Probably kitazidi kuwa weak sana, maana kimefubazwa sana na ARV's dose hivyo kikiingia kwa mtu mwingine kinakuwa sio active kama awali sababu kinakuwa kimefubazwa sana na madawa.So means itafika kipindi kitaweak sana,kitakuwa hakina effect?
kisayansi, kirusi kina tabia ya kubadirika kulingana na mazingira na ndio maana magonjwa ya virusi kama UKIMWI na mafua hayaponi. Hivyo vimejibadirisha kulingana na mashambulizi dhidi yakeSwali fikirishi.... inakuwaje Sasa Hivi Mtu anaweza Kaa Hata Miaka 5 huku ana kirusi ch Ukimwi Ila Zile dalili z Mwanzo zilizokuwa Zinawapeleka Ndugu zetu kaburini hana.
Kuharisha kutapika... kukonda. N. K
@Deception
Mimi nimeandika kuwa Deception kasema hakuna ukimwi??Deception hakuna bandiko alilosema hakuna UKIMWI.
Hivi wale jamaa wa Uganda na Bukoba wakifufuka Ukija Kuwaambia Ukimwi Unaanza Kukonda baada ya Miaka 5 watakuelewa kweli...Nikawaida kuharisha kutapika kukonda n.k kuna kuja baada ya miaka.kuanzia 5 .
Hiyo kitu ina hatua zake . Siku izi pamoja na maendeleo, watu wanajiwah fastaaa so ningumu kuziona izo
Ila dalili za awali za miezi miwili mitatu baada ya kukipata nilazima ingawa pia sio kwa watu wote namara nying izo dalili wengi huzichukulia km ni homa ya kawaida tu...zikishapita then kurudi ni mpaka miaka mpaka mitano uko
Yuko SAHIHI. .. yaan moja y 7bu za kutopata hzo hali ni LISHE BORA na MA2MIZ YA DAWA (ARVs) mapemaHujasoma vizuri mada rudi kasome uje tena ukoment
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahaaaa ilikua noma sanaSaikolojia kwamba hata akikonda kuna vidonge, usicheze na Ukimwi wa mwaka 1983-2002, hatari sana, mtu akipita njia hampiti week kisa alopita ana UKIMWI
[emoji23][emoji23][emoji23]kimefubaa omba kisikukute utanambia kama kimefubaaTafiti za kisayansi zinakiri kwamba nguvu ya kirusi imefubaa sana kwa miaka ya hivi karibuni kulinganisha na kile genuine cha awali.
Duuh kifo gani mkuu??Hata mimi niliwahi kujiuliza hili swali ila jibu langu nililohisi ni kuwa
1.ongezeko za ARV yani waathirika wengi wanatumia dawa za kupunguza makali so akikuambukiza ukimwi unakua weak sio kama ule wa zamani so unaweza kuishi fresh tu bila ARV for some time
2.lishe. zamani watu walikua masikini mno, mtu asubuhi anakunywa uji mkavu,mchana hali ,usiku ugali dagaa so lazima apate tabu ila sikuiz ma juice na ma maziwa kibao pamoja na balanced diet
Mwisho. Kuna jamaa alikua nao alizaliwa nao akawa hatumii ARV na akawa fresh tu.japo mwisho alikufa kifo kibaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kimefubaa omba kisikukute utanambia kama kimefubaa