Kwanini Serikali haijatoa rambirambi kwa wanachadema waliowawa ktk ghasia za Uchaguzi Dsm, Singida, na Songwe?

Kwanini Serikali haijatoa rambirambi kwa wanachadema waliowawa ktk ghasia za Uchaguzi Dsm, Singida, na Songwe?

Kwani mchango na salaam za rambirambi vikitolewa vitainufaishaje chadema? Hivi nyie wenzetu huwa mnafikiriaje?
Hii ni kama ile story ya yule jamaa aliyekosa nyama kwenye msiba, akalia sana na kusema, "nyie sawa tu, tunyimeni nyama zenu, na sisi tutafiwa tu"
Inasikitisha sana chadema kufikia hatua hii 😢😭
 
huyo katibu wa nyinyiemu akiwa waziri wa mambo ya ndani alimtoa utumbo mwangosi iringa

Wanahofu kwa sababu muuaji mmoja amekamatwa .
Wanahaha kutafuta namna ya kumtoa kwenye tuhuma hiyo ya mauaji?
Wanaandaa press ya kusema upelelezi umebaini kuwa mauaji hayakuwa ya kisiasa bali ni fumanizi.

Huyo atatoka kwenye Rufaa kutokana na makosa yatakayofanywa makusudi ya kiufundi wakati wa kesi.

Hivi wale wataalamu wa Kongo au kule sumbawanga au kule TANGA KWA MSISI hua wamepewa kipaji cha kuadhibu vikosa vidogo vidogo vya wizi ,fumanizi, kumpa mtu mimba tu .Au na haya makosa makubwa ya mauaji wanaweza kumwadhibu mtu kwa kumvimbisha tumbo mpaka liburuze ardhini huku akiwa na hamu ya kula kinyesi tuu. ?

Maana ifikie mahali hawa wana wa SHETANI warudishwe kwake( shetani ) ili wakaadhibiwe na mzazi wao .
Hii kama inawezekana ni vyema sasa Waafrika tunatumia mbinu hizi kupambana na hao wenye nguvu na maagizo toka juu ya kuua mchana au mbele ya watu bila hofu wala kujali maana waliowatuma wana uhakika wa kuwa huru.

Kuna mfano wa stori moja ya miaka ya nyuma kule Tabora , kuna mkuu wa mkoa mmoja alimtamani binti mmoja aliyekua ameshinda ummiss wa mkoa huo. Akatuma wapambe wamkutanishe naye kwa Hadaa kuwa alitaka kumpongeza . Alikutana naye sehemu waliyokubaliana. Alimlewesha sana . Baadae akaondoka naye kwenda kumzini . Hakuishia hapo bali alimlawiti /Alimfira pia kama kawaida yao wana wa shetani na uzao wa nyoka ,kizazi cha uasi ,kizazi kisicho kuogopa Mungu Zaidi ya kumuogopa yule tu aliyepewa mamlaka makubwa na Katiba.
Baada ya tukio lile yule binti alipozinduka alipata fedheha kubwa sana kwenye nafsi yake. Akatamani kujiua . Miaka ile hapakuwa na Watu kama akina Tundu Lisu au Mwabukusi ambao wangeweza kupaza sauti na kutafuta haki ya yule binti mhanga.
Binti alijificha kwa bibi yake kijijini na kupoteza mawasiliano na boy friend wake jambo lililomfanya boy friend wake apate kazi kubwa ya kumtafuta kwani hapakuwa na simu za mikononi kwa watu wengi hasa watu wa chini.
Alifanikiwa baada ya kumpata dada mtu na kuambiwa kuwa yupo kijijini kwa bibi yake .

Baada ya kufika kijijini yule binti alikua anaonekana uwa alikua na jambo zito moyoni mwake . Alimbana amweleze nini kimemsibu mpaka akaondoka ghafla bila kuaga. Ilibidi aeleze kisa chote kwa uchungu mkubwa.
Yule kijana aliumia sana na kuwaza nini cha kufanya ili kulipa kisasi na kupata unafuu wa moyo wake.
Aliona hawezi kulipa kisasi yeye mwenyewe kwa mikono yake kutokana na ulinzi na madaraka ya yule RC. Wala serikali haiwezi kumlipia kisasi maana haitamsikiliza . Alichofanya ni kwenda kwa bibi mmoja mwenye elimu ya masuala ya asili akamsilulia kwa uchungu mkubwa. Yule bibi akamuuliza kwa hiyo unataka tumfanyeje huyo RC ,? Yule kijana akamwambia nataka afukuzwe kazi tu wala usimuue maana ametafanya hayo kutokana na cheo chake. Yule bibi akamwambia atafute laki tatu.Laki tatu kwa sasa ingekuwa karibu mil. 3.
Akaitafua akampelekea . Cha ajabu haikupita wiki mbili yule RC alitenguliwa baada ya kufanya tukio moja baya zaidi nje ya mkoa wake. Mchezo uliishia hapo na baada ya miaka michache yule RC alifariki dunia akiwa amelala tu.

Kisasi ni muhimu sana kwani kinaponya nafsi ya jamii iliyotumiwa.

Kisasi ni takwa la jamii iliyostaarabika.
Kwa Wana wa Mungu katika kazi za Mungu basi kisasi kinalipwa na Mungu Mwenyewe.
Kwa Wana wa ukaidi na shetani kizazi kinalipwa na binadamu kupitia nguvu za asili zenye silaha zisizoonekana .
Lakini katika mambo ya kidunia kama siasa na makosa mengine ya jinai kisasi kimeachiwa Serikali badala ya Mungu . Ndio maana wafu wanahukumiwa na kupewa adhabu kali na hata kunyongwa . Yote ni kwa ajili ya kuleta uponyaji kwa mhanga .

Mfano wanawake wanaishi maisha marefu kwa sababu wanapokwazwa na wenza wao wanalipa visasi kwa siri sana na kuziponya nafsi zao.
Kwa nje wanaonekana kama wamesamehe lakini ndani ya nafsi zao wanatafuta namna ya kulipa kisasi. Ndio maana mwingine anaweza hata akaweka kinyesi kwenye chakula au akatemea mate kwenye juisi au anaweka hata mkojo kwenye mchuzi,akampiga sana mtoto, akamtendea vibaya mama mkwe wake ,akatembea na rafiki wa mume wake ,anatembea na house boy ,au mumewe anapozeeka au kukosa nguvu anatekeleza kama kisasi cha yale aliyowahi kumtendea ,lakini pia anapata furaha na faraja kubwa mumewe anapofariki kwa kuona kuwa alistahili kufa kama adhabu n.k.
Yote ni ili kuponya nafsi yake endapo ametendewa ubaya na kuumia rohoni.

Watu wanasema kuwa kusamehe ni bora lakini kusamehe kwa mambo madogo madogo tena ya Kiimani tu. Mfano mtu akakupiga kwa sababu ya kuhubiri mtaani au kuimba mtaani . Kanisa kuchomwa moto na wahuni wa dini nyingine za shetani hapo huwezi kwenda kulipiza kisasi kwa sababu kazi anayoifanya ni ya Mungu.

Hawa vijana kama akina Chalamila kazi waliyoifanya ni ya kisiasa kwa ajili ya maendeleo ya demokrasia hivyo anapouawa kwa makusudi kisasi ni lazima kitokana na jamii na asili ya jamii hiyo.
Ikiwezekana awe anatokea mara kwa mara pale ikulu na kwenye ofisi za CCM mako makuu .

Kisasi ni kisasi tu.
 
Rambirambi zimetolewa. Na zikatumwa kwa Mixx by Yas kwenda kwa wahanga. Lakini kwa sababu ya tozo kubwa za mama pesa yote ilikatwa na wakala wakati wafiwa wanataka kuitoa.
 
Mnasubiri mchango wa rambirambi toka kwa rais? Mnataka sh ngapi?
Kufa kufaana.

Huyu anatakiwa apatikane jini mmoja toka Kongo ajivalishe mwili wa Chalamila kisha awe anatokea mara kwa mara pale Ikulu na pale kwenye ofisi za CCM makao makuu.

Awasumbue tu mpaka wajue kuwa kama ilivyo kifo ni kifo tu basi hata kisasi ni kisasi tu.

Hivi vifo vinatakiwa vilipiwe visasi hapa hapa duniani walipovifanya.

Kazi ya serikali ni kulipa kisasi badala ya ya mtendewa au familia yake au jamii.
Serikali inaposhundwa kulipia kisasi kwa haki ili kuponya nafsi za walioumizwa basi ni jukumu la asili kulipa kisasi .

Mungu ndiye aliyeagiza kuwa serikali zilipe kisasi kwa mambo ya Kaisari .

Katika mambo ya imani na kazi ya Kuutangaza Injili ya ufalme wa Mungu basi Kisasi ni juu ya Mungu kwa sababu kazi yake ndiyo iliyokwamishwa .
Lakini siasa !! No, jamii ndiyo inayotakiwa ilipe kisasi . Na muda sio mrefu kila mtu atafikiwa na haya mauaji ya Makada wa CCM waliochomekwa kwenye vyombo vya dola . Yatawakera wengi ndani ya vyombo hivyo .

Mfano yule wa Ikungi kaka yake ni mwanajeshi . Atapata kazi kubwa sana kulea watoto wa ndugu yake aliyeuawa na wajinga wa alioahidiwa vyeo kwa kuua wapinzani kwa sababu ya madaraka .

CCM wana roho mbaya sana kuliko hata shetani wanayemtumikia.
Kuna jamaa mmoja baba yake alikua Chadema ,akakamatwa kwa mambo ya siasa .Mtoto wake ambaye ni chawa wa CCM akakataa kumwekea dhamana kisa eti anamtia aibu kwa kujiunga na Chadema . Pumbavu sana . CCM kinajengea wetu roho mbaya kwa ajili ya madaraka . Nchi yenye makabila mengi na dini tofauti kama Tanganyika ni Lazima uruhusu Demokrasia ,uhuru na haki sawa tofauti na huko Kizimkazi ,Omani , Irani , Saidia Arabia n.k kwenye dini moja na lugha moja ambapo uhasama wao ni wa kisiasa tu . Hapa kwa sababu yote yanayotokea ni kwa sababu ya madaraka ,teuzi 'na mali za kifisadi , kitakachotokea baada ya kuua upinzani, madaraka yatapatikana kikabila na Kikanda ,Kanda yenye watu wengi itajipanga kushika dola kwenye sekta zote. Hilo la ukabila na ukanda likishindikana watatafuta madaraka kupitia dini .

Mifano ipo. Awumu ya Tano ililaumiwa kwa ukabila na ukanda , Sijui kama ilikua kweli. Hata hivyo ni kutokana na kuwa na ukanda mkubwa hivyo ilikua ni rahisi kutumia ukanda ili kupata uungwaji .
Awamu ya Sita inatoka kwenye jamii ndogo ya kakabila kadogo sana . Mbinu wanayotumia bila kuficha ni Udini maana una wapa uwanja mpana kutokana na dini kuda kubwa sana kuanzia nyumbani mpaka ugenini ?

Hata sarakasi zote ukifuatilia zina harufu ya Udini .
Ndio maana hata maaskofu wakikemea ukiukwaji wa sheria tulizojiwekea wanatukanwa sana na kudhalilishwa na watu wa dini nyingine . Na wanaeneza uongo kuwa Kanisa wakati wa watawala wa dini yao hua wanakaa kimya ,jambo ambalo ni uongo . Kanisa halijawahi kukaa kimya tangu kuanzishwa kwa tawala za kidunia.
Chimbuko la ukristo lipo wazi tangu Tawala za kibabiloni ,kifaraoh ,Kirumi , biashara ya utumwa na ukoloni kabisa limeandika nyaraka za kupinga kuua watu au kutesa wetu au kushitaki watu kwa uongo .

Hata suala la kuwaapisha watawala linatokana na Kanisa kutaka watawala wasijikweze bali watalbue kuwa Mungu ndiye anayewapa utawala hivyo watende sawasawa na maagizo ya Mungu.
wakati wa Nyerere kanisa lilimshauri sana juu ya kuepuka kumwaga damu za watu ndio maana mara nyingi walifungwa gerezani au kuhamishwa na sio kuuawa mitaani kikatili . Watu waligombea kama ndugu sio kama maadui na wahaini .
Watu waliandaa mpaka njama za kumuua na kuipindua serikali yake lakini kanisa lilimlea katika maadili ya kuheshimu uhai wa mwandam. Nchi ilikua ya kijamaa lakini hakuna wetu waliouawa kwa kukatwa mapanga au kupigwa risasi hadharani .
Hata hukumu ya kunyonga wahalifu ilikua mtihani sana kwa Nyerere kuitekeleza kwa sababu aliheshimu Kanisa lilimshauri kuwa asitoe uhai wa mtu .
Nakumbuka Nyerere katika utawala wa miaka 24 alisaini hukumu ya kifo kwa mtu mmoja tuu aliyekua amehukumiwa kunyongwa baada ya kumpiga mkuu wa mkoa wa Iringa mchana kweupe .

Ingekuwa ni zama hizi za Machawa yule Mwamwindi aliyemuua RC angeteswa sana ili awataje kwa kuwasingizia mahasimu wao wa kisiasa. Lakini wakati huo wa ujamaa lakini bado alitendewa haki na kupelekwa mahakamani kwa weledi mkubwa na kesi kusikilizwa kwa weledi mkubwa bila majaji kuwa na uchawa kama ilivyo kwa wale majaji Makada wa Frelimo kule Msumbiji wanaotoa hukumu za hovyo na za aibu hata kuziweka kwenye Vitabu vya kumbukumbu za mahakama na kutumika kwa karne nyingi kutoa hukumu.

Seikali ichukue hatua kwa wale wote waliofanya uhalifu wa kuvuruga uchaguzi na hata kuua watu au kupiga wetu bila sababu za msingi wakati wa kuchagua viongozi wa mitaa yao.
Serikali ikipuuza itajenga jamii yenye chuki kubwa sana . Na badala yake visasi vitakua ni halali kabisa iwe ni kwa mambo ya asili au vinginevyo lakini uovu haupaswi kuachwa uwe ni furaha na sherehe kama alivyofanya mbunge kule Tunduma ,kutoa ng'ombe 18 kufurahia uhalifu. Wakati Watu anaowawakilisha wakiwa wanamzika ndugu yao tena wa Chama kilichokuwa kimempa nafsi ya kuwa mbunge yeye anafanya sherehe ya kufurahia familia kumpoteza kijana wao na kuwaacha watoto yatima na mjane .
Ushetani mkubwa sana!!
 
Wanahofu kwa sababu muuaji mmoja amekamatwa .
Wanahaha kutafuta namna ya kumtoa kwenye tuhuma hiyo ya mauaji?
Wanaandaa press ya kusema upelelezi umebaini kuwa mauaji hayakuwa ya kisiasa bali ni fumanizi.

Huyo atatoka kwenye Rufaa kutokana na makosa yatakayofanywa makusudi ya kiufundi wakati wa kesi.

Hivi wale wataalamu wa Kongo au kule sumbawanga au kule TANGA KWA MSISI hua wamepewa kipaji cha kuadhibu vikosa vidogo vidogo vya wizi ,fumanizi, kumpa mtu mimba tu .Au na haya makosa makubwa ya mauaji wanaweza kumwadhibu mtu kwa kumvimbisha tumbo mpaka liburuze ardhini huku akiwa na hamu ya kula kinyesi tuu. ?

Maana ifikie mahali hawa wana wa SHETANI warudishwe kwake( shetani ) ili wakaadhibiwe na mzazi wao .
Hii kama inawezekana ni vyema sasa Waafrika tunatumia mbinu hizi kupambana na hao wenye nguvu na maagizo toka juu ya kuua mchana au mbele ya watu bila hofu wala kujali maana waliowatuma wana uhakika wa kuwa huru.

Kuna mfano wa stori moja ya miaka ya nyuma kule Tabora , kuna mkuu wa mkoa mmoja alimtamani binti mmoja aliyekua ameshinda ummiss wa mkoa huo. Akatuma wapambe wamkutanishe naye kwa Hadaa kuwa alitaka kumpongeza . Alikutana naye sehemu waliyokubaliana. Alimlewesha sana . Baadae akaondoka naye kwenda kumzini . Hakuishia hapo bali alimlawiti /Alimfira pia kama kawaida yao wana wa shetani na uzao wa nyoka ,kizazi cha uasi ,kizazi kisicho kuogopa Mungu Zaidi ya kumuogopa yule tu aliyepewa mamlaka makubwa na Katiba.
Baada ya tukio lile yule binti alipozinduka alipata fedheha kubwa sana kwenye nafsi yake. Akatamani kujiua . Miaka ile hapakuwa na Watu kama akina Tundu Lisu au Mwabukusi ambao wangeweza kupaza sauti na kutafuta haki ya yule binti mhanga.
Binti alijificha kwa bibi yake kijijini na kupoteza mawasiliano na boy friend wake jambo lililomfanya boy friend wake apate kazi kubwa ya kumtafuta kwani hapakuwa na simu za mikononi kwa watu wengi hasa watu wa chini.
Alifanikiwa baada ya kumpata dada mtu na kuambiwa kuwa yupo kijijini kwa bibi yake .

Baada ya kufika kijijini yule binti alikua anaonekana uwa alikua na jambo zito moyoni mwake . Alimbana amweleze nini kimemsibu mpaka akaondoka ghafla bila kuaga. Ilibidi aeleze kisa chote kwa uchungu mkubwa.
Yule kijana aliumia sana na kuwaza nini cha kufanya ili kulipa kisasi na kupata unafuu wa moyo wake.
Aliona hawezi kulipa kisasi yeye mwenyewe kwa mikono yake kutokana na ulinzi na madaraka ya yule RC. Wala serikali haiwezi kumlipia kisasi maana haitamsikiliza . Alichofanya ni kwenda kwa bibi mmoja mwenye elimu ya masuala ya asili akamsilulia kwa uchungu mkubwa. Yule bibi akamuuliza kwa hiyo unataka tumfanyeje huyo RC ,? Yule kijana akamwambia nataka afukuzwe kazi tu wala usimuue maana ametafanya hayo kutokana na cheo chake. Yule bibi akamwambia atafute laki tatu.Laki tatu kwa sasa ingekuwa karibu mil. 3.
Akaitafua akampelekea . Cha ajabu haikupita wiki mbili yule RC alitenguliwa baada ya kufanya tukio moja baya zaidi nje ya mkoa wake. Mchezo uliishia hapo na baada ya miaka michache yule RC alifariki dunia akiwa amelala tu.

Kisasi ni muhimu sana kwani kinaponya nafsi ya jamii iliyotumiwa.

Kisasi ni takwa la jamii iliyostaarabika.
Kwa Wana wa Mungu katika kazi za Mungu basi kisasi kinalipwa na Mungu Mwenyewe.
Kwa Wana wa ukaidi na shetani kizazi kinalipwa na binadamu kupitia nguvu za asili zenye silaha zisizoonekana .
Lakini katika mambo ya kidunia kama siasa na makosa mengine ya jinai kisasi kimeachiwa Serikali badala ya Mungu . Ndio maana wafu wanahukumiwa na kupewa adhabu kali na hata kunyongwa . Yote ni kwa ajili ya kuleta uponyaji kwa mhanga .

Mfano wanawake wanaishi maisha marefu kwa sababu wanapokwazwa na wenza wao wanalipa visasi kwa siri sana na kuziponya nafsi zao.
Kwa nje wanaonekana kama wamesamehe lakini ndani ya nafsi zao wanatafuta namna ya kulipa kisasi. Ndio maana mwingine anaweza hata akaweka kinyesi kwenye chakula au akatemea mate kwenye juisi au anaweka hata mkojo kwenye mchuzi,akampiga sana mtoto, akamtendea vibaya mama mkwe wake ,akatembea na rafiki wa mume wake ,anatembea na house boy ,au mumewe anapozeeka au kukosa nguvu anatekeleza kama kisasi cha yale aliyowahi kumtendea ,lakini pia anapata furaha na faraja kubwa mumewe anapofariki kwa kuona kuwa alistahili kufa kama adhabu n.k.
Yote ni ili kuponya nafsi yake endapo ametendewa ubaya na kuumia rohoni.

Watu wanasema kuwa kusamehe ni bora lakini kusamehe kwa mambo madogo madogo tena ya Kiimani tu. Mfano mtu akakupiga kwa sababu ya kuhubiri mtaani au kuimba mtaani . Kanisa kuchomwa moto na wahuni wa dini nyingine za shetani hapo huwezi kwenda kulipiza kisasi kwa sababu kazi anayoifanya ni ya Mungu.

Hawa vijana kama akina Chalamila kazi waliyoifanya ni ya kisiasa kwa ajili ya maendeleo ya demokrasia hivyo anapouawa kwa makusudi kisasi ni lazima kitokana na jamii na asili ya jamii hiyo.
Ikiwezekana awe anatokea mara kwa mara pale ikulu na kwenye ofisi za CCM mako makuu .

Kisasi ni kisasi tu.
niliwahi fanya hivyo wilaya moja huko manyara niliwanyoosha askari kama 4 miaka fulani mmoja nilimuhurumia alikatwa mguu mmoja na mkono ila hao 4 wapo mavumbini adhabu niliwachagulia mwenyewe wataalamu wapo ila utulize kichwa!
 
Kisasi ni muhimu sana kwani kinaponya nafsi ya jamii iliyotumiwa.
Nime vuta subira sana mkuu '1000 digits' na stori yako hii; kila nilipo jaribu kujinasua nitafute mambo mengine, ikawa inanivuta nisogee mbele kidogo nione hitimisho lake likoje!

Ni mtindo wa kiuandishi; hasa kwa watunga vitabu vya stori kama hizi zako hapa. Nawe jaribu kutazama kama kazi hiyo ya uandishi wa vitabu vya 'fiction' unakufaa. Ni kazi inayo lipa, kama stori zako ni nzuri; na hata sinema zinaweza kuchezwa kutokana na stori hizo.

Ila ninakubaliana na maudhui ya taarifa yako. Hawa watu miungu wanao sumbua waTanzania wenzao wakijuwa kuwa hakuna sheria yoyote itakayo weza kuwawajibisha, kungekuwa na njia mbadala ya kuwatia adabu ingefaa sana.
Cha kusikitisha, sasa wame jitungia hadi sheria kabisa ya kuwalinda hata wanapo fanya makosa. Eti makosa yao yaonekane, walifanya uhalifu kwa "nia njema".

Nchi ime fika kwenye hatua mbaya sana hii.
 
niliwahi fanya hivyo wilaya moja huko manyara niliwanyoosha askari kama 4 miaka fulani mmoja nilimuhurumia alikatwa mguu mmoja na mkono ila hao 4 wapo mavumbini adhabu niliwachagulia mwenyewe wataalamu wapo ila utulize kichwa!
Walikukosea jambo gani mkuu 'kadendu', hadi kuamua kuwa fanyia! kweli!
 
wengi itajipanga kushika dola kwenye sekta zote. Hilo la ukabila na ukanda likishindikana watatafuta madaraka kupitia dini .
Inawezekana ume chelewa kidogo kulitambua hili ambalo tayari lime shamiri. Wewe huoni wanao lalamika na wanao sifu utawala uliopo walivyo jipambanua tayrai?
Hili la dini ndilo linalo rutubishwa sana humo ndani ya CCM sasa hivi.
 
niliwahi fanya hivyo wilaya moja huko manyara niliwanyoosha askari kama 4 miaka fulani mmoja nilimuhurumia alikatwa mguu mmoja na mkono ila hao 4 wapo mavumbini adhabu niliwachagulia mwenyewe wataalamu wapo ila utulize kichwa!
Kisasi ni haki mkuu, kama ulitendewa ubaya usiomithilika hata Mwenyezi Mungu anaelewa kuwa kuwanyoosha ndio ilikuwa jambo sahihi.
 
Inawezekana ume chelewa kidogo kulitambua hili ambalo tayari lime shamiri. Wewe huoni wanao lalamika na wanao sifu utawala uliopo walivyo jipambanua tayrai?
Hili la dini ndilo linalo rutubishwa sana humo ndani ya CCM sasa hivi.


Nilijua kwa undani sana .
Hii Ya awamu ya 666 imevaa koti la kile chama cha mapanga Shaa na mchengerema ni mmojawapo wa wajahid. Amewekwa kimkakati na anaratibu haya nchi nzima maana anawafukia kitaasisi.

Sijawahi kuona mtu amekamatwa kwa kuwatukana maaskofu na kuwadhalilisha kwenye mitandao lakini mtu akipinga mauaji anaitwa mchochezi.
 
Kwani mchango na salaam za rambirambi vikitolewa vitainufaishaje chadema? Hivi nyie wenzetu huwa mnafikiriaje?
Hii ni kama ile story ya yule jamaa aliyekosa nyama kwenye msiba, akalia sana na kusema, "nyie sawa tu, tunyimeni nyama zenu, na sisi tutafiwa tu"
Inasikitisha sana chadema kufikia hatua hii 😢😭
Anza kufikiria upya usiwaze nyama tu.
 
Back
Top Bottom