Kwanini Serikali haichapishi pesa za kutosha?

Kwanini Serikali haichapishi pesa za kutosha?

Ila Gari za kutosha zipo
1475244688079.jpg
 
Kifupi kila nchi huwa kuna kiwango maalum cha kuchapisha hela ambacho hulatibiwa na benki ya dunia! Labda itokee janga mfano moto ndio unaweza kuomba kibali kuchapisha nyingine!! Vinginevyo serikali isingekuwa na uhaba wa fedha na mfuko wa bei ungekuwa mkubwa sana
 
Back
Top Bottom