GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
GENTAMYCINE namlilia sana Magufuli.Apumzike Kwa Amani MWAMBA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GENTAMYCINE namlilia sana Magufuli.Apumzike Kwa Amani MWAMBA
Amefariki kifo cha kawaida, hakuna aliyemuua.Marekqni na chinq walitoatechnologia tu ila watz wenyewe ndo waliohusika nasikia
mbona umepaniki mkuu, kwani kuna mtu amesema anamtafuta mtu aliyemuua Rais? si tunaongea tu.Bila hard facts au insiders information, zitakazoendelea hapa ni speculations na soga tu ambazo ni sawa na story writer anavyokaa chini na kuunda matukio ili kunogesha story.. Siaminini kama kuna kitu cha maana kitatoka out of uninformed & coward keyboard warriors
Una uhakika?Amefariki kifo cha kawaida, hakuna aliyemuua.
Hakuna atakayejulikana na hata wakijulikana hakuna cha kuthibitisha na hata ukithibitisha hakuna kitu wanaweza fanywa.Usikae mbali Mkuu 'Soon' watajulikana.
SureKifo cha Magufuri kilikuwa engineered na wamerakani kwa kushirikiana na baadhi ya viongozi wa CCM na serikali na baadhi ya wapinzani..ndo maana wakati amelazwa wapinzani walianza kutoa taarifa
Mkuu hii 'Comment' yako ingekuwa inauzwa kwa Gharama ya Juu kabisa kwa jinsi nilivyoipenda ningeenda hata Benki yoyote Kukopa ili niinunue. Umeandika 'Madini' tupu na nakupa Heko sana.marekani mnawasingizia mengi sana. hivi kuna kitu gani marekani anaweza akataka hapa tanzania akakikosa kiasi cha kumuua rais ili akipate kwanza wana haraka gani si wangesubiri miaka kumi tu huyo magufuli angetoka madarakani wangemuweka wanayemtaka au unafikiri wana akili fupi kama za kuku. kama mtu kauawa ujue ni weusi kwa weusi hakuna mzungu wa kubeba lawama za kizembe . we unaona kabisa kigogo kanyamaza unadhani hajui nani anayehusika wakati masiri yote alikuwa anayaanika kama mpunga mbichi. kigogo lazima anajua au anahusika kwa asilimia 99 hiyo moja ya mtoa roho mwenyewe maana hata ukitenganisha kichwa na mwili kama mtoa roho hajaamua bado hiko kiwiliwili kitaonyesha mtu yupo hai na kichwa kitaongea
Eti kama Nyerere alikufa kwa nini vile?Kwa sababu tunaishi nchi zisizokuwa na demokrasia. Nchi zenye demokrasia kila kitu kipo wazi, hakuna kuficha ficha. Hata Trump, Boris Johnson walipoambukizwa COVID vitu viliwekwa wazi kwa wananchi wao. Sisi hapa hata Nyerere kama alikufa na Ukimwi hatuwezi kuambiwa ukweli. Siri nyingi sana.
Nakubaliana nawe Mkuu tena kwa 100%Hotuba ya Kikwete Chato siku ya mazishi alikuwa anaongea kama mtu aliyekuwa anaanza kuchanganyikiwa. Anajua kitu yule jamaa kuhusu kifo cha meko.
YesUna uhakika?
Tutashusha mkeka vizuri..subiri kwqnzaAmefariki kifo cha kawaida, hakuna aliyemuua.
Wahusika ambao baadhi Wananisoma.Unataka nani akujibu?
Acha ushamba wa ku generalise mambo. Hata hao unaotegemea watoe hizo taarifa wapo nyuma ya keyboard wanasoma comments kama unavyosoma wewe.Bila hard facts au insiders information, zitakazoendelea hapa ni speculations na soga tu ambazo ni sawa na story writer anavyokaa chini na kuunda matukio ili kunogesha story.. Siaminini kama kuna kitu cha maana kitatoka out of uninformed & coward keyboard warriors.
Kigogo ni nani? KIGOGO ni January, Zitto, Fatima, Maria, Chahali na....nilikuwa blocked na Kigogo na hawa watu kwa wakati mmoja na wala hawako smart.marekani mnawasingizia mengi sana. hivi kuna kitu gani marekani anaweza akataka hapa tanzania akakikosa kiasi cha kumuua rais ili akipate kwanza wana haraka gani si wangesubiri miaka kumi tu huyo magufuli angetoka madarakani wangemuweka wanayemtaka au unafikiri wana akili fupi kama za kuku. kama mtu kauawa ujue ni weusi kwa weusi hakuna mzungu wa kubeba lawama za kizembe . we unaona kabisa kigogo kanyamaza unadhani hajui nani anayehusika wakati masiri yote alikuwa anayaanika kama mpunga mbichi. kigogo lazima anajua au anahusika kwa asilimia 99 hiyo moja ya mtoa roho mwenyewe maana hata ukitenganisha kichwa na mwili kama mtoa roho hajaamua bado hiko kiwiliwili kitaonyesha mtu yupo hai na kichwa kitaongea
Huenda nae ni Mmoja wao ndiyo maana sasa anaanza Kutapatapa, Kujishtukia na kuwa Mkali.mbona umepaniki mkuu, kwani kuna mtu amesema anamtafuta mtu aliyemuua Rais? si tunaongea tu.