mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,400
- 3,853
Serikali ilifunga shule zake zote za msingi na sekondary kuanzia August 3 hadi September 9/2012.
Sababu zilizotolewa zilikuwa walimu wangeshiriki katika zoezi la sensa. Sasa kuna ushahidi kwamba shule nyingi tu hazijatoa mwalimu hata mmoja kwa ajili hiyo. N
yingine walimu wawili hadi watano huku walio wengi wamebaki. Sasa kuna haja gani ya kufunga shule?
JAMANI MBONA SIASA ZINAZIDI? HATA MTOTO MDOGO ANAONA UKWELI KUWA WALIMU WAMEKOMOLEWA. Sawa waache wapumzike lakini subiri matokeo!
Sababu zilizotolewa zilikuwa walimu wangeshiriki katika zoezi la sensa. Sasa kuna ushahidi kwamba shule nyingi tu hazijatoa mwalimu hata mmoja kwa ajili hiyo. N
yingine walimu wawili hadi watano huku walio wengi wamebaki. Sasa kuna haja gani ya kufunga shule?
JAMANI MBONA SIASA ZINAZIDI? HATA MTOTO MDOGO ANAONA UKWELI KUWA WALIMU WAMEKOMOLEWA. Sawa waache wapumzike lakini subiri matokeo!