Kwanini serikali haipigi marufuku sherehe za Simba day saa za kazi?!

Kuizuia Simba ni kama kumzuia rais kufanya kazi
 
Tumia akili Simba sio taasisi ya serikali na wala sio.chama cha siasa inajiendesha kwa vyanzo vyake ilivyobuni yenyewe vipi.uwapangie siku na muda wa kutekeleza programu zao?
 
Reactions: Tui
Simba Ndiyo Tanzania Ni Timu Kubwa Sana Barani Africa. Huwezi Kuzuia Jambo Lolote
Mtani Kanywe Maji Baridi Chimpumu Ikae Sawa Tumboni.
Yanga Bariidii Haina Mvuto
[emoji1][emoji38][emoji1][emoji38]
 
Ila bado ni OMBA OMBA OMBA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Upuuzi..bingwa Mara nyingi ndio mfalme..nimekupiga mechi nyingi,nimekufunga magoli mengi..Yanga imeleta uhuru
 
Wewe utapasuka utosi bure saa za kazi gani?
 
Tumia akili Simba sio taasisi ya serikali na wala sio.chama cha siasa inajiendesha kwa vyanzo vyake ilivyobuni yenyewe vipi.uwapangie siku na muda wa kutekeleza programu zao?
Baadhi ya wanachama wao ni wafanyakazi wa umma ambao wanatakiwa kuwa ofisini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…