Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Wandugu kwanini hao samaki wa baharini hawafiki huku mikoani. Huku sijawahi ona bucha linauza samaki wa baharini. Labda vibua kidogo. Ingekuwa poa sana na sisi tupate dagaa mchele tupige na ugali.
Mabucha yote ni sangara na sato. Kwani pweza na hao samaki wengine wa baharini hawakai kwenye mafriza?
Nini kinakwamisha uduvi wasifike mikoani?
Mabucha yote ni sangara na sato. Kwani pweza na hao samaki wengine wa baharini hawakai kwenye mafriza?
Nini kinakwamisha uduvi wasifike mikoani?