Kwanini Rwanda ndio kioo cha Watawala Afrika Mashariki na Kati?

Halafu kioo cha watawala Afrika mashariki na Kati ni Tanzania mkuu.. asikudanganye MTU
 
Huo ndio ukweriiii 100% ndugu zangu.
 
Rafiki yangu architect alipata kazi Scotland, alipelekwa Rwanda miaka minne, kampuni yao ilipata contract ya kubuni na kujenga majengo ya serikali.

Kila anochofanya Kagame ana lenga miaka 100 ijayo.
 
Hakuna cha kujifunza kutoka kwa kagame, labda kuiga laana aliyonayo ya mauwaji tu
 
Sisi wenyeji wa karagwe, kyerwa na ngara mkoani kagera ndo tunawafahamu wanyarwanda vzr.

Ni maskini mno wale watu
 
Wakati wa utawala wa awamu ya nne , nchi yetu haikuwa na mahusiano mazuri na Rwanda, matokeo yake ni kwamba vitendo vya ukandamizaji kwa raia vilikuwa ni kidogo sana.

Alipoingia madarakani Rais John Magufuli, katika moja na hotuba zake alikiri kupewa ushauri na rais Kagame juu ya ununuzi wa ndege kwa cash, na nina uhakika alishauriwa na vingine pia.

Katika utawala huo wa John Magufuli, mahusiano ya nchi yetu na Rwanda yakaimalika, na hapo ndipo tukaanza kuona vitendo vya kutekana, kuuana, kupigana risasi, wapinzani kushughulikiwa nk

Juzi hapa IGP Sirro alitoka Rwanda bila aibu wakati akiongea na vyombo vya habari akatangaza kuanza kufuatilia yanayofundishwa kwenye nyumba za ibaada hasa Misikitini na Sunday School, kwa kigezo cha kwamba Rwanda wamefanikiwa sana kwenye njia hiyo ili kuzuia ugaidi.

Kwa kifupi ni kwamba, Jenerali Kagame, Jenerali Museveni na CCM ya Tanzania hawa ndiyo wanaunda utatu haramu ndani ya ukanda huu wa Africa Mashariki.
 
Mimi nilimdharau alipojitokeza kama raisi wa kwanza kusapoti Gadafi avamiwe kijeshi
ajabu na kweli daaando ilivo kuwa????? any way nilikuwa shule wkt huo sikuipata hiii!! ila nikijua kuwa ni kweli nitamdharau sana huyu jamaa daaa!
 
Yote kwa yote!! wazungu wana slogan zao zinasema hivi ''Wao km wao!! hawana Rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu'' Huyo Kagame ajipange kwa matumizi tu, lkn iko siku yatamkuta km yaleeee!! ya

Savimbi wa angola dhidi ya Agostini Neto(mwenzake bado ala bata), Sadadam Hussein yuko wapi!! alitumiwa dhidi ya Ayatolah Khomein! Hissene Habre!! Idd Amini Dada, huyu aliandaliwa maksudi!! lkn akagutuka wkt alishakula vyao!!

so wazungu walimgeuka mbaya........ nyerere kaipata hii kuwa wamemgeuka ikawa fursa kwake so akampa kichapo kileee cha Lukaya!...... Juzijuzi hapa Mobutu aliipata hata hawakumtaka aende kutibiwa tu!! akafa km mbwa!!

Hao na wengine weeengi! sana walitumikia Mibeberu!! lkn walitoswa km hawajawahi tumika!!!! Nyerere alikataa kutumikia weupe kabisaaa!! akajiunga na ndg zake Frontline state!! alizikwa kwa heshima mpaka leo! Africa hii atakumbukwa mnooo!!

kIFUPI urafiki na Mweupe ukiwa km mkuu wa nchi hauna mwisho mwema, nakwambia!!! hii ni sheria ya Historia watakuendesha weee!! kwa faida yao! ipo siku utasema duuu nimekuwa sana Dikteta lkn ''hapa??? hapana sitaki!!

Hapo hapo ndo patamu wanakumaliza wao dakika sifuri km Saddam!! kivipi?? wanakuacha au kuongezea nguvu kwa adui yako! ....Sasa huyu kagame huyu???????? weee!!.... muache tu!! iko siku isiyo kuwa na tarehe atakufa kifo kibaya sana tena na hao hao!!

Weupe watamnyonga live!! sijui atamlilia nani???? Najua muheshimwa unapita pita humu! soma uelewe hii ikamate kabisaaa!! bora uwe na urafiki na ndg zako Africa, watakuhifadhi utaishi wanajua!! si unaona Mengistu Haile Maliamu anakula Bata kiulainiiii!!

Kaunda kazomewa weeee!! na chiluba huyo hapo!! walewale ndg zake wa south/Namibia alio kuwa nao wkt wa dhiki wamemzika kwa heshima!! na bado familia yake inatunzwa na kufarijiwa wewe Kagame kichwa km papai jifanye mjanja tu!!...unacheka??????

Kwanza mdogo wako Major Loraa Nkunda yuko wapi??? km siyo Kigali umemficha anakula bata?? huyu si ndo mliyeshirikiana naye kupora Mali za DRC Siyo?? ''The Haegue kaenda mwingineeee!!'''.....yaani.... au unadhani tumesahau? wewe ulimkamata Major kirahisi tu!! eti na kumzuia Rwanda .. ndo ika jiiii mpaka leo... wewe ulimkamata km nani?? kwa malipo yapi??

Mwisho Kagame!!! Nisikie uzuri navosema na ukumbuke Maneno yangu ''Mchuma janga hula na wa kwao!! sasa wewe unakula na hao Nefilims utaona cha moto . make kwa maksudi kabisa unacheza na moto!! unaoujua vyema! kifupi umeuza uhai hayaa!

yangu ni hayo ila huna mwisho mwema, hao kina Angela na urefu huo waandalie urithi Kabisaa!! sasa sijui wataulia wapi make wanajulikana Dunia nzima!........
 

kwan ni uongo??? nchi nyingi zisizodhibiti dini zinaingia kwene machafuko lazma kuwe na mkono wa chuma kwa wale wanaotumia dini kisiasa au kutimiza azma zao chafu
 

[emoji23][emoji28][emoji28][emoji3]nimecheka sana !! watz tuna uswahili sana !! siamini unavoongea kama unachamba mtu anakusikia[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji28][emoji28][emoji3]nimecheka sana !! watz tuna uswahili sana !! siamini unavoongea kama unachamba mtu anakusikia[emoji23][emoji23]
uswahili wetu ni dawa!! Mzaa!! mzaa mbwa anamlamba!! Mama yake hayaaa! Weee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…