Utawala wa sheria?Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Wewe kijana au mzee?wewe ushawai kuona tajiri kijana nchi hii akawa chadema? ukiona chademq anavisenti ujue ni mwizi kama kina lema wezi wa magari
Mbona mimi ni mwananchi na sina hofu yoyote hapasisi wananchi. anaeneza uzushi mwingi sana
Kabla ya kumkamata tuambie Raia No.Wahedi,amepatikana?Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Kama Utopolo huna muda wa kusoma Utopolo nani atapata huo muda sasatuma voice note sina muda wa kusoma utopolo
Machafuko gani.. ya kugombea masanduku ya kura?Waziri mkuu ameshajibu, nachotaka ni nini? Anataka tuingie kwenye machafuko?
muda wa kutundika chupi juu ya kamba unafanya nini jf?Kama Utopolo huna muda wa kusoma Utopolo nani atapata huo muda sasa
Mwenye stress anapojitia moyo kwa kumwambia mwenzie anastress!hizi ni stress za maisha, mkuu usijali mambo yatakukalia sawa tu
nipe tu, sikatai za wazeeWewe kijana au mzee?
Mungu akutoe kwenye huo umasikini, chupi juu ya kamba!muda wa kutundika chupi juu ya kamba unafanya nini jf?
Wewe unayetundika chupi juu ya kamba!nipe tu, sikatai za wazee
Sijui labda mleta mada atusaidie kutujuzaKwani amesali wapi leo?
Funguka anahatarishaje usalama wa nchi?anamiliki chipukizi, green guard,blue guard au red brigade.dadavua pleaseWote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Mbona waziri mkuu majaliwa alishatoa majibu mkuusinza pazuri kwani kiongozi wetu yuko wapi?,yu hali gani?,haya maswali magumu kujibiwa?
Machafuko ya Nini?itakuwa unajua zaidi.ukisisitiza Rais Yuko wapi yanatokea machafuko , ujinga mkumbwa kuwahi kusikia.Waziri mkuu ameshajibu, nachotaka ni nini? Anataka tuingie kwenye machafuko?
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Waziri mkuu ameshajibu, nachotaka ni nini? Anataka tuingie kwenye machafuko?
Lakini, "Raisi yuko wapi?" Tunataka jibu sio kumkamata muuliza swali!Maria hoja yake kuu ni wapi alipo Mh Rais. Na katiba inaruhusu wananchi kuuliza alipo Rais wao. Sasa wewe umekuja na eti anamzushia hebu leta hata twiti moja kuonyesha aliposhiriki kumzushia Rais.