Duuuu aise basi kazi hipo yani kila samaki lazima upate kibali chake tena mimi nilidhani ukipata tu kibali wewe unavua mwanzo mwisho ili mradi uzivue wale ambao ni wadogo sana na hivyo vigezo vya kupeleka nje samaki ndiyo vipi tena?basi nchi yetu kwene eneo la uwekezaji tuko nyuma na utaratibu wetu niwa hovyo sana Mkuu.Ndio, kila samaki ili avuliwe lazima uwe na kibali na ulipie. Pia kama unasafirisha kwenda nje Kuna vigezo vyake.
Mkuu samaki wa pwani ni samaki wa kimwinyi, adimu sana na hata wakipatikana bado demand yao ni kubwa , kiufupi hata pwani kwenyewe hawatoshi.Wandugu kwanini hao samaki wa baharini hawafiki huku mikoani. Huku sijawahi ona bucha linauza samaki wa baharini. Labda vibua kidogo. Ingekuwa poa sana na sisi tupate dagaa mchele tupige na ugali.
Mabucha yote ni sangara na sato. Kwani pweza na hao samaki wengine wa baharini hawakai kwenye mafriza?
Nini kinakwamisha uduvi wasifike mikoani?
MkuuHao wengine hawapatikani muda wote . Ni wa msimu hasa wa mvua kwa hiyo ni wachache . Lakini Sato & Sangara ni all over the year
Kanda ya ziwa ipo juu sana kwa magonjwa ya kansa na mengine mengi hatarishi kutokana na chemical contamination ya maji na samaki wa ziwa victoria , migodi huko ndio sababu.Alafu bahari n kubwa kuliko ziwa Victoria
Lakn sato na sangara kila Kona ya nchi wapo.
Acha uongo, samaki wa mahi chumvi hatuwapati tu huku bara lakini tunawapenda sanaUkweli ni kwamba watu wa bara wengi ni antagonistic kutumia bidhaa za bahari. Msukuma ale papa, nguru, taa, tasi? Wao watakwambia wamezoea sato na kidogo sangara.
Kuna msukuma mmoja tulikua tunafanya naye kazi tulikaa pale hotel ya Peacock nikamzoesha kula changu ndio akaanza kuwaelewa samaki wa baharini.
Na hata huko kwao Mwanza utasikia sato....sangara hawawapendi. Ila kimsingi sangara ana mnofu sana. Napenda sangara kuliko sato
Utamu ni relative. Watu wa pwani nao wanaona vibua ni watamu kuliko sato. Wala siyo demand. Kuna sehemu huko Kilimanjaro na Arusha hao wa Nyumba ya Mungu hawafiki. Vilevile kanda ya Ziwa kuna sehemu sato hawafiki. Kote huko nimeishi.
Kwa mtu aliyekulia mkoani, samaki wa baharini kumla ni changamoto sana!!ndio maana hata watu hawana habari nao!!mi mwenyewe wamenishinda kabisa!!hata ukiwapeleka huko hawana soko!!ila samaki wa ziwani ni rahisi kwa mtu yoyote yule kumla!!baharini kuna samaki wa ajabu mno!!mfano huko usukumani nani utakayemuuzia pweza?
Unapo export samaki wale unaowapelekea wanakupa vigezo hao samaki wawe katika ipi.Duuuu aise basi kazi hipo yani kila samaki lazima upate kibali chake tena mimi nilidhani ukipata tu kibali wewe unavua mwanzo mwisho ili mradi uzivue wale ambao ni wadogo sana na hivyo vigezo vya kupeleka nje samaki ndiyo vipi tena?basi nchi yetu kwene eneo la uwekezaji tuko nyuma na utaratibu wetu niwa hovyo sana Mkuu.
Zeiya delishiazi...lakini kuna wale wazee wakongwe wa mwanza huwa hawali sangara wanakula sato tuSo what? Aren't they delicious?
Nani alipandikiza? Hizi story sijui zinapatikana wapiSangara siyo origin mwanza maana walipandikizwa
Wanamjua Mkundajiii hawa..Mkuu samaki wa pwani ni samaki wa kimwinyi, adimu sana na hata wakipatikana bado demand yao ni kubwa , kiufupi hata pwani kwenyewe hawatoshi .
Kuna baadhi ya aina za samaki hata kufika sokoni kwenyewe ni nadra , kuna mmoja ainaitwa Songoro , akipatikana huyo , kipaumbele anapewa mwenye chombo , au dalali almaarufu , kama' mboga 'nyumbani.
Uduvi hatoweza kufika mkoa kwa sababu hizo hizo , demand bado ni kubwa mno pwani
Igombe fisherman nyumbani Mwanza nilikua nauza samaki wa kukaanga akaja mzee fulani akakuta nina sato wengi na pia sangara,akasema nimfungie sato ila akasema kama wangekua ni wa moto angependa wa kutafuna pale pale,nikamwambia zunguka huko nyuma mama anakaanga ukachukue waliotoka motoni kabisa.Nani alipandikiza? Hizi story sijui zinapatikana wapi