Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohh angalia huyu kilaza wa ccm hajui hata kuandika!Kama ni.haki yako kujua raisi alipo, umeenda ikuru kumuulizia wakakuzuia?
Umesikia wapi mkuu?Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Kama ni.haki yako kujua raisi alipo, umeenda ikuru kumuulizia wakakuzuia?
bora wasukuna shekilango tuna njia nne sasa hivi. hao wachaga hata ofisi yao wameshindwa kujenga wanakula tu ruzuku wapigaji wakubwaKwa hiyo unashikiwa akili na wasukuma??
Wasukuna ndio kina nani?bora wasukuna shekilango tuna njia nne sasa hivi. hao wachaga hata ofisi yao wameshindwa kujenga wanakula tu ruzuku wapigaji wakubwa
Wewe ulipata kitengo gani?Maria Sarungi ni victim Kampeni za Mwaka 2015 walikua katika kambi ya Magufuli walikua Maria Sarungi, Evarest Chahali, Semkae hawa baada ya JPM kushinda walitegemea kupata vitengo kwenye serikali lakini mda ulizidi kwenda bila kupata favor yeyote ndo wakaegeuka kuwa wakosoaji wa serikali ya Rais Magufuli ni Wachumia tumbo tuuu. Sema Maria Sarungi ni Muoga bado hajaingia kwenye target ya kuweza kukamatwa she is very cautious! .
Kwani mi nilikua miongoni mwao?Wewe ulipata kitengo gani?
Machafuko gani?Waziri mkuu ameshajibu, nachotaka ni nini? Anataka tuingie kwenye machafuko?
wewe endelea kushikiwa akili na waoza meno
Akili ya MATANGA hanaye wayawaya hana pa kushikaMaria hoja yake kuu ni wapi alipo Mh Rais. Na katiba inaruhusu wananchi kuuliza alipo Rais wao. Sasa wewe umekuja na eti anamzushia hebu leta hata twiti moja kuonyesha aliposhiriki kumzushia Rais.
Wewe unayesoma twita zake ndiyo Mpumbavu. Ushajua mtu mzushi Kama unavyosema kwanini unasoma ujumbe wake?Waziri mkuu ameshajibu, nachotaka ni nini? Anataka tuingie kwenye machafuko?
Ford foundation, USA...."Nasikia ana lipwa na Mashirika Ya Wazungu kutuchafulia Nchi"....Mbona kauli Ya Kienyeji Sana hii..Taja Moja Mkuu linalo jihusisha na hili...ikibidi hata Makao Makuu yake yataje au historia yake kwa ufupi
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Kwani amesali wapi leo?Kwani rais yupo wapi?