Kifupi kila nchi huwa kuna kiwango maalum cha kuchapisha hela ambacho hulatibiwa na benki ya dunia! Labda itokee janga mfano moto ndio unaweza kuomba kibali kuchapisha nyingine!! Vinginevyo serikali isingekuwa na uhaba wa fedha na mfuko wa bei ungekuwa mkubwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.