Kwanini Serikali haioni kabisa umuhimu wa kuwatazama watumishi wa chini kama wauguzi, madaktari, polisi na waalimu?

Kwanini Serikali haioni kabisa umuhimu wa kuwatazama watumishi wa chini kama wauguzi, madaktari, polisi na waalimu?

Kahindi95

Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
31
Reaction score
100
Kumekuwa na mfumuko mkubwa sana wa gharama za maisha sasa mathalani lita moja ya mafuta ya kula 2015 iliuzwa kati ya tsh 1500 hadi 2200.

Leo inauzwa 5500 hadi 6500. Hali hii ni kwa kila bidhaa sokoni si Unga, Michele, sabuni, nishati ya kupikia, nguo n.k bei hazikamatiki sokoni!

Serikali kwa kuliona hili Mwaka 2022 iliboresha posho na nights za maafisa almost mara mbili ya zile za awali, Mwaka 2023 ikaboresha posho za wabunge na mawaziri almost marambili ya zile za awali, yaani kikao kimoja Sasa mbunge au waziri anapata posho Tsh. 600,000/- au zaidi.

Serikali imeboresha mishahara ya wabunge kutoka mil 12 hadi mil 18+ kwa mwezi!

Lakini serikali hii haijaona umuhimu wa kuwatizama watumishi wa chini kama wauguzi, madaktari,polisi na waalimu kabisaa!

Imagine mwalimu analipwa take home ya Tsh 350,000/- kwa mwezi na Hana posho yoyote kazini kwa mwezi mzima. Na serikali imejikita Katika kuboresha maposho na mishahara ya maafisa, wakurugenzi, wabunge na mawaziri, inamaana serikali hii ya Samia haiwatambui kabisa watumishi wa chini wanaoihudumia jamii?

Mbaya zaidi hao wenye maslahi bora na wanaoboreshewa kila siku maslahi yao, wakistaafu wanapata pensheni zao kamili, na Hawa waalimu wakizeeka wanatandikwa na kikokotoo wafe kwa sukari na pressure!

Rais Samia na wapambe wako is this your real intention zako kwetu?

Kila kukicha mnaongeza Kodi na tozo kwenye bidhaa muhimu, vitu vinapanda bei sokoni kwa Kasi yaajabu, huku salary slip za waalimu ziko vile vile miaka nenda rudi, Rais Samia unataka tukueleze kwa kutumia lugha gani utuelewe wewe na wasaidizi wako?

Imefika hatua Sasa kazi ya ualimu imekuwa ni kazi ya kifukara sana hata kwenye jamii, mwalimu Sasa anadhaulika na kila mtu, kuanzia serikali yenyewe Hadi jamii nzima inatudharau sana waalimu kutokana na unyonge wetu!

Kwa mshahara anaolipwa mwalimu na Hali ya maisha ilivyo, hivi Sasa waalimu ndio wamekuwa wahanga wakubwa wa mikopo umiza, mwalimu Hana matumaini na mshahara, Hana matumaini na pensheni. Kwa ujumla waalimu tumekuwa mahohehahe. Na serikari inafurahia.

Hofu yangu kubwa ni kwamba malalamiko haya ya waalimu yanavyozidi kupuuzwa na serikari pamoja na jamii! Madhara tutayaona very soon kwa watoto wetu. Huwezi kutengeneza waalimu fukara wenye msongo wa mawazo Kisha utarajie waalimu hao wakuandalie taifa Bora la kesho!

Tuiambie serikali iache mara Moja ukandamizaji huu au tukae kimya tusubiri matokeo ya tunachokipanda!

UALIMU NI KAZI SI WITO! MWALIMU ANAFAMILIA PIA KAMA ILIVYO KWA WABUNGE NA MAAFISA, MWALIMU ANASTAHILI MASLAHI BORA ALITUMIKIE TAIFA LAKE KWA ARI.
 
Samia hana ujanja, kawekwa kapuni na genge la wahuni alilochagua kwa hiari yake mwenyewe kuliamini...twaafa!!!.
 
Kuboresha maisha ya watumishi kada ya chini ni mzigo mkubwa sana kwa serikali,lakini ili ueleweke inabidi uwe na sera ya kubana matumizi,kama mwendazake.

Sasa unalipa wabunge 17mln + posho za vikao.

Unanunua magari ya gharama kwa ajili ya wakurugenzi na wakuu wa wilaya/ mikoa ambao hawatembei kwa miguu.

Wewe mwenye kutwa kucha kuswampa hutulii nchini,unakaanga tu hela kiduchu zilizopo,halafu uje ujitetee kwa watu wa kada ya chini kwamba hela hamna.

Haka kamama kanakabidhi nchi kwa wapinzani 2025,tena natabiri kutatokea vurugu kubwa saba isiyo ya kumwaga damu,ila busara zitatumika ili kuepusha shari.
 
Kumekuwa na mfumuko mkubwa sana wa gharama za maisha sasa mathalani lita moja ya mafuta ya kula 2015 iliuzwa kati ya tsh 1500 hadi 2200.

Leo inauzwa 5500 hadi 6500. Hali hii ni kwa kila bidhaa sokoni si Unga, Michele, sabuni, nishati ya kupikia, nguo n.k bei hazikamatiki sokoni!

Serikali kwa kuliona hili Mwaka 2022 iliboresha posho na nights za maafisa almost mara mbili ya zile za awali, Mwaka 2023 ikaboresha posho za wabunge na mawaziri almost marambili ya zile za awali, yaani kikao kimoja Sasa mbunge au waziri anapata posho Tsh. 600,000/- au zaidi.

Serikali imeboresha mishahara ya wabunge kutoka mil 12 hadi mil 18+ kwa mwezi!

Lakini serikali hii haijaona umuhimu wa kuwatizama watumishi wa chini kama wauguzi, madaktari,polisi na waalimu kabisaa!

Imagine mwalimu analipwa take home ya Tsh 350,000/- kwa mwezi na Hana posho yoyote kazini kwa mwezi mzima. Na serikali imejikita Katika kuboresha maposho na mishahara ya maafisa, wakurugenzi, wabunge na mawaziri, inamaana serikali hii ya Samia haiwatambui kabisa watumishi wa chini wanaoihudumia jamii?

Mbaya zaidi hao wenye maslahi bora na wanaoboreshewa kila siku maslahi yao, wakistaafu wanapata pensheni zao kamili, na Hawa waalimu wakizeeka wanatandikwa na kikokotoo wafe kwa sukari na pressure!

Rais Samia na wapambe wako is this your real intention zako kwetu?

Kila kukicha mnaongeza Kodi na tozo kwenye bidhaa muhimu, vitu vinapanda bei sokoni kwa Kasi yaajabu, huku salary slip za waalimu ziko vile vile miaka nenda rudi, Rais Samia unataka tukueleze kwa kutumia lugha gani utuelewe wewe na wasaidizi wako?

Imefika hatua Sasa kazi ya ualimu imekuwa ni kazi ya kifukara sana hata kwenye jamii, mwalimu Sasa anadhaulika na kila mtu, kuanzia serikali yenyewe Hadi jamii nzima inatudharau sana waalimu kutokana na unyonge wetu!

Kwa mshahara anaolipwa mwalimu na Hali ya maisha ilivyo, hivi Sasa waalimu ndio wamekuwa wahanga wakubwa wa mikopo umiza, mwalimu Hana matumaini na mshahara, Hana matumaini na pensheni. Kwa ujumla waalimu tumekuwa mahohehahe. Na serikari inafurahia.

Hofu yangu kubwa ni kwamba malalamiko haya ya waalimu yanavyozidi kupuuzwa na serikari pamoja na jamii! Madhara tutayaona very soon kwa watoto wetu. Huwezi kutengeneza waalimu fukara wenye msongo wa mawazo Kisha utarajie waalimu hao wakuandalie taifa Bora la kesho!

Tuiambie serikali iache mara Moja ukandamizaji huu au tukae kimya tusubiri matokeo ya tunachokipanda!

UALIMU NI KAZI SI WITO! MWALIMU ANAFAMILIA PIA KAMA ILIVYO KWA WABUNGE NA MAAFISA, MWALIMU ANASTAHILI MASLAHI BORA ALITUMIKIE TAIFA LAKE KWA ARI.
Click to expand...
Hongera sana kwa waraka, ila ukweli usiopingika hizo kada zimejaa uoga mwingi sana na vyama vyao havipo kwa ajili ya kutetea maslahi vipo kama vile money monger
 
Kuboresha maisha ya watumishi kada ya chini ni mzigo mkubwa sana kwa serikali,lakini ili ueleweke inabidi uwe na sera ya kubana matumizi,kama mwendazake.

Sasa unalipa wabunge 17mln + posho za vikao.

Unanunua magari ya gharama kwa ajili ya wakurugenzi na wakuu wa wilaya/ mikoa ambao hawatembei kwa miguu.

Wewe mwenye kutwa kucha kuswampa hutulii nchini,unakaanga tu hela kiduchu zilizopo,halafu uje ujitetee kwa watu wa kada ya chini kwamba hela hamna.

Haka kamama kanakabidhi nchi kwa wapinzani 2025,tena natabiri kutatokea vurugu kubwa saba isiyo ya kumwaga damu,ila busara zitatumika ili kuepusha shari.
Bora kumbe nilizani peke yangu nimeliona hili
 
Sheria ya dunia lazima kundi kubwa la watu wawe maskini, hao walimu na kada nyingine hawaweza kuboreshewa mishahara ili wakope ndio mtaji wa mabank wadhurumiwe
 
Mimi huwa nasikia polisi wanalipwa mishahara minono.
Polisi na majeshi kwa ujumla ni wajanja, wana mikopo yao kivyao, wana maduka ya bidhaa ambazo bei zipo chini huko kambini wanapoishi.

Tatizo walevi sana.
 
Lawama zote ziende kwa Magufuli mungu wa wajinga.
Afadhali Samia anapandisha mafaraja na kuweka annual increment.
Miaka 7 no new salary, no annual increment, no madaraja no upuuzi gani na wajinga wakamwabudu.
 
Unataka tusilewe we unazani kukoswa risasi za vitani na Za majambazi unazani ni mchezo eti wacha walewe wanafanya kazi za hatari ila basi 2
Polisi na majeshi kwa ujumla ni wajanja , wana mikopo yao kivyao , wana maduka ya bidhaa ambazo bei zipo chini huko kambini wanapoishi .

Tatizo walevi sana.
 
Kumekuwa na mfumuko mkubwa sana wa gharama za maisha sasa mathalani lita moja ya mafuta ya kula 2015 iliuzwa kati ya tsh 1500 hadi 2200.

Leo inauzwa 5500 hadi 6500. Hali hii ni kwa kila bidhaa sokoni si Unga, Michele, sabuni, nishati ya kupikia, nguo n.k bei hazikamatiki sokoni!

Serikali kwa kuliona hili Mwaka 2022 iliboresha posho na nights za maafisa almost mara mbili ya zile za awali, Mwaka 2023 ikaboresha posho za wabunge na mawaziri almost marambili ya zile za awali, yaani kikao kimoja Sasa mbunge au waziri anapata posho Tsh. 600,000/- au zaidi.

Serikali imeboresha mishahara ya wabunge kutoka mil 12 hadi mil 18+ kwa mwezi!

Lakini serikali hii haijaona umuhimu wa kuwatizama watumishi wa chini kama wauguzi, madaktari,polisi na waalimu kabisaa!

Imagine mwalimu analipwa take home ya Tsh 350,000/- kwa mwezi na Hana posho yoyote kazini kwa mwezi mzima. Na serikali imejikita Katika kuboresha maposho na mishahara ya maafisa, wakurugenzi, wabunge na mawaziri, inamaana serikali hii ya Samia haiwatambui kabisa watumishi wa chini wanaoihudumia jamii?

Mbaya zaidi hao wenye maslahi bora na wanaoboreshewa kila siku maslahi yao, wakistaafu wanapata pensheni zao kamili, na Hawa waalimu wakizeeka wanatandikwa na kikokotoo wafe kwa sukari na pressure!

Rais Samia na wapambe wako is this your real intention zako kwetu?

Kila kukicha mnaongeza Kodi na tozo kwenye bidhaa muhimu, vitu vinapanda bei sokoni kwa Kasi yaajabu, huku salary slip za waalimu ziko vile vile miaka nenda rudi, Rais Samia unataka tukueleze kwa kutumia lugha gani utuelewe wewe na wasaidizi wako?

Imefika hatua Sasa kazi ya ualimu imekuwa ni kazi ya kifukara sana hata kwenye jamii, mwalimu Sasa anadhaulika na kila mtu, kuanzia serikali yenyewe Hadi jamii nzima inatudharau sana waalimu kutokana na unyonge wetu!

Kwa mshahara anaolipwa mwalimu na Hali ya maisha ilivyo, hivi Sasa waalimu ndio wamekuwa wahanga wakubwa wa mikopo umiza, mwalimu Hana matumaini na mshahara, Hana matumaini na pensheni. Kwa ujumla waalimu tumekuwa mahohehahe. Na serikari inafurahia.

Hofu yangu kubwa ni kwamba malalamiko haya ya waalimu yanavyozidi kupuuzwa na serikari pamoja na jamii! Madhara tutayaona very soon kwa watoto wetu. Huwezi kutengeneza waalimu fukara wenye msongo wa mawazo Kisha utarajie waalimu hao wakuandalie taifa Bora la kesho!

Tuiambie serikali iache mara Moja ukandamizaji huu au tukae kimya tusubiri matokeo ya tunachokipanda!

UALIMU NI KAZI SI WITO! MWALIMU ANAFAMILIA PIA KAMA ILIVYO KWA WABUNGE NA MAAFISA, MWALIMU ANASTAHILI MASLAHI BORA ALITUMIKIE TAIFA LAKE KWA ARI.
suala la mfumuko wa bei, sio tu Tanzania bali pia Africa Mashariki nzima. N sio suala la linalowagusa walimu, wauguzi, polisi pengine na makundi mengine ambayo labda umesahau kuyataja pekeyake. Ni suala la wanainchi, waTanzania na wana Africa Mashariki wote 🐒

kwa Tanzania,
Jitihada za makusudi kukabiliana na hali iyo zimeanza kuchukuliwa mapema na ndio maana bajeti za kisekta zimeendelea kuongezeka na kukua kila mwaka ili kuchochea na kuongoza uzalishaji zaidi utakao punguza maumivu kwa walaji ambao ni wanainchi 🐒

uzalishaji wa mazao ya chakula umeongezeka mara dufu, uvuvi na ufugaji vile vile uzalishaji umekua wenye tija zaidi, uwekezaji, biashara zimetanuka na kuongezeka sana Africa Mashariki na kufanya mahitaji muhimu mbalimbali kuongezeka na kusababisha mfumuko wa bei 🐒

Jambo la muhimu kwa kila Mtanzania ni kuongeza juhudi katika kufanya kazi, kwani mazingira ya uzalishaji yameboreshwa sana, hata mwalimu, polisi, hata muuguzi anaweza kufanya pia, mathalani kilimo, na akapata chakula cha kutosha na kuondokana na hali hiyo malalamiko na manung'uniko ambayo suluhu ya kudumu ni ya mfumuko wa bei ni, kufanya kazi kwa bidii na kuongeza uzalishaji 🐒
 
Hili ni suala mtambuka watanzania wezangu,tangu uhuru nchi hii suala la watumishi haswa wale wachini haijawahi kutokea kuboreshewa maslahi yao.Huu umekuwa ni mnyororo wa kuwaburuzia watumishi wa ngazi za chini.
 
Kumekuwa na mfumuko mkubwa sana wa gharama za maisha sasa mathalani lita moja ya mafuta ya kula 2015 iliuzwa kati ya tsh 1500 hadi 2200.

Leo inauzwa 5500 hadi 6500. Hali hii ni kwa kila bidhaa sokoni si Unga, Michele, sabuni, nishati ya kupikia, nguo n.k bei hazikamatiki sokoni!

Serikali kwa kuliona hili Mwaka 2022 iliboresha posho na nights za maafisa almost mara mbili ya zile za awali, Mwaka 2023 ikaboresha posho za wabunge na mawaziri almost marambili ya zile za awali, yaani kikao kimoja Sasa mbunge au waziri anapata posho Tsh. 600,000/- au zaidi.

Serikali imeboresha mishahara ya wabunge kutoka mil 12 hadi mil 18+ kwa mwezi!

Lakini serikali hii haijaona umuhimu wa kuwatizama watumishi wa chini kama wauguzi, madaktari,polisi na waalimu kabisaa!

Imagine mwalimu analipwa take home ya Tsh 350,000/- kwa mwezi na Hana posho yoyote kazini kwa mwezi mzima. Na serikali imejikita Katika kuboresha maposho na mishahara ya maafisa, wakurugenzi, wabunge na mawaziri, inamaana serikali hii ya Samia haiwatambui kabisa watumishi wa chini wanaoihudumia jamii?

Mbaya zaidi hao wenye maslahi bora na wanaoboreshewa kila siku maslahi yao, wakistaafu wanapata pensheni zao kamili, na Hawa waalimu wakizeeka wanatandikwa na kikokotoo wafe kwa sukari na pressure!

Rais Samia na wapambe wako is this your real intention zako kwetu?

Kila kukicha mnaongeza Kodi na tozo kwenye bidhaa muhimu, vitu vinapanda bei sokoni kwa Kasi yaajabu, huku salary slip za waalimu ziko vile vile miaka nenda rudi, Rais Samia unataka tukueleze kwa kutumia lugha gani utuelewe wewe na wasaidizi wako?

Imefika hatua Sasa kazi ya ualimu imekuwa ni kazi ya kifukara sana hata kwenye jamii, mwalimu Sasa anadhaulika na kila mtu, kuanzia serikali yenyewe Hadi jamii nzima inatudharau sana waalimu kutokana na unyonge wetu!

Kwa mshahara anaolipwa mwalimu na Hali ya maisha ilivyo, hivi Sasa waalimu ndio wamekuwa wahanga wakubwa wa mikopo umiza, mwalimu Hana matumaini na mshahara, Hana matumaini na pensheni. Kwa ujumla waalimu tumekuwa mahohehahe. Na serikari inafurahia.

Hofu yangu kubwa ni kwamba malalamiko haya ya waalimu yanavyozidi kupuuzwa na serikari pamoja na jamii! Madhara tutayaona very soon kwa watoto wetu. Huwezi kutengeneza waalimu fukara wenye msongo wa mawazo Kisha utarajie waalimu hao wakuandalie taifa Bora la kesho!

Tuiambie serikali iache mara Moja ukandamizaji huu au tukae kimya tusubiri matokeo ya tunachokipanda!

UALIMU NI KAZI SI WITO! MWALIMU ANAFAMILIA PIA KAMA ILIVYO KWA WABUNGE NA MAAFISA, MWALIMU ANASTAHILI MASLAHI BORA ALITUMIKIE TAIFA LAKE KWA ARI.
Serikali ya mama ndio iliwapandishia mshahara wa Kiko Cha chini hao Watumishi Kwa asilimia 20% .

Watumishi hao kuanzia maderava,ma ps nk wakipata ongezeko la Fedha ambayo haikatwi Kodi kati ya 50,000-70,000.

Je Bado Mama hajawajali? Wenyewe waje wajitokeze na waeleze.
 
Back
Top Bottom