Kwanini sasa hivi Mtu hakondi na kutapika wala kuharisha hata kama hajapima HIV

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,878
Reaction score
5,432
Swali fikirishi.... inakuwaje Sasa Hivi Mtu anaweza Kaa Hata Miaka 5 huku ana kirusi ch Ukimwi Ila Zile dalili z Mwanzo zilizokuwa Zinawapeleka Ndugu zetu kaburini hana.

Kuharisha kutapika... kukonda. N. K
 
Yani ana maambukizi,hajaanza dozi ila hana dalili??


Mmm,,tusubiri madaktar
 
hiii
Swali fikirishi.... inakuwaje Sasa Hivi Mtu anaweza Kaa Hata Miaka 5 huku ana kirusi ch Ukimwi Ila Zile dalili z Mwanzo zilizokuwa Zinawapeleka Ndugu zetu kaburini hana.

Kuharisha kutapika... kukonda. N. K
inatokana na ulaji wa lishe bora kila siku
 
Swali fikirishi.... inakuwaje Sasa Hivi Mtu anaweza Kaa Hata Miaka 5 huku ana kirusi ch Ukimwi Ila Zile dalili z Mwanzo zilizokuwa Zinawapeleka Ndugu zetu kaburini hana.

Kuharisha kutapika... kukonda. N. K
Ukiona hivyo wanawahi ARV mapema.
 
Swali fikirishi.... inakuwaje Sasa Hivi Mtu anaweza Kaa Hata Miaka 5 huku ana kirusi ch Ukimwi Ila Zile dalili z Mwanzo zilizokuwa Zinawapeleka Ndugu zetu kaburini hana.

Kuharisha kutapika... kukonda. N. K
Nikawaida kuharisha kutapika kukonda n.k kuna kuja baada ya miaka.kuanzia 5 .

Hiyo kitu ina hatua zake . Siku izi pamoja na maendeleo, watu wanajiwah fastaaa so ningumu kuziona izo

Ila dalili za awali za miezi miwili mitatu baada ya kukipata nilazima ingawa pia sio kwa watu wote namara nying izo dalili wengi huzichukulia km ni homa ya kawaida tu...zikishapita then kurudi ni mpaka miaka mpaka mitano uko
 
Swali fikirishi.... inakuwaje Sasa Hivi Mtu anaweza Kaa Hata Miaka 5 huku ana kirusi ch Ukimwi Ila Zile dalili z Mwanzo zilizokuwa Zinawapeleka Ndugu zetu kaburini hana.

Kuharisha kutapika... kukonda. N. K
Hata mimi niliwahi kujiuliza hili swali ila jibu langu nililohisi ni kuwa
1.ongezeko za ARV yani waathirika wengi wanatumia dawa za kupunguza makali so akikuambukiza ukimwi unakua weak sio kama ule wa zamani so unaweza kuishi fresh tu bila ARV for some time

2.lishe. zamani watu walikua masikini mno, mtu asubuhi anakunywa uji mkavu,mchana hali ,usiku ugali dagaa so lazima apate tabu ila sikuiz ma juice na ma maziwa kibao pamoja na balanced diet

Mwisho. Kuna jamaa alikua nao alizaliwa nao akawa hatumii ARV na akawa fresh tu.japo mwisho alikufa kifo kibaya
 
Rekebisha kiswahili
Swali fikirishi.... inakuwaje Sasa Hivi Mtu anaweza Kaa Hata Miaka 5 huku ana kirusi ch Ukimwi Ila Zile dalili z Mwanzo zilizokuwa Zinawapeleka Ndugu zetu kaburini hana.

Kuharisha kutapika... kukonda. N. K
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…