Kwanini Sayansi na Teknolojia isitumike kufahamu mwezi utaandama siku gani?

Kwanini Sayansi na Teknolojia isitumike kufahamu mwezi utaandama siku gani?

Kuandama kwa mwezi maana yake mwezi ,jua na dunia zipo kwenye mstari mmoja kwa lugha ya sayansi- in conjuction. Sayansi inayouwezo wa kutabiri kwa ufanisi mkubwa wakati wa tukio hili.Utabiri unazingatia mahali alipo mtamazaji /observer location(latitude na longitude). Nadhani muda ni muafaka kuzingatia sayansi kutangaza "kuonekana " kwa mwezi.

The gathering of religious scholars just for the purpose of sighting moon burdens national exchequer and is waste of public money. It is time to utilise science and technology to end the controversy​

- Chaudhry Fawad Hussain, Minister of Science and Technology in Pakistan
 
Unaposema mahali mtu alipo unakusudia nn.

Mahali ni Nchi ?
,
Au mkoa ?

Au bara ?
Sikusudii chochote kile bali ninamaanisha GPS location; that point on the earth where someone is present at that particular moment
 
Sikusudii chochote kile bali ninamaanisha GPS location; that point on the earth where someone is present at that particular moment
Mufti kasema mwezi hata zanzibar haukuonekana.
.kwa maana ungeonekana angeufuata

Unadhani mufti wa dar yuko zanzibar mpaka aitaje zanzibar kuwa haijaonekana ?

Pia muft kasema na comoro hawajauona,unadhani mufti wa tz yuko comoro mpaka aseme kuwa huko hawajauona ?

Unaposema pahali alafu hukusudii popote ukasema mtu alipo bado hoja yako inakuwa uchi.

Kwa sababu kuna hadithi mtume aliletewa taarifa za kuonekana mwezi na watu wa mashamba ambao wapo kando kidogo ya mji kwa maana watu ama mtu huyu hakuwa ile sehemu aliyekuwepo mtume.

Lakini mtume alikubali taarifa hizo,kwa nini azikubali taarifa za mwezi kwa watu wa kaeneo kengine mtume ?
 
Mufti kasema mwezi hata zanzibar haukuonekana.
.kwa maana ungeonekana angeufuata

Unadhani mufti wa dar yuko zanzibar mpaka aitaje zanzibar kuwa haijaonekana ?

Pia muft kasema na comoro hawajauona,unadhani mufti wa tz yuko comoro mpaka aseme kuwa huko hawajauona ?

Unaposema pahali alafu hukusudii popote ukasema mtu alipo bado hoja yako inakuwa uchi.

Kwa sababu kuna hadithi mtume aliletewa taarifa za kuonekana mwezi na watu wa mashamba ambao wapo kando kidogo ya mji kwa maana watu ama mtu huyu hakuwa ile sehemu aliyekuwepo mtume.

Lakini mtume alikubali taarifa hizo,kwa nini azikubali taarifa za mwezi kwa watu wa kaeneo kengine mtume ?
Ulisoma Jiografia shule ya Sekondari? Unaujua mstari unaitwa International Date Line?. Kama unaujua, kwa nini unadhani mstari upo? Na kwa nini mstari huo haujanyooka kama ilivyo mistari mingine?
 
Ulisoma Jiografia shule ya Sekondari? Unaujua mstari unaitwa International Date Line?. Kama unaujua, kwa nini unadhani mstari upo? Na kwa nini mstari huo haujanyooka kama ilivyo mistari mingine?
Weka hoja ya msingi hili suala sio la IDL.

Wai mtume kasema tuangalie INT.D.Line katika kuutafuta mwezi ?

Tujadili maneno ya mtume kwa falsafa yake na sio unaweka vipimo ambavyo havina msingi wowote katika mwezi
 
Ulisoma Jiografia shule ya Sekondari? Unaujua mstari unaitwa International Date Line?. Kama unaujua, kwa nini unadhani mstari upo? Na kwa nini mstari huo haujanyooka kama ilivyo mistari mingine?
Kabla hujaenda kwenye geography jibu maswali yangu niliyokuuliza juu ya falsafa yako ya "pahali/mahali"
 
Kwanza kabla ya yote ningependa nijue mwezi wa mwandamo hutizamwa upande gani?
 
Watu wa dini hawapendi mambo ya sayansi sana
 
Back
Top Bottom