Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kama virusi vya ukimwi vimetenhenezwa kwa makusudi maalumu, huenda wameona ule ukimwi wa zamani ulikuwa unafanya mtu kugundulika mapema so wameona wapunguze makali ili watu waendelee kuukwaa bila kujua.
Maana inasemakana zamani mtu mwenye ngwengwe kijiji kizima mnamjua kwa mwonekano tu,
Maana inasemakana zamani mtu mwenye ngwengwe kijiji kizima mnamjua kwa mwonekano tu,