Kwanini serikali haitaki wananchi wa vijijini wakatumia nishati safi ya kupikia kwa gharama ya shilingi sifuri?

Kwanini serikali haitaki wananchi wa vijijini wakatumia nishati safi ya kupikia kwa gharama ya shilingi sifuri?

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Tunashuhudia serikali ikigawa mitungi ya gesi vijijini ambako wananchi wanauwezo wa kupata nishati safi bila gharama yoyote. Wafugaji na wakulima wanayo mabaki ya vyakula na samadi ambayo yanaweza kutumika kutengeneza nishati safi, kinachohitajika ni serikali kuwapa vifafaa vinavyohitajika badala ya mitungi ya gesi ambayo si endelevu kutokana na mazingira ya vijijini.
 
Tunashuhudia serikali ikigawa mitungi ya gesi vijijini ambako wananchi wanauwezo wa kupata nishati safi bila gharama yoyote. Wafugaji na wakulima wanayo mabaki ya vyakula na samadi ambayo yanaweza kutumika kutengeneza nishati safi, kinachohitajika ni serikali kuwapa vifafaa vinavyohitajika badala ya mitungi ya gesi ambayo si endelevu kutokana na mazingira ya vijijini.
Mbinu waliyotumia kwenye umeme ndiyo hiyo inakuja kwenye nishati safi, watagawa mitungi mwisho wa siku tozo itahamia huko kila mwanakijiji anaponunuaa mtungi
 
Nikikumbuka Makonda nae alijiorodhesha kwenye list ya wanufaika wa TASAF sishawishiki kabisa serikali kuwa na hilo wazo maana utashangaa hata kuwakuta mawaziri kwenye huo mpango.
 
Mbinu waliyotumia kwenye umeme ndiyo hiyo inakuja kwenye nishati safi, watagawa mitungi mwisho wa siku tozo itahamia huko kila mwanakijiji anaponunuaa mtungi
Waliopewa wengine wameikata kutengeneza majiko ya mkaa.
 
Mbinu waliyotumia kwenye umeme ndiyo hiyo inakuja kwenye nishati safi, watagawa mitungi mwisho wa siku tozo itahamia huko kila mwanakijiji anaponunuaa mtungi
Hili la mitungi linawahusu madalali wa CCM ili wakusanye pesa za kuichangia CCM kwenye kampeni za uchaguzi, hawa madalali ambao ni wahindi na waarabu ambao hatuwaoni kwenye mikutano ya siasa ndio wanatuharibia nchi.
 
Back
Top Bottom