Kwanini scale za geologists kwa bongo ziko chini kuliko meneja wa vitengo?

Kwanini scale za geologists kwa bongo ziko chini kuliko meneja wa vitengo?

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Wanabodi, nimefuatilia mambo ya migodini nikagundua geologist, engineer ambaye ana cheo kama geology manager, au Gelogy supervisor mshahara wao unakuwa wa kawaidi, mfano 9-10 Million/mwezi wakati Supervisor wa maendeleo ya jamii anakula hata million 14. Je hii ni kwanini au wana malipo ya ziada yanayowapa pesa nzuri zaidi??
 
Milion 9-10 mshahara wa kawaida?

Okay, turudi kwenye topic. Mfano mgodi gani?

Ila wana marupurupu mfano overime, na kila wakiexplore sehemu afu wakiblast mzigo ukatema vizuri kuna kamishen nzuri wanapata (ref. zamani Tanzanite 1 na Williamson Diamond LTD), sijui kwenye gold uko.
 
Back
Top Bottom