huyo katibu wa nyinyiemu akiwa waziri wa mambo ya ndani alimtoa utumbo mwangosi iringa
Wanahofu kwa sababu muuaji mmoja amekamatwa .
Wanahaha kutafuta namna ya kumtoa kwenye tuhuma hiyo ya mauaji?
Wanaandaa press ya kusema upelelezi umebaini kuwa mauaji hayakuwa ya kisiasa bali ni fumanizi.
Huyo atatoka kwenye Rufaa kutokana na makosa yatakayofanywa makusudi ya kiufundi wakati wa kesi.
Hivi wale wataalamu wa Kongo au kule sumbawanga au kule TANGA KWA MSISI hua wamepewa kipaji cha kuadhibu vikosa vidogo vidogo vya wizi ,fumanizi, kumpa mtu mimba tu .Au na haya makosa makubwa ya mauaji wanaweza kumwadhibu mtu kwa kumvimbisha tumbo mpaka liburuze ardhini huku akiwa na hamu ya kula kinyesi tuu. ?
Maana ifikie mahali hawa wana wa SHETANI warudishwe kwake( shetani ) ili wakaadhibiwe na mzazi wao .
Hii kama inawezekana ni vyema sasa Waafrika tunatumia mbinu hizi kupambana na hao wenye nguvu na maagizo toka juu ya kuua mchana au mbele ya watu bila hofu wala kujali maana waliowatuma wana uhakika wa kuwa huru.
Kuna mfano wa stori moja ya miaka ya nyuma kule Tabora , kuna mkuu wa mkoa mmoja alimtamani binti mmoja aliyekua ameshinda ummiss wa mkoa huo. Akatuma wapambe wamkutanishe naye kwa Hadaa kuwa alitaka kumpongeza . Alikutana naye sehemu waliyokubaliana. Alimlewesha sana . Baadae akaondoka naye kwenda kumzini . Hakuishia hapo bali alimlawiti /Alimfira pia kama kawaida yao wana wa shetani na uzao wa nyoka ,kizazi cha uasi ,kizazi kisicho kuogopa Mungu Zaidi ya kumuogopa yule tu aliyepewa mamlaka makubwa na Katiba.
Baada ya tukio lile yule binti alipozinduka alipata fedheha kubwa sana kwenye nafsi yake. Akatamani kujiua . Miaka ile hapakuwa na Watu kama akina Tundu Lisu au Mwabukusi ambao wangeweza kupaza sauti na kutafuta haki ya yule binti mhanga.
Binti alijificha kwa bibi yake kijijini na kupoteza mawasiliano na boy friend wake jambo lililomfanya boy friend wake apate kazi kubwa ya kumtafuta kwani hapakuwa na simu za mikononi kwa watu wengi hasa watu wa chini.
Alifanikiwa baada ya kumpata dada mtu na kuambiwa kuwa yupo kijijini kwa bibi yake .
Baada ya kufika kijijini yule binti alikua anaonekana uwa alikua na jambo zito moyoni mwake . Alimbana amweleze nini kimemsibu mpaka akaondoka ghafla bila kuaga. Ilibidi aeleze kisa chote kwa uchungu mkubwa.
Yule kijana aliumia sana na kuwaza nini cha kufanya ili kulipa kisasi na kupata unafuu wa moyo wake.
Aliona hawezi kulipa kisasi yeye mwenyewe kwa mikono yake kutokana na ulinzi na madaraka ya yule RC. Wala serikali haiwezi kumlipia kisasi maana haitamsikiliza . Alichofanya ni kwenda kwa bibi mmoja mwenye elimu ya masuala ya asili akamsilulia kwa uchungu mkubwa. Yule bibi akamuuliza kwa hiyo unataka tumfanyeje huyo RC ,? Yule kijana akamwambia nataka afukuzwe kazi tu wala usimuue maana ametafanya hayo kutokana na cheo chake. Yule bibi akamwambia atafute laki tatu.Laki tatu kwa sasa ingekuwa karibu mil. 3.
Akaitafua akampelekea . Cha ajabu haikupita wiki mbili yule RC alitenguliwa baada ya kufanya tukio moja baya zaidi nje ya mkoa wake. Mchezo uliishia hapo na baada ya miaka michache yule RC alifariki dunia akiwa amelala tu.
Kisasi ni muhimu sana kwani kinaponya nafsi ya jamii iliyotumiwa.
Kisasi ni takwa la jamii iliyostaarabika.
Kwa Wana wa Mungu katika kazi za Mungu basi kisasi kinalipwa na Mungu Mwenyewe.
Kwa Wana wa ukaidi na shetani kizazi kinalipwa na binadamu kupitia nguvu za asili zenye silaha zisizoonekana .
Lakini katika mambo ya kidunia kama siasa na makosa mengine ya jinai kisasi kimeachiwa Serikali badala ya Mungu . Ndio maana wafu wanahukumiwa na kupewa adhabu kali na hata kunyongwa . Yote ni kwa ajili ya kuleta uponyaji kwa mhanga .
Mfano wanawake wanaishi maisha marefu kwa sababu wanapokwazwa na wenza wao wanalipa visasi kwa siri sana na kuziponya nafsi zao.
Kwa nje wanaonekana kama wamesamehe lakini ndani ya nafsi zao wanatafuta namna ya kulipa kisasi. Ndio maana mwingine anaweza hata akaweka kinyesi kwenye chakula au akatemea mate kwenye juisi au anaweka hata mkojo kwenye mchuzi,akampiga sana mtoto, akamtendea vibaya mama mkwe wake ,akatembea na rafiki wa mume wake ,anatembea na house boy ,au mumewe anapozeeka au kukosa nguvu anatekeleza kama kisasi cha yale aliyowahi kumtendea ,lakini pia anapata furaha na faraja kubwa mumewe anapofariki kwa kuona kuwa alistahili kufa kama adhabu n.k.
Yote ni ili kuponya nafsi yake endapo ametendewa ubaya na kuumia rohoni.
Watu wanasema kuwa kusamehe ni bora lakini kusamehe kwa mambo madogo madogo tena ya Kiimani tu. Mfano mtu akakupiga kwa sababu ya kuhubiri mtaani au kuimba mtaani . Kanisa kuchomwa moto na wahuni wa dini nyingine za shetani hapo huwezi kwenda kulipiza kisasi kwa sababu kazi anayoifanya ni ya Mungu.
Hawa vijana kama akina Chalamila kazi waliyoifanya ni ya kisiasa kwa ajili ya maendeleo ya demokrasia hivyo anapouawa kwa makusudi kisasi ni lazima kitokana na jamii na asili ya jamii hiyo.
Ikiwezekana awe anatokea mara kwa mara pale ikulu na kwenye ofisi za CCM mako makuu .
Kisasi ni kisasi tu.