Kwanini serikali imebariki magari ya viongozi wa serikali kuwa namba feki? Mwanzo nilizani ni uhuni wa madereva kumbe wanapewa wabandike feki

Kwanini serikali imebariki magari ya viongozi wa serikali kuwa namba feki? Mwanzo nilizani ni uhuni wa madereva kumbe wanapewa wabandike feki

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Asilimia 90 ya magari hasa mashangingi ya serikali yana namba mbili mbili?

Yaani ni hivi namba Moja utakuta inasoma vizuri tu STL/SU/W/NW/DFPA n.k lakini ukitazama kuna namba nyingine FEKI huwa inafichwa na kutumika kwenye gari ile ile ikisomeka kwa namba za kawaida kama magari mengine T ....AKZ / BPA/ CAG/DAF n.k

Serikali ituambie imebariki mambo hayo ya kihuni kwa faida gani?

Je sheria ya usalama barabarani inatambua matumizi ya namba mbili kwenye gari moja?

Katika mpango wa kupunguza utekaji na matumizi mabaya ya mafuta magari ya serikali; TAMISEMI haioni ni wakati sahihi kuyapaka rangi za taasisi kulingana na nembo zao?
 
Asilimia 90 ya magari hasa mashangingi ya serikali yana namba mbili mbili?

Yaani ni hivi namba Moja utakuta inasoma vizuri tu STL/SU/W/NW/DFPA n.k lakini ukitazama kuna namba nyingine FEKI huwa inafichwa na kutumika kwenye gari ile ile ikisomeka kwa namba za kawaida kama magari mengine T ....AKZ / BPA/ CAG/DAF n.k

Serikali ituambie imebariki mambo hayo ya kihuni kwa faida gani?

Je sheria ya usalama barabarani inatambua matumizi ya namba mbili kwenye gari moja?

Katika mpango wa kupunguza utekaji na matumizi mabaya ya mafuta magari ya serikali; TAMISEMI haioni ni wakati sahihi kuyapaka rangi za taasisi kulingana na nembo zao?
Hii kitu imekuwa very common halafu wanasumbua sana barabarani, muda mwingine unakuta hayo magari yako na vibinti vidogo vya chuo kwenye mahotel na lodgings
 
Dah .
Ngojeni niwaeleshe, Gari yoyote inayoingia nchini lazima isajiliwe kwa plate number za kawaida.. zile tunazozijua za T454 EGF(mfano).. alafu kisha ndiyo kama za serikali zinapewa Hizo namba zao za STM,. Kwahyo zile za serikali ubandikwa wakati tayari hizi gari zina plate no. Za kawaida za mfumo wa nchi..
 
Dah .
Ngojeni niwaeleshe, Gari yoyote inayoingia nchini lazima isajiliwe kwa plate number za kawaida.. zile tunazozijua za T454 EGF(mfano).. alafu kisha ndiyo kama za serikali zinapewa Hizo namba zao za STM,. Kwahyo zile za serikali ubandikwa wakati tayari hizi gari zina plate no. Za kawaida za mfumo wa nchi..
Za Serikali zinaanza kupata usajili kwa namba za serikali halafu taasisi husika labda kutokana na shughuli zake ndiyo wanaweza kusajili namba fiche kama ni lazima au ni muhimu kufanya hivyo.
Na gari zote za serikali zinaagizwa chini ya wizara ya ujenzi.
 
Dah .
Ngojeni niwaeleshe, Gari yoyote inayoingia nchini lazima isajiliwe kwa plate number za kawaida.. zile tunazozijua za T454 EGF(mfano).. alafu kisha ndiyo kama za serikali zinapewa Hizo namba zao za STM,. Kwahyo zile za serikali ubandikwa wakati tayari hizi gari zina plate no. Za kawaida za mfumo wa nchi..
1. Kwahiyo ukibadilisha plate namba unaruhusiwa kubaki na ya zaman ikiwa inasoma usajili?
2. Kwanini magari ya serikali yakipigwa mnada ukilinunua unapewa usajili mpya namba mpya?
 
Elimu elimu elimu

Shida ya wabongo huwa hawana tabia ya kuuliza vitu yeye akishashiba ugali wake,mpe kichwa cha habari tu story nzima ataimaliza yeye.

Gari zote za serikali huja na namba za kiraia kupitia wizara ya ujenzi kisha namba hizo husajiliwa tena kwenye taasisi/wizara husika kwa namba husika.

Swala la kubadili namba limeruhusiwa kisheria endapo mhusika/mwenye cheo mfano mkuu wa mkoa hayumo ndani ya hyo gari hivyo dereva hutakiwa kubadili namba na kuweka namba iliyokuja na gari ama namba inayotambulika na ofisi.

Na pindi mhusika anapopanda plate namba yenye cheo chake huwekwa kwenye gari husika kutambulisha ni gari ambayo imembeba fulani.

Japo mfumo huo ni tofauti kidogo na jeshi au polisi ambako wao huwa hawaweki namba za kiraia bali za jeshi then mhusika anapopanda huwekwa initial kama nyota nk ili kutambulisha kwenye gari kuna fulani




Asilimia 90 ya magari hasa mashangingi ya serikali yana namba mbili mbili?

Yaani ni hivi namba Moja utakuta inasoma vizuri tu STL/SU/W/NW/DFPA n.k lakini ukitazama kuna namba nyingine FEKI huwa inafichwa na kutumika kwenye gari ile ile ikisomeka kwa namba za kawaida kama magari mengine T ....AKZ / BPA/ CAG/DAF n.k

Serikali ituambie imebariki mambo hayo ya kihuni kwa faida gani?

Je sheria ya usalama barabarani inatambua matumizi ya namba mbili kwenye gari moja?

Katika mpango wa kupunguza utekaji na matumizi mabaya ya mafuta magari ya serikali; TAMISEMI haioni ni wakati sahihi kuyapaka rangi za taasisi kulingana na nembo zao?
 
Dah .
Ngojeni niwaeleshe, Gari yoyote inayoingia nchini lazima isajiliwe kwa plate number za kawaida.. zile tunazozijua za T454 EGF(mfano).. alafu kisha ndiyo kama za serikali zinapewa Hizo namba zao za STM,. Kwahyo zile za serikali ubandikwa wakati tayari hizi gari zina plate no. Za kawaida za mfumo wa nchi..
Hii nchi ndo utaona kuwa viongozi mna dharau sana,kila kiongozi anajiona yeye ndo mwenye uwezo wa kuelimisha wtu.
Mkumbuke,tunasoma wote kwenye taasisi mbali mbali za elimu na tunawashinda kwenye mitihani,japo tupo mitaani tuna uelewa mkubwa pengine zaidi yenu.

Kama ulisemalo ni kweli na kwa manufaa ya nchi,kwanini gari za serikali zikiuzwa
inabidi mnunuzi asajili na kulipia kodi kwa kuambiwa liliingia nchini kwa msamaha wa kodi?
Kwa nini asipewe namba hiyo ya usajili na kulipia fedha ukawa mwisho?

Tulipozungumza suala la katiba mpya ipitishwe ili ianze kutumika,mkatuambia
kwanza raia inabidi waelimishwe kwanza,ndo mchakato uendelee.Hivi Walioba alizunguka nchi nzima kukusanya maoni kwa wasioelewa wanachokifanya?

Mnatuona hatujui lolote,
hamtutendei haki.Mnahitaji kupokea hoja na mawazo mbadala myafanyie kazi badala ya kusema mnatupa elimu
kumbe mlishakwama mnahitaji mtu wa kuwaonyesha njia.Na njia ni hii kupokea mawazo mbadala.
 
wala la kubadili namba limeruhusiwa kisheria endapo mhusika/mwenye cheo mfano mkuu wa mkoa hayumo ndani ya hyo gari hivyo dereva hutakiwa kubadili namba na kuweka namba iliyokuja na gari ama namba inayotambulika na ofisi.
Na gari ya waziri mkuu,mkuu wa majeshi wanafanya hivyo?
Kwanini kusiwe na bendera,endapo huyu kiongozi hayupo,bandera isiwekwe and vice versa?
 
Na gari ya waziri mkuu,mkuu wa majeshi wanafanya hivyo?
Kwanini kusiwe na bendera,endapo huyu kiongozi hayupo,bandera isiwekwe and vice versa?
Si kila cheo kina mamlaka ya kupeperusha bendera ndo maana plate no inatumika kuonyesha ni mtu gani aliyebebwa na ana mamlaka gani.

Refer tukio la Nape.
Alivyoenguliwa akiwa mlimani city gari ileilibidi usiku ule ule irudi wizarani dodoma lakini ikiwa na plate no za kawaida sababu hapakuwa na waziri tena
 
Si kila cheo kina mamlaka ya kupeperusha bendera ndo maana plate no inatumika kuonyesha ni mtu gani aliyebebwa na ana mamlaka gani.

Refer tukio la Nape.
Alivyoenguliwa akiwa mlimani city gari ileilibidi usiku ule ule irudi wizarani dodoma lakini ikiwa na plate no za kawaida sababu hapakuwa na waziri tena
 
Back
Top Bottom