Mkuu, siwezi kusema hujui kusoma, labda niseme hujui kuelewa. Nyani Ngabu ameeleza vizuri hapo, wewe unauliza maswali gani? Kipi hukuelewa hapo?Ila jamani si aliutangazia umma?
Labda swali liwe kwa nini alichelewa kutangaza. Au kwanini hakuutangazia umma kwamba Rais ni mgonjwa na amelazwa
Sawa. Usichotaka ni kulipa kodi ya jengo sio?Nyumba ya kuishi.
Hapana.Nisichotaka ni huu mfumo gandamizi unaotumika.Sawa. Usichotaka ni kulipa kodi ya jengo sio?
Mfumo wa kulipia kupitia luku yako au kiasi cha malipo?Hapana.Nisichotaka ni huu mfumo gandamizi unaotumika.
Hapana.Napinga wapangaji kulipia kodi za majengo ambayo hawamiliki na nimeamua kuungana nao kuonyesha kuwa sikubaliani na unyanyasaji huu.Nikikaa kimya leo na kesho ikiwa ni zamu yangu ya kunyanyaswa nitakosa mtu wa kunipigania/kunisemea.Kilio cha jirani yangu ni kilio changu.Mfumo wa kulipia tsh 1000 kwa mwezi kupitia luku yako?
Definition ya Serikali ni group la watu waliochaguliwa na watu kwa ajili ya kutetea maslahi ya watu hao.(Government of the people, by the people, for the people)
You are splitting hairs!Wakati Magufuli akiugua bado serikali ilikuwa ni 'serikali ya Rais Magufuli' kwa mantiki ya Magufuli regime na wala sio Samia regime...
Kwa mantiki hiyo, sidhani kama ni sahihi kuliframe swali hilo kuweka neno "kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli"...
Kama kuficha hali ya Rais basi ni kosa liende kwa aliyepaswa kutueleza hali ya afya ya Rais kiprotokali, sasa sijui ni Makamu (Samia) au PM (Majaliwa) au Spika (Ndugai) au Ikulu (Katibu wa Ikulu/Rais, Msemaji wa Ikulu)
SALIM KIKEKE anaandaliwa kuichukua TBC na Ayu Ryoba anapelekwa UBALOZINI .Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.
Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.
Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.
Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.
Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.
Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…
Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.
Kwangu hili halikubaliki kabisa!
Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.
Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.
Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.
Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.
Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.
Pascal Mayalla take note and spread the word.
No surprises here, that's why you happen to have all the right answers: the sheboon and the gay porch monkey who happens to be none other than thyself.You are splitting hairs!
Who was in-charge of the government while President Magufuli was unable to perform his duties as president?
Unapinga mpangaji kulipa kwa niaba ya mwenye nyumba si ndio?Hapana.Napinga wapangaji kulipia kodi za majengo ambayo hawamiliki na nimeamua kuungana nao kuonyesha kuwa sikubaliani na unyanyasaji huu.Nikikaa kimya leo na kesho ikiwa ni zamu yangu ya kunyanyaswa nitakosa mtu wa kunipigania/kunisemea.Kilio cha jirani yangu ni kilio changu.
Keep it movin’.Move on
Kikeke hawezi unafiki wa kiwango kile. Rejea ya Tido Mhando yalimshinda.SALIM KIKEKE anaandaliwa kuichukua TBC na Ayu Ryoba anapelekwa UBALOZINI .
Salim aliandaliwa maswali na mama aliandaliwa majibu.
Unajua au unahisi?SALIM KIKEKE anaandaliwa kuichukua TBC na Ayu Ryoba anapelekwa UBALOZINI .
Salim aliandaliwa maswali na mama aliandaliwa majibu.
Ndiyo.Lakini kuna mengine pia kama nyumba kuwa na luku zaidi ya moja,watu ambao luku zao hazimo kwenye nyumba bali ni kaeneo cha kazi huko nje,na kadhalika.Napinga madhila yote ya sakata hiliUnapinga mpangaji kulipa kwa niaba ya mwenye nyumba si ndio?
Hio ndio vita yako na si serikali kupata tsh 1000. Vita yako ni kuwa hiyo pesa isitoke kwa mpangaji. Ni sawa?
Wasukuma again!!!ebu wacha ukabila wako bhanaKama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.
Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.
Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.
Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.
Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.
Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…
Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.
Kwangu hili halikubaliki kabisa!
Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.
Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.
Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.
Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.
Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.
Pascal Mayalla take note and spread the word.
Ndugu,Yeye na PM walitukosea sana sisi wapigakura wa nchi hii.
.Ndiyo.Lakini kuna mengine pia kama nyumba kuwa na luku zaidi ya moja,watu ambao luku zao hazimo kwenye nyumba bali ni kaeneo cha kazi huko nje,na kadhalika.
Kumbe umeelewa vizuri namna hii.hapo ulipo unatii sheria bila shuruti za serikali isiyokuwepo? Maana upo huru, ina maana wewe ni mtiifu kwa majambazi wa uchaguzi na mwoga wa kuvunja sheria zao hivyo huna madhara, endelea kutii sheria bila shuruti za hao majambazi ambao ndio serikali yako.
Usisahau kujiachia unyang'anywe zile tozo kama tu mwanamwali asemaye mdomoni sina mume ilihali ameolewa na analala kitandani kwa mumewe.