Kwanini Serikali ilituficha kuugua kwa Dkt. Magufuli?

Kwanini Serikali ilituficha kuugua kwa Dkt. Magufuli?

Kifo cha Magufuri kilikuwa engineered na wamerakani kwa kushirikiana na baadhi ya viongozi wa CCM na serikali na baadhi ya wapinzani..ndo maana wakati amelazwa wapinzani walianza kutoa taarifa
Formula yako ni ndefu Sana , huwezi kuunganisha hyo chain yote alaf usibumburuke , hapo ni viongozi wa CCM na hayo mataifa ya nje ...!! Wapinzani walikuja kutambua almost done
 
Hii ni issue ya kiusalama Zaidi.
Kwa mfano wangetangaza hali mbaya ya Rais huenda kuna mambo hatari zaidi yangetokea hivyo walifanya hivyo kuliweka Taifa sehemu salama.

Hiyo ni kwamjibu wa kichwa yangu🤔
 
Kifo cha Magufuri kilikuwa engineered na wamerakani kwa kushirikiana na baadhi ya viongozi wa CCM na serikali na baadhi ya wapinzani..ndo maana wakati amelazwa wapinzani walianza kutoa taarifa
Ina maana wa 'Msaada Kontena Oysterbay' walilikubali hili Mkuu? Walikuwa hawajalishtukia ili wamuokoe Mwamba? au na kwenyewe wapo baadhi waliokuwepo katika Mkakati huu ambao GENTAMYCINE naamini utakuwa Umesukwa na Kuratibiwa vyema na waliokuwa Maadui zake ila Yeye Hayati aliwaamini huku Mmoja wake akiwa ni Mtani wake na mara kwa mara alikuwa akipenda Kumtania huku Moyoni akichukiwa nae kwa Kuyagusa Maslahi yake ambayo naambiwa kwa 95% yametokana na Ufisadi wake uliokuwa umemkomaa.
 
Ndiyo hovyo kama ulivyosema..msogas..kiainaaina,,maembe etc

QUOTE="GENTAMYCINE, post: 41129245, member: 156632"]
Ina maana wa 'Msaada Kontena Oysterbay' walilikubali hili Mkuu? Walikuwa hawajalishtukia ili wamuokoe Mwamba? au na kwenyewe wapo baadhi waliokuwepo katika Mkakati huu ambao GENTAMYCINE naamini utakuwa Umesukwa na Kuratibiwa vyema na waliokuwa Maadui zake ila Yeye Hayati aliwaamini huku Mmoja wake akiwa ni Mtani wake na mara kwa mara alikuwa akipenda Kumtania huku Moyoni akichukiwa nae kwa Kuyagusa Maslahi yake ambayo naambiwa kwa 95% yametokana na Ufisadi wake uliokuwa umemkomaa.
[/QUOTE]
 
Kifo cha Magufuri kilikuwa engineered na wamerakani kwa kushirikiana na baadhi ya viongozi wa CCM na serikali na baadhi ya wapinzani..ndo maana wakati amelazwa wapinzani walianza kutoa taarifa
marekani mnawasingizia mengi sana. hivi kuna kitu gani marekani anaweza akataka hapa tanzania akakikosa kiasi cha kumuua rais ili akipate kwanza wana haraka gani si wangesubiri miaka kumi tu huyo magufuli angetoka madarakani wangemuweka wanayemtaka au unafikiri wana akili fupi kama za kuku. kama mtu kauawa ujue ni weusi kwa weusi hakuna mzungu wa kubeba lawama za kizembe . we unaona kabisa kigogo kanyamaza unadhani hajui nani anayehusika wakati masiri yote alikuwa anayaanika kama mpunga mbichi. kigogo lazima anajua au anahusika kwa asilimia 99 hiyo moja ya mtoa roho mwenyewe maana hata ukitenganisha kichwa na mwili kama mtoa roho hajaamua bado hiko kiwiliwili kitaonyesha mtu yupo hai na kichwa kitaongea
 
Kwa sababu tunaishi nchi zisizokuwa na demokrasia. Nchi zenye demokrasia kila kitu kipo wazi, hakuna kuficha ficha. Hata Trump, Boris Johnson walipoambukizwa COVID vitu viliwekwa wazi kwa wananchi wao. Sisi hapa hata Nyerere kama alikufa na Ukimwi hatuwezi kuambiwa ukweli. Siri nyingi sana.
 
Muulize Diblo Dibala ana majibu.
Napenda Utani mno ila tafadhali hapa nipo 'Serious' sawa Mkuu? Kuna muda wa Utani na wa Umakini. Hebu jaribu Kunisoma na ukiona mpaka Usiku huu nimekuja na huu Uzi jua kuna Jambo.

Hayati Rais Dkt. Magufuli kama binadamu ( tulivyo Wengine pia ) alikuwa na Mapungufu yake ila kwa Tanzania iliyokuwepo na iliyoharibiwa na 'Waswahili' na 'Mafisadi' fulani fulani huku Nidhamu ( hasa ya Kiutendaji ) na Maadili Kumomonyoka Tanzania ilimuhitaji zaidi Yeye ( Hayati Dkt. Magufuli ) kuliko Yeye alivyokuwa akiihitaji na akituhitaji Watanzania.

Sijasahau Hoja yangu Kuu hapa na nauliza tena kwanini Watanzania tulifichwa Kuugua kwa Hayati Rais Dkt. Magufuli ila tukawahi Kutangaziwa tu Kifo chake?
 
Na GENTAMYCINE naomba Kumjua huyu Mtu ( Watu ) ambao walikubaliana kuwa 'Watufiche' Watanzania Kuugua Kwake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Kwani Watanzania tokea tu Kuanza Kuugua Kwake tungetangaziwa Kungeharibika nini hadi tukafichwa Kiasi kile?

Nina uhakika kwa Watanzania jinsi tulivyobarikiwa kuwa ni Watu wa Imani za Kimaombi kwa Mwenyezi Mungu huku na Sisi wengine akina GENTAMYCINE tukiwa ni Watu wa kuamini Mizimu yangu ya Kizanaki, Kisimbiti, Kimakuwa na Kiyao kwa pamoja tungemuombea na angepona ili aendelee Kupiga Kazi na kutuongozea vyema Tanzania yetu iliyokuwa inaanza kwenda vyema tofauti na inavyoanza kurudi nyuma tena sasa.

Tukielekea Kumaliza huu Mwaka wa 2021 GENTAMYCINE sitaki kuwa Mnafiki na kukaa nalo Moyoni hili na leo bila Uwoga nasema Hayati Rais Dkt. Magufuli hakuondoka Mwenyewe bali Kalazimishwa kuondoka, ila naamini ipo Siku tu isiyo na Jina ukweli utajulikana.

Namalizia huu Uzi wangu kwa Kuuliza mara nyingine tena ni kwanini Watanzania tulifichwa Kuugua kwa Rais Hayati Dkt. Magufuli? Na lengo Kuu la Kutuficha lilikuwa ni nini? Kwani tungetangaziwa mapema kuhusu Kuugua Kwake tungeharibu Mpango gani uliokuwa Gizani dhidi yake hili Jembe la uhakika?

Nayasubiri tu majibu yenu ya uhakika!!!

Ni hivi ukiwa Mzalendo, kusimamamia haku za maskini, watu wengi kwenye nchi yako, ili kuwainua wengi inabidi upambane sana.

Uwe na mkono wa Chuma,tayari kufa. Mwisho utauliwa,wasaliti ni ndugu zako, wasaidizi wako.
 
Hii ni issue ya kiusalama Zaidi.
Kwa mfano wangetangaza hali mbaya ya Rais huenda kuna mambo hatari zaidi yangetokea hivyo walifanya hivyo kuliweka Taifa sehemu salama.

Hiyo ni kwamjibu wa kichwa yangu🤔

Nakuheshimu ila Hoja yako ninaikataa.
 
Sasa ulitaka jibu gani we jamaa? Umeona kuna utani hapo au? Waziri Mkuu ndiye aliyesema mzima anachapa kazi yupo Ikulu alisema uongo wa waziwazi na punde tu kama siku 1 au 2 ikatangazwa kafa sasa unadhani nani aulizwe?.
Napenda Utani mno ila tafadhali hapa nipo 'Serious' sawa Mkuu? Kuna muda wa Utani na wa Umakini. Hebu jaribu Kunisoma na ukiona mpaka Usiku huu nimekuja na huu Uzi jua kuna Jambo.

Hayati Rais Dkt. Magufuli kama binadamu ( tulivyo Wengine pia ) alikuwa na Mapungufu yake ila kwa Tanzania iliyokuwepo na iliyoharibiwa na 'Waswahili' na 'Mafisadi' fulani fulani huku Nidhamu ( hasa ya Kiutendaji ) na Maadili Kumomonyoka Tanzania ilimuhitaji zaidi Yeye ( Hayati Dkt. Magufuli ) kuliko Yeye alivyokuwa akiihitaji na akituhitaji Watanzania.

Sijasahau Hoja yangu Kuu hapa na nauliza tena kwanini Watanzania tulifichwa Kuugua kwa Hayati Rais Dkt. Magufuli ila tukawahi Kutangaziwa tu Kifo chake?
 
Kwanini Kikwete alitoa hotuba ya kujitetea msibani? Je KARMA ilikuwa kazini?
Kwa hii 'Comment' yako Mkuu kama tumepanda Basi la Abood kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro basi hivi sasa tuko Ubena Zomoni na muda mchache tutaingia Msamvu Bus Terminal.
 
Back
Top Bottom