Kwanini Serikali haitaki kubadilisha vifungu vya MOU ya DP world? Kama hakuna rushwa

 
Kuna tetesi kwamba mwarabu ametoka dollar millioni 500 kwa TPA,kama ni kweli Kuna uwezekano mkubwa sehemu ya fedha hizo imetembezwa mjengoni kwa akina msukukuma and co.
Hata wapinzani wanaweza kupenyezewa mlungula ili wakae kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…