Serikali yetu ya awamu ya 5 inawajali sana wayonge na maskini na inahitaji watu watajirike na waondokane na umasikini lakini nauliza tu kwanini Serikai haiku ruhusu haya mawe yauzwe kwa mnada ili kila mtu ashiriki.
Na serikali ishiriki kwenye mnada ili aliye pata mawe yake apate hela nzuri itakayo tokana na mnada na sio maamuzi tu kuwa serikali imeyachukua na imepanga bei yenyewe.
Na serikali ishiriki kwenye mnada ili aliye pata mawe yake apate hela nzuri itakayo tokana na mnada na sio maamuzi tu kuwa serikali imeyachukua na imepanga bei yenyewe.