu huo kufanikisha deal la magumashi kama hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…