Kwanini Serikali haiongelei juu ya matumizi ya gesi yetu kupunguza matumizi ya mafuta?

Kwanini Serikali haiongelei juu ya matumizi ya gesi yetu kupunguza matumizi ya mafuta?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Hii gesi yetu kama ingekuwa iko Kenya wakenya wangetengeneza pesa nyingi sana. Wakenya wangekuwa Sasa hivi wanatuuzia gesi ya kupikia majumbani, gesi ya kutumia kwenye magari na viwandani, vifaa vya kuwezesha magari ya aina zote kutumia gesi asilia na kutusambazia vituo vya kujazia gesi kwenye magari yetu.

Sisi tunayo hii gesi kwa zaidi ya miaka 20 Sasa lakini tunalia kuhusu bei za mafuta sawasawa na wasiokuwa na gesi, nanī katuroga?

Wizara ya Nishati kimyaa kama vile haijui kama matumizi ya gesi yanapunguza wingi wa mafuta yanayohitajika nchini. Nadhani Kuna watu hawataki gesi itumike kupunguza uagizaji wa mafuta., Ufisadi.

Ningetarajia kusikia kuwa Serikali inakwenda kuondoa kodi kwenye vifaa vinavyotumika KUBADILisha mifumo ya mafuta kwenye magari kwenda kwenye gesi, vijana wengi wanapatiwa mafunzo ya ufundi wa KUBADILisha mifumo ya magari iweze kutumia gesi, nk. Lakini weee
 
Wanajua mijikodi waliorundika kwenye mafuta. Tukipunguza matumizi ya mafuta na huku mawazo mapya hawana yale mav8 yatakaa juu ya mawe.
 
Hii gesi yetu kama ingekuwa Iko Kenya wakenya wangetengeneza pesa nyingi sana. Wakenya wangekuwa Sasa hivi wanatuuzia gesi ya kupikia majumbani, gesi ya kutumia kwenye magari na viwandani, vifaa vya kuwezesha magari ya aina zote kutumia gesi asilia na kutusambazia vituo vya kijazia gesi kwenye magari yetu. Sisi tunayo hii gesi kwa zaidi ya miaka 20 Sasa lakini tunalia kuhusu bei za mafuta sawasawa na wasiokuwa na gesi nanī katuroga?

Wizara ya Nishati kimyaa kama vile haijui kama matumizi ya gesi yanapunguza wingi wa mafuta yanayohitajika nchini. Nadhani Kuna watu hawataki gesi itumike kupunguza uagizaji wa mafuta., Ufisadi.
Gesi ipi?? ccm walishauza nchi nyie hamna habari
 
Kabisa yaani
Inaonekana kuwa biashara ya mafuta Ina watu wakubwa sana nchini. Kama ni suala la Kodi siwangezihamishia kwenye gesi pia? Lakini issue ni wakina nani wamo kwenye biashara ya petrol. Kama malori ya dangote yanatumia gesi kwanini mabasi ya DART, mikoani, daladala na magari ya serikali yasipewe lazima ya kutumia gesi ifikiapo mwaka fulani? Kwanini vifaa vya kubadilishia mifumo kutoka kutumia mafuta kwenda kutumia gesi visitangazwe kuondolewa Kodi ili iwe rahisi watu kuvipata na gharama za kubadili mfumo ziwe ndogo? Kwanini sioni jitihada za kuongeza vituo vya kuongeza gesi kwenye magari mitaani zikifanywa Wala kutengewa bajeti?
 
Hii gesi yetu kama ingekuwa iko Kenya wakenya wangetengeneza pesa nyingi sana. Wakenya wangekuwa Sasa hivi wanatuuzia gesi ya kupikia majumbani, gesi ya kutumia kwenye magari na viwandani, vifaa vya kuwezesha magari ya aina zote kutumia gesi asilia na kutusambazia vituo vya kijazia gesi kwenye magari yetu.

Sisi tunayo hii gesi kwa zaidi ya miaka 20 Sasa lakini tunalia kuhusu bei za mafuta sawasawa na wasiokuwa na gesi nanī katuroga?

Wizara ya Nishati kimyaa kama vile haijui kama matumizi ya gesi yanapunguza wingi wa mafuta yanayohitajika nchini. Nadhani Kuna watu hawataki gesi itumike kupunguza uagizaji wa mafuta., Ufisadi.
Inaumiza sana tena sana. Nani alituroga sisi Watanzania?
Nyepesi nyepesi zinasema kwamba, Gas hii ilishapigwa mnada muda mrefu na mafisadi yaliyokuwepo kabla ya JPM. Kama ni kweli, basi, gesi hii tutaisikia tu redioni na wala si kuitumia.
Ujinga wetu, woga wetu na kukosa kuwajibika ndo vinavyotuponza sisi Watanzania.
Tukija kuamka vizuri, maendeleo yatakuja kwa kasi ya ajabu.
 
Gesi yote ilishauzwa hivyo hatuna hatimiliki nayo. Tukitaka ni lazima tununue kutoka kwao.
Bado CCM inatamba na wakimuona Kikwete wana mtukuza na Samia wanamsifu "anaupiga mwingi".
Kwa hali kama hiyo nani akiwa madarakani ataogopa kufanya ya hovyo wakati anatukuzwa na kusifiwa hadi rangi ya hijabu?
Taifa hili asilimia kubwa wamejaa mafala!
 
Hii gesi yetu kama ingekuwa iko Kenya wakenya wangetengeneza pesa nyingi sana. Wakenya wangekuwa Sasa hivi wanatuuzia gesi ya kupikia majumbani, gesi ya kutumia kwenye magari na viwandani, vifaa vya kuwezesha magari ya aina zote kutumia gesi asilia na kutusambazia vituo vya kijazia gesi kwenye magari yetu.

Sisi tunayo hii gesi kwa zaidi ya miaka 20 Sasa lakini tunalia kuhusu bei za mafuta sawasawa na wasiokuwa na gesi nanī katuroga?

Wizara ya Nishati kimyaa kama vile haijui kama matumizi ya gesi yanapunguza wingi wa mafuta yanayohitajika nchini. Nadhani Kuna watu hawataki gesi itumike kupunguza uagizaji wa mafuta., Ufisadi.
Tatizo ni mfumo CCM!!! Mpaka uondolewe.
 
Hii gesi yetu kama ingekuwa iko Kenya wakenya wangetengeneza pesa nyingi sana. Wakenya wangekuwa Sasa hivi wanatuuzia gesi ya kupikia majumbani, gesi ya kutumia kwenye magari na viwandani, vifaa vya kuwezesha magari ya aina zote kutumia gesi asilia na kutusambazia vituo vya kijazia gesi kwenye magari yetu.

Sisi tunayo hii gesi kwa zaidi ya miaka 20 Sasa lakini tunalia kuhusu bei za mafuta sawasawa na wasiokuwa na gesi nanī katuroga?

Wizara ya Nishati kimyaa kama vile haijui kama matumizi ya gesi yanapunguza wingi wa mafuta yanayohitajika nchini. Nadhani Kuna watu hawataki gesi itumike kupunguza uagizaji wa mafuta., Ufisadi.

Mkuu gesi gani unaongelea? Kwenye gesi mbona hatuna chetu? Zilibinafsishwa enzi zile za Awamu ya nne. Amka toka usingizini
 
Hii gesi yetu kama ingekuwa iko Kenya wakenya wangetengeneza pesa nyingi sana. Wakenya wangekuwa Sasa hivi wanatuuzia gesi ya kupikia majumbani, gesi ya kutumia kwenye magari na viwandani, vifaa vya kuwezesha magari ya aina zote kutumia gesi asilia na kutusambazia vituo vya kijazia gesi kwenye magari yetu.

Sisi tunayo hii gesi kwa zaidi ya miaka 20 Sasa lakini tunalia kuhusu bei za mafuta sawasawa na wasiokuwa na gesi nanī katuroga?

Wizara ya Nishati kimyaa kama vile haijui kama matumizi ya gesi yanapunguza wingi wa mafuta yanayohitajika nchini. Nadhani Kuna watu hawataki gesi itumike kupunguza uagizaji wa mafuta., Ufisadi.
Ni muda mrefu tunasikia gesi gesi lakini hadi sasa hajuna mahala twaweza kusema tumeanza kuvuna gesi.Na mataifa mengine nje yatazamwe huenda kuna hujuma ya kijasusi wa uchumi,au viongozi wa ndani wanakula rushwa toka kwa wawekezaji ili waendelee kuagiza mafuta.
 
Inaumiza sana tena sana. Nani alituroga sisi Watanzania?
Nyepesi nyepesi zinasema kwamba, Gas hii ilishapigwa mnada muda mrefu na mafisadi yaliyokuwepo kabla ya JPM. Kama ni kweli, basi, gesi hii tutaisikia tu redioni na wala si kuitumia.
Ujinga wetu, woga wetu na kukosa kuwajibika ndo vinavyotuponza sisi Watanzania.
Tukija kuamka vizuri, maendeleo yatakuja kwa kasi ya ajabu.
Wakati jpm anazuia makinikia kwanini aliacha ges? Kwa tabia yake asingeiacha kwa mafisadi. Hebu endelea kuthibitisha ulichosema hapa
 
Hii gesi yetu kama ingekuwa iko Kenya wakenya wangetengeneza pesa nyingi sana. Wakenya wangekuwa Sasa hivi wanatuuzia gesi ya kupikia majumbani, gesi ya kutumia kwenye magari na viwandani, vifaa vya kuwezesha magari ya aina zote kutumia gesi asilia na kutusambazia vituo vya kujazia gesi kwenye magari yetu.

Sisi tunayo hii gesi kwa zaidi ya miaka 20 Sasa lakini tunalia kuhusu bei za mafuta sawasawa na wasiokuwa na gesi, nanī katuroga?

Wizara ya Nishati kimyaa kama vile haijui kama matumizi ya gesi yanapunguza wingi wa mafuta yanayohitajika nchini. Nadhani Kuna watu hawataki gesi itumike kupunguza uagizaji wa mafuta., Ufisadi.

Ningetarajia kusikia kuwa Serikali inakwenda kuondoa kodi kwenye vifaa vinavyotumika KUBADILisha mifumo ya mafuta kwenye magari kwenda kwenye gesi, vijana wengi wanapatiwa mafunzo ya ufundi wa KUBADILisha mifumo ya magari iweze kutumia gesi, nk. Lakini weee
Nakumbuka tulishaambiwa kitambo tu kwamba kwenye gesi tulishapigwa siku nyingi ! Hatuna gesi ! Au naota ??
 
Back
Top Bottom