kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Hii gesi yetu kama ingekuwa iko Kenya wakenya wangetengeneza pesa nyingi sana. Wakenya wangekuwa Sasa hivi wanatuuzia gesi ya kupikia majumbani, gesi ya kutumia kwenye magari na viwandani, vifaa vya kuwezesha magari ya aina zote kutumia gesi asilia na kutusambazia vituo vya kujazia gesi kwenye magari yetu.
Sisi tunayo hii gesi kwa zaidi ya miaka 20 Sasa lakini tunalia kuhusu bei za mafuta sawasawa na wasiokuwa na gesi, nanī katuroga?
Wizara ya Nishati kimyaa kama vile haijui kama matumizi ya gesi yanapunguza wingi wa mafuta yanayohitajika nchini. Nadhani Kuna watu hawataki gesi itumike kupunguza uagizaji wa mafuta., Ufisadi.
Ningetarajia kusikia kuwa Serikali inakwenda kuondoa kodi kwenye vifaa vinavyotumika KUBADILisha mifumo ya mafuta kwenye magari kwenda kwenye gesi, vijana wengi wanapatiwa mafunzo ya ufundi wa KUBADILisha mifumo ya magari iweze kutumia gesi, nk. Lakini weee
Sisi tunayo hii gesi kwa zaidi ya miaka 20 Sasa lakini tunalia kuhusu bei za mafuta sawasawa na wasiokuwa na gesi, nanī katuroga?
Wizara ya Nishati kimyaa kama vile haijui kama matumizi ya gesi yanapunguza wingi wa mafuta yanayohitajika nchini. Nadhani Kuna watu hawataki gesi itumike kupunguza uagizaji wa mafuta., Ufisadi.
Ningetarajia kusikia kuwa Serikali inakwenda kuondoa kodi kwenye vifaa vinavyotumika KUBADILisha mifumo ya mafuta kwenye magari kwenda kwenye gesi, vijana wengi wanapatiwa mafunzo ya ufundi wa KUBADILisha mifumo ya magari iweze kutumia gesi, nk. Lakini weee