Kwanini Serikali iko kimya kuhusu utapeli wa Kalynda?

Kwanini Serikali iko kimya kuhusu utapeli wa Kalynda?

Joined
Oct 14, 2022
Posts
5
Reaction score
1
Inasikitisha sana kuwa serikali yetu iko kimya sana kuhusu hii ishu.

Nini kifanyike ili wananchi wa Tanzania wasikumbane na madhila ya namna kama hii?

Elimu itolewe kuhusu utapeli wa mitandaoni.
 
Serikali haiwezi kishughulika na wapumbavu

Mimi nailaum Serikali Kwa maswala mbali mbali ila Kwa hili nashauri waache kushughulika na wajinga.

Tulikuwa tunawaambia humu kuwa hakuna pesa ya Bure
 
Kalynda amekula sana hela za watu mimi niishawishiwa sanaaa... et wanasema unawasaidia kutangaza biashara zao tu.. kila siku unaingiza hela.. nikatathmini weee sema ata ivo ela zangu hua zina kazi nyingi so nikadownload tu app yao then nikakausha
 
mbona kuna makampuni zaidi ya kalynda yashapita yakawapiga wajinga yakaenda zake serikali aiusiki tambua tu amna pesa ya bule kipindi cha kuwithdraw mlikuwa mnachekelea
 
Walishachukua kodi yao, mengine mtajijuw wenyewe...
 
Serikali ina deal na maswala makubwa na siyo hayo, kwanini hujiulizi wenyewe wanatoa wapi pesa za kukulipa unapoweka hiyo 20000 eti kila siku wanakuingizia 800.

Wajinga wengi watapigika sana baada ya kalynda kuna mzigo mwingine unajiita bestie nao umejipanga tena.

Kama ni biashara fanya biashara ambayo utaicontrol mwenyewe.
 
Serikali haiwezi kishughulika na wapumbavu

Mimi nailaum Serikali Kwa maswala mbali mbali ila Kwa hili nashauri waache kushughulika na wajinga.

Tulikuwa tunawaambia humu kuwa hakuna pesa ya Bure

Nimecheka si kama ni mazuri ila yes serikal iko busy na mambo mengi ya kudeal nayo
 
Serikali haiwezi kishughulika na wapumbavu

Mimi nailaum Serikali Kwa maswala mbali mbali ila Kwa hili nashauri waache kushughulika na wajinga.

Tulikuwa tunawaambia humu kuwa hakuna pesa ya Bure
Wanashirikiana na Serikali,.. Much as people lost their money, there someone in the top government position gain billions of money
 
Serikali ina deal na maswala makubwa na siyo hayo,
Hii haipo sawa serikali ina jukumu la kudhibiti pia shughuri za ponzi scheme, mwaka 2015 serikali ya china ilianza kampeni kufungia makampuni na kukamata watu wanajiushighulisha kwenye biashara za namna hiyo, kwa sababu mwisho wa siku hii shughuli inahusisha utoroshaji wa pesa nje ya nchi baada ya kutapeli kitu ambacho kinaumiza foreign reserve.

Fikiria 20,000 kwa watu 100,000, yaani kimakadirio ni zaidi ya bil 4 itakuwa imepigwa, na hapo kuna watu waliua biashara zao na kupeleka pesa kalynda (hili ni swala la uchumi sasa) kitu kisichozalisha chochote.
,
USA sio wajinga kumkamata Charles Ponzi, Bernie Madoff, Lou Pearlman, Tom Petters, Scot Rothstein pamoja na kwamba watu walikuwa wanawekeza kwa hiari.

Kama kuna taifa lina mambo makubwa mengi ya kufanya duniani basi ni USA.

Lakini wanajua ukiacha MIFUMO DHAIFU ya biashara hizi kuchanua madhara yatakuwa makubwa zaidi, haya makampuni yanakuja kwa wingi TZ kwa sababu ya ujinga wa watanzania wengi na mifumo dhaifu ya ufuatiliaji serikali ya Tanzania
 
Inasikitisha sana kuwa serikali yetu iko kimya sana kuhusu hii ishu.

Nini kifanyike ili wananchi wa Tanzania wasikumbane na madhila ya namna kama hii?

Elimu itolewe kuhusu utapeli wa mitandaoni.
ishu ni kwamba wakati wana-i promote,jamii ya watanzania "wote"wanaisikia even...isitoshe wako verified na physical bases zimo,hili taifa gumu sana[emoji851]
 
Inasikitisha sana kuwa serikali yetu iko kimya sana kuhusu hii ishu.

Nini kifanyike ili wananchi wa Tanzania wasikumbane na madhila ya namna kama hii?

Elimu itolewe kuhusu utapeli wa mitandaoni.
Unataka Elim ya namna gani?
Tukiwa wadogo tulifundishwa Hadithi ya "Abunuas" Kuna siku aliazima sufuria , siku anairudisha kaweka na kasufuria kadogo.
mwenye sufulia yake ,akauliza kulikoni mbona umereta mbili? Akajibiwa ilikubwa imezaa hako kadogo.

Siku nyingine alivyo azima hakulejesha , mwenye sufuria akaenda kuulizia kuna nini sufuria hairudishwi? Akajibiwa " imefariki" kutahamaki akapewa swali mbona ilivyo zaa hukusituka ? Kila chenye kuzaa kina kifaa.

Hii Hadithi hukufundishwa?

Kitabu Cha "KUSADIKIKA" Marehem Shaban Robert. Amesimlia kisa Cha mtu mwenye tamaa na uvivu wa fikira alie fanyiza mkataba na mwenzake mwenye bahati ya kuomba na kupta alicho kiomba kwa Mola wake bila kuchelewa.

ndani ya mkataba huo kipengere kikuu ni ;Kila kitakachoombwa watagawana sawa. Jamaa akukubali kiroho safi baada ya mkataba kisainiwa ,akainua mikono juu akaomba wapewe upofu maana yeye kachoka kuona maovu yanayo tendeka Duniani.

Hii nayo hukufundishwa?

Kuna video (I )mwanachuo analalama , kawaunganisha wa nachuo wenzake , na WA hadhili wake. Sasa tujiulize mtu alie aminiwa nakukabiziwa vijana, aendeleze bongo zao ziweze kuchanganua na kung'amua nae anatapeliwa Kindwanzi namna hii kweli?
Kiujumla hakuna wakuaelimisha wajinga wenye PhD.

DEC ilitisha kua funzo kubwa , lakini Cha ajabu hata miaka kumi natani haijapita mmepigwa Tena. Wacha mambo yaende hivyo.
Safari ya mwenye mafanikio ,inaitaji msindikizaji asie na tamaa.
 
Hii haipo sawa serikali ina jukumu la kudhibiti pia shughuri za ponzi scheme, mwaka 2015 serikali ya china ilianza kampeni kufungia makampuni na kukamata watu wanajiushighulisha kwenye biashara za namna hiyo, kwa sababu mwisho wa siku hii shughuli inahusisha utoroshaji wa pesa nje ya nchi baada ya kutapeli kitu ambacho kinaumiza foreign reserve.

Fikiria 20,000 kwa watu 100,000, yaani kimakadirio ni zaidi ya bil 4 itakuwa imepigwa, na hapo kuna watu waliua biashara zao na kupeleka pesa kalynda (hili ni swala la uchumi sasa) kitu kisichozalisha chochote.
,
USA sio wajinga kumkamata Charles Ponzi, Bernie Madoff, Lou Pearlman, Tom Petters, Scot Rothstein pamoja na kwamba watu walikuwa wanawekeza kwa hiari.

Kama kuna taifa lina mambo makubwa mengi ya kufanya duniani basi ni USA.

Lakini wanajua ukiacha MIFUMO DHAIFU ya biashara hizi kuchanua madhara yatakuwa makubwa zaidi, haya makampuni yanakuja kwa wingi TZ kwa sababu ya ujinga wa watanzania wengi na mifumo dhaifu ya ufuatiliaji serikali ya Tanzania
This is awesome argument.. Watu wengi wanaoreply hapa wanakandamiza watanzania kwavile labda wao hawakuweka hela.. Hata mimi skuweka hela ila kuna watu wangu wa karibu sana waliweka hela. Ishu hii ni yakitaifa, na madhara yake yanaonekana wazi kabisa, moja ya kazi za serikali ni kulinda wananchi wake kwenye angle zote. Na Serikali ikiimarisha mifumo ya uwekezaji vzur kabsa.. Vitu kama hivi haviwezi kutokea. Imagine Kalynda ilkuwa na TIN Verified kabsa. Nlitumiwa hio TIN nka i verify Portal ya TRA ya Revenue Gateway. Hizi ni zile TIN za vishoka pale TRA.

BADO NAONA SERIKALI ISIMAMIE KILA KITU VZURI
 
Back
Top Bottom