Kwanini Selemani Jafo ndiye atangaze "kupiga nyungu" na si Dkt. Dorothy Gwajima?

Kwanini Selemani Jafo ndiye atangaze "kupiga nyungu" na si Dkt. Dorothy Gwajima?

Waziri Gwajima ni Waziri wa afya anayejisahau na kuingilia mjukumu ya TAMISEMI,(Waziri wa Afya anatakiwa kushughulikia sera za Afya).Na amekosekana wa kumwambia juu ya kuingilia majukumu ya TAMISEMi,yaani kwa vile alitokea TAMISEMI ambako alifanikiwa kuten genezea kiki zake labda anajisahau kuwa sasa yupo Wizara ya Afya!

Waziri Jafo ni Waziri wa TAMSEMI na ni Wizara iliyopo karibu na Wananchi kupitia usimamizi wa Vijiji,Halmashauri,Wilaya na Mikoa!!
Waziri Jafo akisema tupige nyungu yupo sawa,yaani hayo ni mambo ya ngazi ya mwananchi wa kawaida kwa imani zetu!
Waziri Gwajima lazima apate kigugumizi kuhusu "Corona"!
Ulichoandika hapa hata Mungu anakushangaa.
 
Serikali kupitia kinywa Cha Waziri wa TAMISEMI Suleiman Jaffo imetangaza wiki ya watu kupiga nyungu inayoanza leo Jumatatu kama moja ya silaha ya kupambana UVIKO.

Ni baada ya kumalizika kwa wiki ya Sheria inayohitimishwa leo ambapo Rais Magufuli ni mgeni rasmi.

Swali langu ni hili. Vita ya UVIKO au Corona iko chini ya wizara ya Afya chini ya Waziri Dk. Gwajima. Kwa nini TAMISEMI ndio itangaze wiki ya nyungu na si Wizara ya Afya?

Je, Dk. Gwajima haamini katika nyungu? Pili, tunaomba maelezo ya kutosha ya namna ya kupiga nyungu maana ni rasmi kiserikali, si ushirikina.
Nyumba/nchi inayo ongozwa kwa ushirikina utaijua tuu.
 
Back
Top Bottom