Kwanini serikali inashindwa kulipa madeni ya ndani (extra duties, hela za overtime, malimbikizo nk) shida ni nini au Ni kujiendekeza?

Kwanini serikali inashindwa kulipa madeni ya ndani (extra duties, hela za overtime, malimbikizo nk) shida ni nini au Ni kujiendekeza?

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,095
Reaction score
3,649
Wakuu anaejua ukweli huu anisaidie kujibia!
 

Attachments

  • B52C48A8-A9A5-4F45-B4F3-A27CC776A0D1.jpeg
    B52C48A8-A9A5-4F45-B4F3-A27CC776A0D1.jpeg
    53.1 KB · Views: 4
Wakilipa madeni nanyie mjidai? Waacheni CCM wale keki yao, zamu yenu itafika muwe wavumilivu.
 
Na hayo malipo unataka yatoke Hazina? Ukiona hulipwi jua kuna shida kwa wakuu wako na sio serikali kuu
 
Fanyeni kazi kwa bidii acheni malalamiko, matokeo hakuna lakini maslahi mbele.
 
Back
Top Bottom