Kwanini Rwanda wametuzidi katika hili?

usiwe unakurupuka kuleta vitu bila kufanyia uchunguzi,

sio kila wanachosema waandish wa habari makanjanja ni kweli,

Waandishi wa Habari wanaweza kuwa sahihi zaidi kuliko hizo Link unazoziabudu wewe kwani siku ambayo Shehk Ponda alipigwa Risasi Mitandao mingi iliripoti kuwa ponda amepigwa risasi na ndio aliyehusika na kumwagiwa Tindikali wale Mabinti wa Uingereza lakini mwisho wa siku ikaonekana ni uongo.
 

hoja ya kukua uchumi kwa nchi ambayo ilikua ndani ya vita na machafuko sio kigezo cha kufananisha na nchi kama yetu au nchi ambayo ina uchumi imara
bila shaka uchumi wake utakua kwa kasi kwani kila kitu kili vurugwa na vita
kama wakati wa vita mfano kilimo kilikua cha kususua sasa kinaendelea kidogo au viwanda vilisimama kutokana na wahutu na watutsi kuchinjana na sasa viwanda viwili vitatu vimefufuliwa au kama kodi ilikua ndogo kwa vile biashara zilidoda wakati wa kuchinjana na sasa kodi inakusanywa bila ya shaka katika hali hio itaonesha uchumi unakua kwa kasi lakini ukweli rwanda huwezi kulinganisha na TZ hata siku moja....
 
Acheni ushamba Wa kutaja chama ambacho tangu umekijua hujawah kuwapa msaada wowote.halafu hata muonekano wenu unasadifu uwezo wenu mdogo wa kufkiri.
 

Sasa wewe nchi yako inavyote ivyo unanufaika nini,acheni kuipumbaza serikali kwa mapambia uo ni ujinga uolio pitiliza
 
Wewe si Mtanzania Ww ni mhamiaji Haramu kwani utetezi wako kwa Kagame umedhihilisha jinsi ulivyo mtumwa wa Fikra za kagame fikra za wizi wa Rasirimali za Congo na Kujifai eti amekuza Uchumi ! Ni Ukweli gani umeuleta ?hakuna Ukweli juu ya mtizamo wa kumtetea Kagame .Acha Mifano ya ajabu Kumbuka Tz hailingani na Rwanda tz kuna watu Milion 45 huku Rwanda ni Sawa na Wilaya ya kinondoni kwa idadi ya watu iweje ulinganishe ukubwa wa Ka Nchi kaduchu kanakotawaliwa kibabe na Taifa Kubwa linalopenda Amani ?umejisahau sana kumbuka Zoezi la Wahamiaji haramu linakuja Popote Ulipo utaludishwa Rwanda mkabanane huko huko kwa wapenda vita na waumini wa M23
 
hoja ya kukua uchumi kwa nchi ambayo ilikua ndani ya vita na machafuko sio kigezo cha kufananisha na nchi kama yetu au nchi ambayo ina uchumi imara
bila shaka uchumi wake utakua kwa kasi kwani kila kitu kili vurugwa na vita
kama wakati wa vita mfano kilimo kilikua cha kususua sasa kinaendelea kidogo au viwanda vilisimama kutokana na wahutu na watutsi kuchinjana na sasa viwanda viwili vitatu vimefufuliwa au kama kodi ilikua ndogo kwa vile biashara zilidoda wakati wa kuchinjana na sasa kodi inakusanywa bila ya shaka katika hali hio itaonesha uchumi unakua kwa kasi lakini ukweli rwanda huwezi kulinganisha na TZ hata siku moja....
Uchumi wa marekani unakua kwa asilimia 2 wa rwanda asilimia 7 jee ndio rwanda wapo bomba kuliko marekani .
Hivi viwango vya kukua ni kwa kila nchi inategemea hali yake ya nyuma na sio kigezo cha kulinganisha baina ya nchi
Tanzania ni nchi kubwa ina watu +45m huwezi ukalinganisha na nchi ya watu 5m.
Eneo letu ni kubwa sana kuliko rwanda
Lakini tumeweza kuinganisha nchi sasa hivi kwa roads
Kila mkoa kuna huduma muhimu
Kila wilaya kuna huduma muhumi
Uchumi wetu ni bora zaidi na imara zaidi
Miaka miwili iliyo pita burget ya kenya ilikua ni sawa na nchi zote za EAC sasa burget yetu ni 75% ya kenya na mwakani tutawapita!
Usilinanishe tanzania na rwanda wao ni saiz ya burundi tu
 
Mi huo nimekosa jibu,hua hasa Rwanda wana nini mpaka wanatuzidi kiuchumi,currently is among of the 7/180 country with rapid economic growth. Embu tusaidiane
 
Nchi nzima ndogo kuliko dar es salaam hata chizi anaweza kuiendesha satisfactorily, let alone a dictator anayeiba mali za wacongo. coltan kontena moja linauzwa over $10 million, we utashindwa kupiga rangi walau kigali? by the way over 60% ya budget ni misaada, ili kuiadhibu kwa kuwasaidia M23 marekani ilipunguza just $200,000 jamaa walichoka kweli, kagame akaanza kuwakamua walalahoi percentage ya mishahara kufidia upungufu huo, hiyo hela si ata mulugo anayo.
 
Kwani tz ni ya ngapi ktk ukuaji wa uchumi,na ni vigezo gani vinatumika
 
Naona hivi karibuni vijana wa buku7 aka #team rumumba mmepata washindani humu jf.hawa c wengine ni vijana wa bwana paul kagame aka kagame propagandist team movement.🙄
 
-------- mkubwa wewe swali gani hilo? Ukuaji wa uchumi wa rwanda si endelevu kwasababu hautegemei nguvukazi ya wanyarwanda bali mali asili zinazoporwa kutoka drc, vta ya kongo ikikoma hata panadol mtakuwa mnakopa .

Nimependa malezo yako ila yamenipa swali; je unafikiri ni PK peke yake ndiye anayeiba dhahabu ya kongo? hufikirii kwamba hiyo mali inatumbuliwa mijicho na karibu wote wanaoizunguka congo?
halafu ninaona hivi, sio kwamba ana nafuu PK anayekwapua lakini anafanyia nchi yake kinachoonekana? bIla shaka na wengine nao wamekwapua directly or indirectly, hawa wanafanyia nini au wanazipeleka wapi?
mi ningesema eti waswahili wanasema ''ukipata kula ukikosa jutia'' kwa hiyo PK akikopa panadol sawa, lakini si aliwahi kula tena ikaonekana! na kwa kusema hivyo si kusema kuwa mgogoro unasababishwa na huu ulaji ila wengine tunafikiri eti PK amepewa tu ushauri ukamkasirisha? haya ni maoni yangu baada ya kuunganisha dots
 
Nilitegemea watu wangejadili ni kwa vigezo vipi uchumi wa Rwanda umekua na kulinganisha na Tanzania huku tukiangalia kwenye maeneo ya uwekezaji, utawala bora, haki za binadamu na uthibiti wa mali za umma, kupambana na madawa ya kulevya, rushwa n.k

Tungeweka huo unaoitwa ukatili wa Kagame au wengine wanaouita udhaifu wa Kikwete pembeni na kuangalia hayo maeneo na mchango wake kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi, mjadala ungekua wa maana sana.
 

Kwa jinsi mjadala huu ulivyoendelea, inaonekana Tanzania tuna safari ndefu sana ya kujikomboa kutoka umaskini wa kiuchumi.
Hapa naona wa-Tanzania wengi sana 'wanautetea' umaskini wa Tanzania.
Wa-Tanzania wengi sana 'wanaupenda' umaskini wao, ndio maana tunashindwa na 'viji-nchi' vidogo kama Rwanda.
Kila siku tunasema Rwanda 'inaiba' mali toka Congo, ila hatusemi kuwa viongozi wetu wa Tanzania 'wanaiba' mali toka Tanzania ..!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…