2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Nasikitika sana kuona punguzo la tozo kwenye miamala ya simu. Hii tozo tuna mwaka mmoja naa... Tumekomaa nazo na maisha yanasonga. Burundi hatujaenda na kwa sasa tunazimudu kwanini serikali inazipunguza?
Wote tumeona faida ya tozo,au miradiya tozo imekamilika? Kwa sasa eti ukitoa 100k unakatwa 3.9k tu badala ya 5.4k sijapenda kabisa.
Wote tumeona faida ya tozo,au miradiya tozo imekamilika? Kwa sasa eti ukitoa 100k unakatwa 3.9k tu badala ya 5.4k sijapenda kabisa.