suala la kufungwa shule lilishajulikana tangu mwanzoni mwa mwaka,kwa ratiba kabisa,sasa unataka shule zizifungwe kwa sababu walimu wengi hawashiriki sensa?na leta kielelezo kinachosema sensa ni lazima walimu washiriki kwa wingi!wewe unadhani hao wanafunzi hawatakiwi kuhesabiwa makwao?
suala la kufungwa shule lilishajulikana tangu mwanzoni mwa mwaka,kwa ratiba kabisa,sasa unataka shule zizifungwe kwa sababu walimu wengi hawashiriki sensa?na leta kielelezo kinachosema sensa ni lazima walimu washiriki kwa wingi!wewe unadhani hao wanafunzi hawatakiwi kuhesabiwa makwao?
Hilo la kufungwa shule lilikuwa kwenye mpangilio hata kabla ya hicho unachofikiri ndio sababu.
mwezi wa 6 hawakufunga sasa unataka wasipumzike mwaka huu
si kwamba nataka shule zisifungwe hoja yangu ni kwanini lengo la awali limegeuka? watu wakubwa wanapanga halafu mwisho wanapangua bila sababu za msingi au basi wawe wazi
sawa lakini kawaida shule hufungwa June kuelekea July. Walimu walitakiwa waandae kazi zao kwa mwelekeo huo kwani wangeshiki sensa. sasa hilo halipo. kwamba kama ni kuwapumzisha kwani wafanyakazi wote na wamepewa likizo ili wahesabiwe. unapaswa kuchanganua mambo kabla ya kusema tu. utaratibu huu umewasumbua sana wanafunzi wanaojiandaa na mitihani sasa wengine wanahaha kutafuta tuition mitaani
suala la kufungwa shule lilishajulikana tangu mwanzoni mwa mwaka,kwa ratiba kabisa,sasa unataka shule zizifungwe kwa sababu walimu wengi hawashiriki sensa?na leta kielelezo kinachosema sensa ni lazima walimu washiriki kwa wingi!wewe unadhani hao wanafunzi hawatakiwi kuhesabiwa makwao?
Si lazima ulale kwako ndo uhesabiwe,tena shuleni ingekua rahisi kuwahesabu hata watoto ambao wazazi wao ni UAMSHO,we fikiria na watakao lala guest nao ni nyumba zao?
Si lazima ulale kwako ndo uhesabiwe,tena shuleni ingekua rahisi kuwahesabu hata watoto ambao wazazi wao ni UAMSHO,we fikiria na watakao lala guest nao ni nyumba zao?
suala la kufungwa shule lilishajulikana tangu mwanzoni mwa mwaka,kwa ratiba kabisa,sasa unataka shule zizifungwe kwa sababu walimu wengi hawashiriki sensa?na leta kielelezo kinachosema sensa ni lazima walimu washiriki kwa wingi!wewe unadhani hao wanafunzi hawatakiwi kuhesabiwa makwao?
Wewe kweli bongo lala! Yani pamoja na matangazo yote haya bado haujafahamu utaratibu wa sensa ulivyo!!!??? Eti "Unadhani hao wanafunzi hawatakiwi kuhesabiwa makwao?" Nani alikwambia lazima mtu ahesabiwe kwao kama vile unavyohesabu ng'ombe zizini! Mtu anahesabiwa alipolala huo usiku wa kuamkia makwao. Hivyo kama mwanafunzi yuko shule ya bweni angehasabiwa shule na wa kutwa angehasabiwa alipolala kama nyimbani au kwenye mageto waliobanga!
Mkuu jaribu kutia akili kidogo! Kama shule zinafunguliwa tarehe 10 septemba na darasa la saba wanafanya mitihani tarehe 12 na 13 Septemba unategemea nini?
Wewe kweli bongo lala! Yani pamoja na matangazo yote haya bado haujafahamu utaratibu wa sensa ulivyo!!!??? Eti "Unadhani hao wanafunzi hawatakiwi kuhesabiwa makwao?" Nani alikwambia lazima mtu ahesabiwe kwao kama vile unavyohesabu ng'ombe zizini! Mtu anahesabiwa alipolala huo usiku wa kuamkia makwao. Hivyo kama mwanafunzi yuko shule ya bweni angehasabiwa shule na wa kutwa angehasabiwa alipolala kama nyimbani au kwenye mageto waliobanga!
Mkuu jaribu kutia akili kidogo! Kama shule zinafunguliwa tarehe 10 septemba na darasa la saba wanafanya mitihani tarehe 12 na 13 Septemba unategemea nini?