Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Muwe mnaweka vifungu vya Sheria vinavyomfanya akamatwe.
 
Kobero
IMG-20210314-WA0000.jpg
 
Mbona simpo tu...Muonesheni Jiwe alipo hata ka clip cha sekunde 5 ...halafu mfungulieni mashtaka sarungi[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Umesikia wapi mkuu?
Analipwa kiasi gani ?
Unajua anaweza kufungua kesi dhidi yako na ukajikuta unakula maharage ya bure kwa miaka kadhaa.
 
Dawa ya deni ni kulipa...kama uwezo wa kulipa huna, machungu yake hayakawii kupiga hodi!
 
Kwa hiyo unashikiwa akili na wasukuma??
bora wasukuna shekilango tuna njia nne sasa hivi. hao wachaga hata ofisi yao wameshindwa kujenga wanakula tu ruzuku wapigaji wakubwa
 
Maria Sarungi ni victim Kampeni za Mwaka 2015 walikua katika kambi ya Magufuli walikua Maria Sarungi, Evarest Chahali, Semkae hawa baada ya JPM kushinda walitegemea kupata vitengo kwenye serikali lakini mda ulizidi kwenda bila kupata favor yeyote ndo wakaegeuka kuwa wakosoaji wa serikali ya Rais Magufuli ni Wachumia tumbo tuuu. Sema Maria Sarungi ni Muoga bado hajaingia kwenye target ya kuweza kukamatwa she is very cautious! .
Wewe ulipata kitengo gani?
 
...."Nasikia ana lipwa na Mashirika Ya Wazungu kutuchafulia Nchi"....Mbona kauli Ya Kienyeji Sana hii..Taja Moja Mkuu linalo jihusisha na hili...ikibidi hata Makao Makuu yake yataje au historia yake kwa ufupi
 
...."Nasikia ana lipwa na Mashirika Ya Wazungu kutuchafulia Nchi"....Mbona kauli Ya Kienyeji Sana hii..Taja Moja Mkuu linalo jihusisha na hili...ikibidi hata Makao Makuu yake yataje au historia yake kwa ufupi
Ford foundation, USA
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.

Nilidhani unasema kwanini hawamkamati MUSIBA kwa uchochezi na taharuki anayofanya hapa nchini? Maria Sarungi hana kosa anatumia kile kinachomruhusu kikatiba ; ndio maana hajifichi.
 
Back
Top Bottom